Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

Akishaweka kiasi, akipress next inakua dot 4 tuu za Mteja kuweka namba ya siri, namba ya siri ukishaandika ukimpa mashine yeye anakua haoni namba yako ya siri,inakua ****
Mimi naongelea kiasi Mkuu.

Lakini, angekuonesha kwanza kiasi alichoandika kisha ndio aende hatua inayofuata ya namba ya siri.

Next time usikubali aandike kiasi bila wewe kuona kabla ya kuweka namba ya siri, hata ukifanikiwa kuipata ila ujifunze kuwa makini.

Pole kwa hiyo changamoto.
 
Mimi naongelea kiasi Mkuu.

Lakini, angekuonesha kwanza kiasi alichoandika kisha ndio aende hatua inayofuata ya namba ya siri.

Next time usikubali aandike kiasi bila wewe kuona kabla ya kuweka namba ya siri, hata ukifanikiwa kuipata ila ujifunze kuwa makini.

Pole kwa hiyo changamoto.
Hapo sawa, lakini akishandika kiasi hatua inayofuata ni namba ya siri tuu
 
Jana tarehe 21 Feb 2025 mchana hivi kulikua na tatizo la mtandao CRDB BANK, nilipita ATM kutoa pesa lakini sikufanikiwa mtandao ulikua down Sana! Nikatoka pale nikaendelea na mambo yangu mengine, badae kidogo nikaona nijaribu tena kutoa Kwa wakala maana jua Kali nikaona tena kurud ATM usumbufu.

Wakala nikampa Kadi akauliza kiasi, nikamwambia atoe laki1, akanipa mashine nikaweka namba ya siri, baada ya pale mtandao ikawa inasumbua, nikasubiri kama DK 20 ikawa bado inasumbua, akanipa Kadi namimi nlikua nawahi nikamwambia nipe Kadi maana huku kwangu SMS haijaja pia, ila kuhakikisha isije ikawa pesa imetoka nikaenda tena ATM kuangalia salio, kuangalia salio likawa lipo Sawa hakuna pesa iliopungua, nikajaribu kutoa laki 1 ikatoka, nikaangalia tena salio kuhakikisha kiasi kilichobak, kuangalia ikawa iliobak IPO Sawa ukitoa Ile laki niliotoa pale ATM.

KWA UHAKIKA ZAIDI TENA NIKARUD PALE KWA WAKALA WA CRDB NIKAMWAMBIA ANIPE NAMBA YAKE KAMA SMS IKIJA KWANGU NIRUDI KUCHUKUA PESA, AKANIPA NAMBA NIKAPIGA IKAITA KWAKE NA SIMU ALIKUA NAYO, NIKAONDOKA.


Kichekesho ni Leo nmeenda tena kutoa pesa ATM nimetoa 250,000 ila sasa nahamaki kuangalia salio kuna pungufu ya 1M, nikashtuka Sana nikapanda boda fasta kwenda Kwa wakala WA CRDB, kwenda kafunga, simu haipatikan.

MDA huu nmewapigia CRDB nmewaelezea ishu nzima wakaniambia Jana kuna kiasi cha milion moja kimetoka kwenda Kwa Yule wakala, nikamwambia sasa ananisaidiaje maana nmepita Kwa wakala kafunga na namba haipatikani! Akaniambia Kwa sasabu ni weekend nipite Kesho au jumatatu nikimkuta niwapgie niwape waongee nae Kwa uthibitisho kua Jana imetolewa M1 kwenda Kwa wakala ila kwangu SMS haijarudi.

Kinachofanya nione wakala ni tapeli ni kiasi kilichotoka na nilichosema kitolewe ni tofauti, Leo, kafunga, hapatikani, CRDB huduma Kwa wateja wananitoa hofu wanasema akaunti ya wakala yenye jina la kike IPO vizuri na ni MTU anafanya kazi tuu Hana Kona Kona, nikawaulza mbona jina la wakala la like ila pale nilimkuta dogo mwanaume, akaniambia labda kawekwa kama mfanyakazi


HAPANA NAHISI NIMEPIGWA NIENDEE TUU POLISI KESHO AU NIFANYEJE WAKUU
Hela yako utaipata. Vuta subra mpk Monday na usiwe na pressure lala usingizi mnono usijitie stress
 
Hold on, hizo mashine huwa hazioneshi kiasi? Hiyo ni hatari kubwa na inabidi waubadilishe huo mfumo haraka.

Nilidhani ni mashine kama tunazotumia sehemu za biashara ambazo huwa zinaonesha kiasi.
Zinaonesha. Ni km POS za maduka za kuswap na kutap
 
Nimejifunza kutokulazimisha kutoa toa hela mtandao ukisumbua.

Niliwahi lipia laki 5 na ushee kule Saadani mbugani, mara ya kwanza malipo yalkagoma, risiti ikatoka 'payment unsuccessful', kujaribu tena, malipo yakafanikiwa.
Kurudi Dsm, DTB wamekata hela iliyokuwa unsuccessful na risiti ya unsuccessful imebaki huko porini.

Nilisumbuka sana ila ile hela ilirudi.
 
Nimejifunza kutokulazimisha kutoa toa hela mtandao ukisumbua.

Niliwahi lipia laki 5 na ushee kule Saadani mbugani, mara ya kwanza malipo yalkagoma, risiti ikatoka 'payment unsuccessful', kujaribu tena, malipo yakafanikiwa.
Kurudi Dsm, DTB wamekata hela iliyokuwa unsuccessful na risiti ya unsuccessful imebaki huko porini.

Nilisumbuka sana ila ile hela ilirudi.
Lakini baada ya MDA gani uliipata
 
Shukran Sana ngoja tusubiri, Bora hata wewe unatia moyo kuna watu hapa ndani wanaona kama utani utani tu
Mie naelewa sana hizo changamoto mkuu.
Madhal bank wamekwambia pesa ishaingia kwenye akaunti ya wakala kinachofuata ni wakala kukupa pesa yako
Hata kama huyo mfanyakazi alomuweka sio muaminifu yeye atajua atadeal nae vp lkn mwisho wa siku mwenye agency banking yake ndio atakuwa na jukumu la kukulipa. Vizuri system za bank hazisemi uongo
 
Mie naelewa sana hizo changamoto mkuu.
Madhal bank wamekwambia pesa ishaingia kwenye akaunti ya wakala kinachofuata ni wakala kukupa pesa yako
Hata kama huyo mfanyakazi alomuweka sio muaminifu yeye atajua atadeal nae vp lkn mwisho wa siku mwenye agency banking yake ndio atakuwa na jukumu la kukulipa. Vizuri system za bank hazisemi uongo
Kweli kabisa ngoja tusubir
 
Nenda polisi wakupige tena pesa kidogo ili Hilo fuvu lichujie akili vizuri mbuzi we....
 
Back
Top Bottom