Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante Mkuu.Nenda state mkuu,hiyo ndio Dunia ya kwanza,kama ni shule kapige kisawa Sawa,kama ni kazi piga kweli kweli,waza future yako na jamii/familia yako,iwekee misingi mizuri Ili na wanyewe,siku ukisha kuwa muhenga wapate njia raini ya kupita kufikia manono,wao wasije Waka hustle saaana kama wewe,
Congrats!!
Visa yangu ni student Visa Mkuu - F1.Wewe visa yako inasomekaje? Mana naskia zipo visa aina mbalimbali.
Je, visa yako inakuruhusu kuishi moja kwa moja huko USA?
Banafsi navizia kucheza ile bahati nasibu ya kwenda USA mwaka huu. (Diversity Visa Lottery)
Hii ndio akili halisi ya mtanzania, wenzetu wa Africa magharibi wametuacha mbali sana.Kwa atakae taka nimuunganishe na mtu pale embassy amsaidie kupata visa anicheki pm [emoji1787][emoji1787][emoji1787] qmmk
Sawa.Msalimie sana jay z ukimuona uko
Simjibu nadanganya.Akikujibu nitag.
Wewe nakuona tangu asubuhi unahangaika na mimi, bahati nzuri sina haja ya kusumbuana na wewe, unachokihitaji kwangu hutakipata, SAWA KANIKAMATA, UMERIDHIKA?Umemkamata pazuri labda viza ya YEMEN
Mkuu ahsante sana kwa moyo wako mwema, umenisaidia sana tangu mwanzo hadi hapa nilipofikia, ubarikiwe maradufu, natambua msaada wako kwangu.Ndio maana Marekani hawaishiwi, hiyo ni dhulma wanaifanya dunia nzima halafu wanaonyimwa viza ni wengi kuliko wanaopata na hiyo pesa ni non refunded.
Naam Kiongozi,naenda kwa ajili ya Masomo.Daah hongera mkuu, naona umenitimizia ndoto yangu.
Unaenda kwa ajili ya masomo chuo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unaweza ukatoa hii hela, na bado ukakosa hiyo visa!Malipo ya nini mkuu?.
Visa 384000
Sevis 873,000
Visa Insurance ( Reciprocity) 696000
Acha wivu bibie, dah, mijitu mna roho za chuki Sana,Umemkamata pazuri labda viza ya YEMEN
Visa nitapata kesho, nimeacha Passport, ila hata nikichukua siwezi ku display taarifa zangu mitandaoni Mkuu.Ndio tuone,wengine hatujawahi kuona Visa ya Marekani.
achana na masikini huyo mwenye roho ya kutu, hapo alitamani asikie umeleta thread yakunyimwa Visa,Wewe nakuona tangu asubuhi unahangaika na mimi, bahati nzuri sina haja ya kusumbuana na wewe, unachokihitaji kwangu hutakipata, SAWA KANIKAMATA, UMERIDHIKA?
Iko njia ya kuficha Details zako muhimu.Visa nitapata kesho, nimeacha Passport, ila hata nikichukua siwezi ku display taarifa zangu mitandaoni Mkuu.
Ndio watu walivyo mkuu nawajua sana, me nishaachana nae, simpi airtime kabisa.achana na masikini huyo mwenye roho ya kutu, hapo alitamani asikie umeleta thread yakunyimwa Visa,
Kesho hakuna kazi na Balozi zote nazo zimeaambiwa kua kesho ni siku ya Sensa nenda kesho kutwa!!Mkuu hadi kesho ndio nitachukua, passport nimeacha Kwa ajili ya kugonga visa,ila nimepewa kadi kwa ajili ya kuchukulia.
Sawa.Kesho hakuna kazi na Balozi zote nazo zimeaambiwa kua kesho ni siku ya Sensa nenda kesho kutwa!!
[emoji16] haya mkuu.Iko njia ya kuficha Details zako muhimu.
Kaichukue kwanza[emoji16]