Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Najaribu kuwaza km hii kweli sio chai bac mwamba unatakiwa kutuliza akili na kuondoa papara,hukupaswa kumpiga,ulipaswa kwanza kuchukua cm na kuikagua,km kwny cm kuna usalama bac akueleze huyo rafik ake ni nani na umpigie kumsapraiz na kumuuliza maswali ya kimtego km vile namtafuta RFK yk hapatikan kwan umeonana nae jioni ya Leo?..

..mwisho wa yote ukijihakikishia kuwa kweli katoka Ku cheat bac akili kichwani mwako,....utaamua cha kufanya mwenyewe ila usimpige,tunaweza kukwambia umuache kumbe bado unampenda sana na wanao watateseka,pia tunaweza kukwambia usimwache kwa kua nawe pia ni kahaba was kiume ila ukashindwa kuishi nae kwa amani na ukashindwa kushiriki nae tendo maana kumbukumbu ya kuliwa bado ikawa inakurudia,....mwisho wa cku nawe utaendelea kuzini nje na kusababisha tatizo kuzidi kuwa kubwa zaidi na kumkasirisha Mola wako,.....
 
Ntawapa mrejesho wakuu,,vabao na ngumi za hapa na pale zimenifanya asira iishe sasa navuta pumzi hapa nimsikilize maana ameomba nimsikilize nisimpige ntamuuwa na amesema atasema yote yalio tokea na kwann karud home saa sita usiku na kunidamganya yupo home anaangalia tamthilia,

Sasa nasubir amalize kulia hapa nimsikilize isije kuwa namwonea bure,ntawapa mrejesho
USIDANGANYIKE NA MACHOZI YA MWANAMKE

WALA USIRUHUSU MACHOZ YA MWANAMKE, YACHUKUA NAFASI YA UBONGO WAKO


WANAWAKE NI WAJANJA SANAA
 
𝐒𝐚𝐬𝐚 𝐰𝐞 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐥𝐚𝐥𝐚𝐦𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐢𝐧𝐢 𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐧𝐚 𝐰𝐰 𝐮𝐧𝐚𝐦𝐜𝐡𝐞𝐩𝐮𝐤𝐚 𝐦𝐤𝐞𝐨
 
Usije kuwa story umeitoa bongo movie unataka comments humu Mana naona watu hawajalala bado
 
Jamaa linasimamia kucha saa hizi linapiga kila style. Ndiyo limemaliza mbuzi kagoma wako mapumziko kabla ya kuanza popo kanyea mbingu 😂😂😂
Hatulali leo, moaka tuone kama atarudi au hatorudi,..tupo na wewe kamanda...
 
Jamaa lake linasimama kwa kucha doggy, mbuzi kagoma na kifo cha mende linapiga masaa mawili mawili jasho chepe chepe mpaka miguu inatoa jasho. Akimaliza hapo mkeo hoi bin taabani K ya motoooooo 😂😂😂
Tena itakuwa hata natukanwa,siku hiz anatabia ya kusema mbona umemaliza mapema
 
Kimeumana! Mrembo analia ati alikuwa kwa rafiki! Wakati alisema yuko nyumbani anaangalia tamthilia!
Poa amerudi na amevaa nguo kapendeza sana kitu cha kwanza nimeshindwa kuvumilia imebid nimnase kibao yupo analia hapo na anasema alikuwa kwa Rafiki yake
 
😳😳😳😳😳😳
Umekosea sana kumpiga. We ungekaa kimya tu no sex asubuh acha ela mezan ondoka akikuuliza kitu jibu kwa mkato keep busy na mambo yako kama hakuna kilicho tokea ungemuona anaomba samahani mwenyewe
 
Kasema uongo kwamba yuko nyumbani, kapendeza sana, meseji zako alikuwa hazijibu. Ukiona manyoya Mkuu! STUKA!
Ntawapa mrejesho wakuu,,vabao na ngumi za hapa na pale zimenifanya asira iishe sasa navuta pumzi hapa nimsikilize maana ameomba nimsikilize nisimpige ntamuuwa na amesema atasema yote yalio tokea na kwann karud home saa sita usiku na kunidamganya yupo home anaangalia tamthilia,

Sasa nasubir amalize kulia hapa nimsikilize isije kuwa namwonea bure,ntawapa mrejesho
 
Ukiona mwanaume humii mke wako kugongwa nje ujue una upungufu wa kitu mwilini hadi sasa ulitakiwa uwe umewasha moto huko aliko awe anaharisha
what for???? ya nini mkuu??dawa nzuri sana ya mke ambae anachepuka ni kumuachia huo mume akae nae, PERIOD, hakuna haja ya hasira au nini, taratibu tu akirudi kwa upole chukua vitu zako nenda utaratibu wa kuvuja ndoa kisheria unafuate, kwani au niseme hivi wanaume wengi tunaoa wake zetu wakiwa wametorewa bikra, yaani she is no longer a virgin wakati unakutana nae, sasa unaleta hasira ya nini na hata sio wewe ulikuwa wa kwanza? my point is simple sio ati nafurahia kuliwa mke wa mtu, but i fully respect peoples personal choices and decisions,ameamua kufanya hivyo mpe uhuru kabisa
 
Back
Top Bottom