Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
- Thread starter
- #161
Shukrani sana, nitafanya hivyo, na daima nimekuwa nafanya hivyo mkuuMungu akutangulie usisahau kusaidia na wengine, sio lazima mpaka mtu umjuwe.
Wewe tumepeana moyo tu hapa mtandaoni lakini wapo tulioshikana mkono Leo wametobowa wameaota maoembe, ila Mungu ni mwema na Mimi si haba siko vibaya.