Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
- Thread starter
- #101
Malipo ya nini mkuu?.
Visa 384000
Sevis 873,000
Visa Insurance ( Reciprocity) 696000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malipo ya nini mkuu?.
Zamani waafrika walichukuliwa kwa nguvu kwenda utumwani siku hizi waafrika wanagombea wenyewe huku wakililia kwenda utumwani,
SAWA NASHUKURU, UNALINGINE LA KUONGEZEA?Mrejesho wa nini hapa! Unadhani kwenda Marekani ni mbinguni! Huko unajipeleka utumwani tu! Nchi yako hii ni bora mara 1000 kuliko huko unakoomba na kusali! Utajua hilo utakapofika huko kama utafanikiwa interview yako! Utakuja kurudi huku mikono mitupu kama utakavyokwenda!
Nimekumbuka kuchukua,una kingine cha kunikumbusha?
SAWA UMESIKIKA PUMZIKA, UMEELEWEKA[emoji3526]Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
Ndiyo nimechukua, tayari unahitaji kuniongezea mingine?Mifagio ya kuzolea mavi nayo umetayarisha?
Wanaacha utajiri afrika wanaenda utumwani Ulaya.Huku fursa tele akifaidika Mchina.Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
Me sihitaji kuzalisha Ethanol, zalisha wewe mkuu inatosha, nimechagua UTUMWA,maisha ni uchaguzi, wewe endelea kutajirika na wachina, sio wote tumeandikiwa utajili.Wanaacha utajiri afrika wanaenda utumwani Ulaya.Huku fursa tele akifaidika Mchina.
Kwa gharama hizi za mafuta kupaa utajiri upo kwenye kuzalisha ethanol petrol mbadala,utajiri upo nje nje
Naam mkuu ahsante sana, naamini ulifanyia kazi ushauri wangu, fanya hivyo utafanikiwa pia ndugu yangu,Mungu akubariki pia.Hongera sana mkuu,binafsi nilikuombea sana maana pia una roho safi ya kusaidia wenzako,naamini kwa vile umefanikiwa katika hili utakuwa mentor wangu wa kunipa maelekezo sahihi nami nifanikiwe.
Huu ni uwendawazimu, ujinga na utoto, sio akili ya kiume hata kidogo, unajiona mjanja kumbe unachanganyikiwa, ngoja nikae kimya nisikupe credit.Mifagio ya kuzolea mavi nayo umetayarisha?
Mrejesho wa nini hapa! Unadhani kwenda Marekani ni mbinguni! Huko unajipeleka utumwani tu! Nchi yako hii ni bora mara 1000 kuliko huko unakoomba na kusali! Utajua hilo utakapofika huko kama utafanikiwa interview yako! Utakuja kurudi huku mikono mitupu kama utakavyokwenda!
Mbona hasira hivyo?Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
KILA kheri ukifika punguza starehe kumbuka kuwekeza home.Me sihitaji kuzalisha Ethanol, zalisha wewe mkuu inatosha, nimechagua UTUMWA,maisha ni uchaguzi, wewe endelea kutajirika na wachina, sio wote tumeandikiwa utajili.
Umemkamata pazuri labda viza ya YEMENkesho siki ya sensa ndio anaenda ichukua
Akikujibu nitag.Just to confirm taarifa yako mkuu.
Yote hio wakati wao wanapata kwa dola 100 tena airport na ni multiple viza moja anatumia hata mara kumi kwa mwakaMalipo ya nini mkuu?.
Visa 384000
Sevis 873,000
Visa Insurance ( Reciprocity) 696000
Ndio maana Marekani hawaishiwi, hiyo ni dhulma wanaifanya dunia nzima halafu wanaonyimwa viza ni wengi kuliko wanaopata na hiyo pesa ni non refundableYote hio wakati wao wanapata kwa dola 100 tena airport na ni multiple viza moja anatumia hata mara kumi kwa mwaka
Non refundable ni wizi,wao awakosi viza uingia mda wowote tena upatia airport.Ndio maana Marekani hawaishiwi, hiyo ni dhulma wanaifanya dunia nzima halafu wanaonyimwa viza ni wengi kuliko wanaopata na hiyo pesa ni non refunded.
Nenda state mkuu,hiyo ndio Dunia ya kwanza,kama ni shule kapige kisawa Sawa,kama ni kazi piga kweli kweli,waza future yako na jamii/familia yako,iwekee misingi mizuri Ili na wanyewe,siku ukisha kuwa muhenga wapate njia raini ya kupita kufikia manono,wao wasije Waka hustle saaana kama wewe,Salamu kwenu nyote.
Awali ya yote napenda kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha tangu naanza hizi harakati hadi leo nimefika mwisho wake na kufanikiwa.
Pili, nawashukuru wachangiaji wote hapa JF walionipa support (kwa njia ya ushauri) kuhusu jinsi gani naweza kufanikisha adhma yangu, Mungu awabariki sana (kwenu nyote mnaoamini uwepo wake na utendaji kazi wake).
Binafsi nina furaha ya pekee sana, nimefanya interview na visa yangu ime be approved, kesho saa nane kamili mchana nitakwenda kuchukua tayari kwa kuanza maandalizi ya safari hivi karibuni.
Mwisho kabisa, nawashukuruni nyote mlioniombea, mlionikejeri na kunikatisha tamaa, mmenipa nguvu kwa namna moja ama nyingine.
Nimelizie kwa kuwakaribisha nyote mlio na mlengo kama wangu, kwa ushauri namna gani mnaweza fanikiwa pia.
Wabillah tawfiq.