Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Zamani waafrika walichukuliwa kwa nguvu kwenda utumwani siku hizi waafrika wanagombea wenyewe huku wakililia kwenda utumwani,

Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
 
Mrejesho wa nini hapa! Unadhani kwenda Marekani ni mbinguni! Huko unajipeleka utumwani tu! Nchi yako hii ni bora mara 1000 kuliko huko unakoomba na kusali! Utajua hilo utakapofika huko kama utafanikiwa interview yako! Utakuja kurudi huku mikono mitupu kama utakavyokwenda!
SAWA NASHUKURU, UNALINGINE LA KUONGEZEA?
 
Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
SAWA UMESIKIKA PUMZIKA, UMEELEWEKA[emoji3526]
 
Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
Wanaacha utajiri afrika wanaenda utumwani Ulaya.Huku fursa tele akifaidika Mchina.
Kwa gharama hizi za mafuta kupaa utajiri upo kwenye kuzalisha ethanol petrol mbadala,utajiri upo nje nje
 
Hongera sana mkuu,binafsi nilikuombea sana maana pia una roho safi ya kusaidia wenzako,naamini kwa vile umefanikiwa katika hili utakuwa mentor wangu wa kunipa maelekezo sahihi nami nifanikiwe.
 
Wanaacha utajiri afrika wanaenda utumwani Ulaya.Huku fursa tele akifaidika Mchina.
Kwa gharama hizi za mafuta kupaa utajiri upo kwenye kuzalisha ethanol petrol mbadala,utajiri upo nje nje
Me sihitaji kuzalisha Ethanol, zalisha wewe mkuu inatosha, nimechagua UTUMWA,maisha ni uchaguzi, wewe endelea kutajirika na wachina, sio wote tumeandikiwa utajili.
 
Hongera sana mkuu,binafsi nilikuombea sana maana pia una roho safi ya kusaidia wenzako,naamini kwa vile umefanikiwa katika hili utakuwa mentor wangu wa kunipa maelekezo sahihi nami nifanikiwe.
Naam mkuu ahsante sana, naamini ulifanyia kazi ushauri wangu, fanya hivyo utafanikiwa pia ndugu yangu,Mungu akubariki pia.
 
Mrejesho wa nini hapa! Unadhani kwenda Marekani ni mbinguni! Huko unajipeleka utumwani tu! Nchi yako hii ni bora mara 1000 kuliko huko unakoomba na kusali! Utajua hilo utakapofika huko kama utafanikiwa interview yako! Utakuja kurudi huku mikono mitupu kama utakavyokwenda!
Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
Mbona hasira hivyo?
 
Wewe visa yako inasomekaje? Mana naskia zipo visa aina mbalimbali.

Je, visa yako inakuruhusu kuishi moja kwa moja huko USA?


Banafsi navizia kucheza ile bahati nasibu ya kwenda USA mwaka huu. (Diversity Visa Lottery)
 
Salamu kwenu nyote.

Awali ya yote napenda kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha tangu naanza hizi harakati hadi leo nimefika mwisho wake na kufanikiwa.

Pili, nawashukuru wachangiaji wote hapa JF walionipa support (kwa njia ya ushauri) kuhusu jinsi gani naweza kufanikisha adhma yangu, Mungu awabariki sana (kwenu nyote mnaoamini uwepo wake na utendaji kazi wake).

Binafsi nina furaha ya pekee sana, nimefanya interview na visa yangu ime be approved, kesho saa nane kamili mchana nitakwenda kuchukua tayari kwa kuanza maandalizi ya safari hivi karibuni.

Mwisho kabisa, nawashukuruni nyote mlioniombea, mlionikejeri na kunikatisha tamaa, mmenipa nguvu kwa namna moja ama nyingine.

Nimelizie kwa kuwakaribisha nyote mlio na mlengo kama wangu, kwa ushauri namna gani mnaweza fanikiwa pia.

Wabillah tawfiq.
Nenda state mkuu,hiyo ndio Dunia ya kwanza,kama ni shule kapige kisawa Sawa,kama ni kazi piga kweli kweli,waza future yako na jamii/familia yako,iwekee misingi mizuri Ili na wanyewe,siku ukisha kuwa muhenga wapate njia raini ya kupita kufikia manono,wao wasije Waka hustle saaana kama wewe,
Congrats!!
 
Back
Top Bottom