Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

Wakala anakuuliza kiasi unachotaka kutoa kabla ya Pin number yako kuiweka hapo kama pana ukakasi kidogo ni ngumu wakala kutoa kiasi cha fedha ambacho haujamtajia pili kama hajui pin number yako hawezi kutoa kama haupo na pia anapokuomba namba ya simu lazima utapata meseji hata kwa kuchelewa CRDB itoke hela siku nzima usipate meseji hicho kitu ni ngumu sana labda ianze sasa hivi..
Watu wengine wakiona pisi kali wanamwambia wakala abonyeze number kwa kumtajia Pin number hapo lolote linaweza kutokea..
 
Dogo hawezi kukimbia na M yako kwa sababu anashika pesa nyingi kila siku, kumbuka pesa unayotoa amezishika zote ili akukabidhi wewe hivyo kama ni mwizi angeiba hizo za boss wake hakuna sababu ya kusubiri milioni yako
 
Pole Sana, wakukusaidia ni haohao CRDB, wanaviambatanisho vyote vya wakala.
 
Dogo hawezi kukimbia na M yako kwa sababu anashika pesa nyingi kila siku, kumbuka pesa unayotoa amezishika zote ili akukabidhi wewe hivyo kama ni mwizi angeiba hizo za boss wake hakuna sababu ya kusubiri milioni yako
Wakati utasema, na ikawaje akaweka M1 badala ya laki1? Akaongezaa sifuri
 
Umenikumbusha siku nilikuwa na stress za kuuguza. Nikaenda ATM kutoka laki 2, nikachukua kadi nikasepa bila kuchukua hela. Nafika duka la dawa ndio nakumbuka. Bahati nzuri afande aligundua kichwa changu hakiko sawa. Akanitunzia
Nadhani ulimpooza afande
 
Mimi nililipa 620k kwa lipa namba kwa mpesa app,ile nimelipa tu mtandao uka collapse,na meseji haijaja,nikamwambia mwenye duka ngoja nilipe kwa njia ya *150*00#,nikalipa na meseji ya mpesa ikaja.
Nimekaa dk 5,imeingia meseji nyingine kuwa nimelipa 620k,na salio limekatwa,nikamwambia mwenye duka nae akaona kweli.niliwapigia Vodafone walirudisha muamala baada ya massage 48.
 
Usenge Sana, na nisipopata hii pesa natoa hela zangu zote naweka ndan usenge huu
Tuliza akili, acha kuwa na roho ndogo. M1 sio ya wakala tena mkubwa kukimbia ofisi, wengine wasabato, fuatilia utapata fedha zako.
 
Wakala naogopa kwanza makato pili Janjajanja nyingi sana yaani wamejaa na tamaa lakini pia mkuu ikiwa huyo dogo anashinda na mamilioni ya Hela humo ofisini kwake anawezaje kukimbia na hela kama hiyo ingawa sijawahi kuishika
 
Wakala naogopa kwanza makato pili Janjajanja nyingi sana yaani wamejaa na tamaa lakini pia mkuu ikiwa huyo dogo anashinda na mamilioni ya Hela humo ofisini kwake anawezaje kukimbia na hela kama hiyo ingawa sijawahi kuishika
Viofisi vya vinanda vya bati vile vya anaingia MTU mmoja SIO vya kuamini sana
 
Je ni lazima wakala aweke hela au wewe ndio unaweka hizo tarakimu?
Haya mjanja umeweka namba ya siri bila kuangalia unatoa ngapi?
Hapo ni kama una saini kitu usichokijua pole
Ila bongo system korofi sana
 
Hiyo ni pesa ndogo sana atakuwa anajitafutia matatizo tu.

Bora hata zingekuwa 10.
Watu wanakimbia ofisi na laki 2 mkuu as long as msala utakua kwa boss au kwa kudhani boss hatajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…