Songa Heri
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,724
- 1,873
Piga mchemsho unatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Van unampikiaga nin?[emoji23]Naona kitimoto, samaki, utumbk. Hiyo mix mmmh
Van nampigia vyakula mbalimbali ila sio huo upishi hapo juu.Van unampikiaga nin?[emoji23]
Mpe marks wifi yako mrs IvanNaona kitimoto, samaki, utumbk. Hiyo mix mmmh
Mm sio mrs Ivan.Mpe marks wifi yako mrs Ivan
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Van nampigia vyakula mbalimbali ila sio huo upishi hapo juu.
Mimi mwenyewe hiyo mix kula siwez [emoji23][emoji23][emoji23]labda ana mke mchina huyu jamaa. Maana mle nimeona na nyama ya nyoka
Hahah Mzigua90 fundi wa pilau huyoHahahahahaha Hajar Miss Natafuta Mzigua90 mje muone wifi yenu leo kapatia ama kakosea kama siku ile?
Una maana ya kwamba wenaenda hospital kuchukua mikono ya sweta iliyo katwa?[emoji23] [emoji23] [emoji23] nahis hata ya binadamu ipo hapo,,
Haha hadi vyumbu vimewekwa humoVan nampigia vyakula mbalimbali ila sio huo upishi hapo juu.
Mimi mwenyewe hiyo mix kula siwez [emoji23][emoji23][emoji23]labda ana mke mchina huyu jamaa. Maana mle nimeona na nyama ya nyoka
hahahahaha, mkuu mamba tena???Wewe jamaa vyakula unavyokula bwana sijui unatoa wapi tu, sasa hizo sio nyama za mamba kweli?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba mpk lisaidiweusipo fanya mazoezi utakua kama jogoo la kisasa lisilo weza kufanya chochote mafuta yote hayo ya nini?
Hatari kabisaHaha hadi vyumbu vimewekwa humo
Ila leo kuna tofauti kidogo mkuu tofauti na lile futa la siku ile hahahahahaAnataka kukuuwa huyo...
Sikumwambia sitaki kumdisaapoint atajisikia vibaya ila mimi naona msosi upo fresh comments zenu zinanifanya nianze ku avoid wageniMkuu Duke Tachez mrejesho mwingine utahitajika hapa ulete, kwani ulimwambia kuhusu maoni uliyoyapata kwenye ule Uzi wa kwanza shemeji yetu??
Mkuu hili diko silielewi kabisa asee!!hahahahaha, mkuu mamba tena???
Hahaha huyo shemeji yetu sijui atakua katokea wap,anataka kabisa kumtanguliza mbele za haki huyu kijanaIla leo kuna tofauti kidogo mkuu tofauti na lile futa la siku ile hahahahaha
Teh teh.. Umenikumbusha Kuna mshkaji wangu mmoja Mnaijeria alikuwa anapika hivyo.. Anajaza Mafuta Kinoma.. Kumbe wengi wako hivyoHuyo demu ako mnaijeria nn??
Ndio ujue uchawi upo na unafanya kazi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yani hata akikupikia mataputapu wew unaona poa tuSikumwambia sitaki kumdisaapoint atajisikia vibaya ila mimi naona msosi upo fresh comments zenu zinanifanya nianze ku avoid wageni