Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
- Thread starter
- #141
Mkuu hadi nashangaa aisee, yaani binadamu sisi hapana kwa kweli.Mbona hasira hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hadi nashangaa aisee, yaani binadamu sisi hapana kwa kweli.Mbona hasira hivyo?
Ahsante.KILA kheri ukifika punguza starehe kumbuka kuwekeza home.
Sio unarudi na pamba tu na slang nyingi nyingi baada ya kukaa nje miaka.
Mungu akutangulie usisahau kusaidia na wengine, sio lazima mpaka mtu umjuwe.Mkuu ahsante sana kwa moyo wako mwema, umenisaidia sana tangu mwanzo hadi hapa nilipofikia, ubarikiwe maradufu, natambua msaada wako kwangu.
Allah kakubariki kwenda Amerikiya siyo Jeddah, Mecca au Riyadh.Salamu wakuu,
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.
Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu, nitaleta mrejesho.
Wasalaam.
Ulimpa ushauri gani mkuu huu mwaka 15 kama sio 20 nashindwa kutoka hii nchi.Naam mkuu ahsante sana, naamini ulifanyia kazi ushauri wangu, fanya hivyo utafanikiwa pia ndugu yangu,Mungu akubariki pia.
Takbir! Allah amekujalia kuingia Amerikiya. Baada ya hapo ni ahera na bikra 72. Mecca, Jeddah, na Riyadh Allah hataki uende.Salamu kwenu nyote.
Awali ya yote napenda kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha tangu naanza hizi harakati hadi leo nimefika mwisho wake na kufanikiwa.
Pili, nawashukuru wachangiaji wote hapa JF walionipa support (kwa njia ya ushauri) kuhusu jinsi gani naweza kufanikisha adhma yangu, Mungu awabariki sana (kwenu nyote mnaoamini uwepo wake na utendaji kazi wake).
Binafsi nina furaha ya pekee sana, nimefanya interview na visa yangu ime be approved, kesho saa nane kamili mchana nitakwenda kuchukua tayari kwa kuanza maandalizi ya safari hivi karibuni.
Mwisho kabisa, nawashukuruni nyote mlioniombea, mlionikejeri na kunikatisha tamaa, mmenipa nguvu kwa namna moja ama nyingine.
Nimelizie kwa kuwakaribisha nyote mlio na mlengo kama wangu, kwa ushauri namna gani mnaweza fanikiwa pia.
Wabillah tawfiq.
Ndo maana ni ghali....kila lakheri MkuuVisa yangu ni student Visa Mkuu - F1.
Barikiwa sana nilikuwa na imani utapata Maana Mungu yupo pamoja na wewe karibu siku moja moja Canada.Salamu kwenu nyote.
Awali ya yote napenda kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha tangu naanza hizi harakati hadi leo nimefika mwisho wake na kufanikiwa.
Pili, nawashukuru wachangiaji wote hapa JF walionipa support (kwa njia ya ushauri) kuhusu jinsi gani naweza kufanikisha adhma yangu, Mungu awabariki sana (kwenu nyote mnaoamini uwepo wake na utendaji kazi wake).
Binafsi nina furaha ya pekee sana, nimefanya interview na visa yangu ime be approved, kesho saa nane kamili mchana nitakwenda kuchukua tayari kwa kuanza maandalizi ya safari hivi karibuni.
Mwisho kabisa, nawashukuruni nyote mlioniombea, mlionikejeri na kunikatisha tamaa, mmenipa nguvu kwa namna moja ama nyingine.
Nimelizie kwa kuwakaribisha nyote mlio na mlengo kama wangu, kwa ushauri namna gani mnaweza fanikiwa pia.
Wabillah tawfiq.
Naam mkuu, hizo ni za baada tu ya kupata admission, bado kuna application fee, niliomba zaidi ya vyuo vinne, WES na IELTS.Ndo maana ni ghali....kila lakheri Mkuu
Ahsante sana ndugu yangu, watanzania tungekuwa wamoja hivi tungefanikiwa mno.Barikiwa sana nilikuwa na imani utapata Maana Mungu yupo pamoja na wewe karibu siku moja moja Canada.
Shule mkuuUnaenda kufanya nini
Pitia post zangu za nyuma mkuutoa ramani kwa mabaharia wenzako.
Mkuu angalia post zangu zinafuatana Kaka, wazo, colleges application , admission, visa application, sevis fee, interview, visa.Mkuu ulipitia hatua zipi maana mimi mpaka nimechoka, VISA ni ngumu kuliko mashart ya kuiona pepo
[emoji16][emoji16]Takbir! Allah amrkujalia kuingia Amerikiya. Baada ya hapo ni ahera na bikra 72. Mecca, Jeddah, na Riyadh Allah hataki uende.
Mkuu huwa huishiwi vitukoTakbir! Allah amrkujalia kuingia Amerikiya. Baada ya hapo ni ahera na bikra 72. Mecca, Jeddah, na Riyadh Allah hataki uende.
Ahsante sanaHongera sanA