Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Pole sana najua unapitia wakati mgumu mnoo,ila ukweli ni kwamba huna mke hapo huyo ni Malaya kama Malaya wengine.Ukiamua kumsamehe basi haku
kibanzi cha huyo Mwanamke ndio mnachokiona
 
Ntawapa mrejesho wakuu,,vabao na ngumi za hapa na pale zimenifanya asira iishe sasa navuta pumzi hapa nimsikilize maana ameomba nimsikilize nisimpige ntamuuwa na amesema atasema yote yalio tokea na kwann karud home saa sita usiku na kunidamganya yupo home anaangalia tamthilia,

Sasa nasubir amalize kulia hapa nimsikilize isije kuwa namwonea bure,ntawapa mrejesho
 
We ni fala tu unatuenjoy
Sijaona ata sehemu unawaza kukagua simu
 
Mkuu usiwe na hasira usije ukaua...hebu ngoja nije nimchukue alale huku kwangu asubuh hasira zako zikipungua namtuma rikiboy amlete
 
Hujapiga vidole kuona kama njia inautelezi/harufu ya condom?
Hujapekua simu uone mazungumzo/meseji unazozitiloa shaka?
 
Noma sana
 
Mkuu unatuangusha bana...mrejesho uko nusu na mtu karud saa sita. Tumekaa tunategemea mrejesho wenye maamuzi magumu ya kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…