Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mama huwa nampenda huyu daah, basi tu! Ipo siku ntamfungia safari mimi!Husna mmoja ni sawasawa na Mikorogo hamsini ya UWT
Atakuzalia Watoto jasiriHuyu mama huwa nampenda huyu daah, basi tu! Ipo siku ntamfungia safari mimi!
kwani huko wanakosema ni mbali wanaenda mawakala wa chama kimoja au mawakala wa vyama vyote? msaada tutani Mkuu
upinzani mkianza kuibembeleza tena tumeccm iwatendeeni haki nahama upinzani mara moja kura nampigia jiwe. tafadhali sana sisi wananchi hatutaki tena kamwe kamwe kusikia tena ligha ya kubembeleza wala kulialia ya wapinzan.“Wagombea wanaambiwa Mawakala wataapa kwenye Tarafa nk. Hakuna ngazi ya Tarafa kwenye Uchaguzi. Mawakala wanapaswa kuapa ama kwa Msimamizi msaidizi ( kwenye Kata ) au kwa Msimamizi wa Uchaguzi ( Kwenye Jimbo ). Baadhi ya wasimamizi wa Uchaguzi wanasumbua wagombea MAKUSUDI”. Zitto Kabwe...
yan hiki ndiyo cha kufanya. upinzani msipotangaza hili haraka nitawashangaa sana. yan kwa kuwa wameshaanza na ushahidi upo tiyari inatakiwa na sisi tuanze nao hapo hapo hakuna kusubiri.Yaani hii kama itakuwa kweli watakuwa wamefanya jambo la maana sana na Taifa litawakumbuka! Hebu sema kweli mkuu? Wananchi wahamasishwe mkurugenzi atakayefanya figisu huyo anastahili kuuawa shenzy zao kabisa!