Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Sasa ulishindwa nini kushuka hapo korogwe?Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya
Jf never boring[emoji23][emoji23][emoji23]Bora wewe ulimuona wakati anashuka ila mimi kuna siku nilipitiwa na usingizi wakati nataka kuomba namba ile kuamka amekaa babu wa samaki.Usingizi noma
Hahaha ungenambia nikamsubirie tu hapa korogwe mkuu kwann uteseke hv.Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya njoo ukae.
Akakaa tukataniana kidogo akashukuru sana, akasema "umejuaje kama nimechoka?" Nikamwambia kujidekeza tu akasema hajalala toka jana nikamuuliza upo ofisi gani akajibu tambua tu sikulala. Nikajinyamazia maana kweli alikuwa amechoka.
Kumchunguza nikaona suruali aliyovaa ya dark blue nikajua huyu ni Askari polisi. Nikashindwa hata kuomba namba si unajua kwenye Mwendokasi hakuna faragha nikasema huyu akishuka tu Kimara ninae eeeh akashukia Korogwe. Nikawaza Mdengereko mie mfukoni nina buku mbili ya kunipeleka Matosa.
Nikamsindikiza kwa macho tu akavuka barabara upande wa Korogwe kama unaenda Mbezi.
Ukweli huyu Askari ni mzuri sana. Kama yoyote anayemjua mfikishie salaam. Undugu ni kusaidiana.
Akaonea ubahili wa mia nne tu jamani[emoji26][emoji26] mimi tu natoka home nakimbia mpk mbezi na kirudi yeye kashindwa tembea mpk hapo mwisho? Hajampenda huyu... ila wanawake wa depo nasikiaga wanagawaa[emoji23][emoji23][emoji23]Ungeshuka tu sasa unateseka moyo kisa nauli ya mwendokasi kutoka Korogwe hadi Kimara? Hata kama nauli ya kwenda huko Matosa ingepungua sio mbaya ungetembea kwa mguu kutoka Korogwe hadi Kimara maana ni karibu tu lakini namba ungekuwa nayo.
Ila mzee wewe muoga sana. Na pakuanzia ulishapata ila umezembea sana.
Unakuta samaki wanakichoma miiba[emoji23][emoji23] ndo sababu sipendi za kivukonio.. huulizi hilo shombo lakeBora wewe ulimuona wakati anashuka ila mimi kuna siku nilipitiwa na usingizi wakati nataka kuomba namba ile kuamka amekaa babu wa samaki.Usingizi noma
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hayo mambo nilishaona mtu katupiwa simu yake nje ya Bus.
😂😂😂Ni mke wangu dogo jiangalie kutamani mali za watu
Duh asee. Wewe ulisikia wapi rafiki?Akaonea ubahili wa mia nne tu jamani[emoji26][emoji26] mimi tu natoka home nakimbia mpk mbezi na kirudi yeye kashindwa tembea mpk hapo mwisho? Hajampenda huyu... ila wanawake wa depo nasikiaga wanagawaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
😆😆😆Leo nimepanda Mwendokasi ya Kivukoni Kimara muda wa saa 6. Nikawahi mbele kwa Dereva ni sehemu naamini ukikosa seat ni sehemu salama sana.
Ndani ya gari nikawa nawaza shillingi ilivyoota matairi. Kufika Fire(faya) mtu aliyekuwa amekalia kiti akashuka nikajisemea acha nami nikae. Ile nageuka nyuma niangalie kama kuna mzee nimpe hicho kikalio aketi tobaa nikakutana na dada mweupeee sura ina vichunusi hivi. Nikajisemea haya njoo ukae.
Akakaa tukataniana kidogo akashukuru sana, akasema "umejuaje kama nimechoka?" Nikamwambia kujidekeza tu akasema hajalala toka jana nikamuuliza upo ofisi gani akajibu tambua tu sikulala. Nikajinyamazia maana kweli alikuwa amechoka.
Kumchunguza nikaona suruali aliyovaa ya dark blue nikajua huyu ni Askari polisi. Nikashindwa hata kuomba namba si unajua kwenye Mwendokasi hakuna faragha nikasema huyu akishuka tu Kimara ninae eeeh akashukia Korogwe. Nikawaza Mdengereko mie mfukoni nina buku mbili ya kunipeleka Matosa.
Nikamsindikiza kwa macho tu akavuka barabara upande wa Korogwe kama unaenda Mbezi.
Ukweli huyu Askari ni mzuri sana. Kama yoyote anayemjua mfikishie salaam. Undugu ni kusaidiana.
Si kwa wanaume wao wa depo.. wanakwambia sioi mimi mdepo mwenzangu wanaliwa kama karanga na maafande[emoji23]Duh asee. Wewe ulisikia wapi rafiki?
🤣Angejitosa sioWee jamaa mzembe sana kutembea korogwe mpaka kimara kuna umbali gani?
Afande Kingai jamboNi mke wangu dogo jiangalie kutamani mali za watu
Dah mbona mimi mchumba wangu ni mdepo sasa? 😑Si kwa wanaume wao wa depo.. wanakwambia sioi mimi mdepo mwenzangu wanaliwa kama karanga na maafande[emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] eeh, pole. Wanagawanaga ovyo hukoo. Ndo maana wanawezana wenyeweDah mbona mimi mchumba wangu ni mdepo sasa? [emoji58]