Yaani kuna jamaa alianza kuniambia mambo ambayo hadi sasa hivi najiuliza kama hiyo roho anayo mtu anayekujua vizuri anakuua kabisa.
Nilichojifunza tu ni kuwa sitakuwa naweka masuala binafsi mtandaoni, ni kukaribisha roho za kishetani tu maishani.
Niliweka ili tu niweze kupata usaidizi na ushauri kutoka kwa wajuzi wa mambo, ili kupata insight ya kupambana,ila matokeo yake mtu anakuandikia.
- UNAENDA UTUMWANI UNAONA SIFA.
- UTAKUFA NJAA HUKO
- UTARUDI NA MAKOBAZI HUTAFANIKIWA
- UTARUDI KAMA ULIVYOKWENDA.
- UNATUANDIKIA MAREKANI UNADHANI NI MBINGUNI.
- UNATAKA SIFA, NK.
- CHUKUA MIFAGIO YA KUZOLEA MAVI YA WAZUNGU.
Ina discourage sana, anyway tuishi.