TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Cha kwanza chukua simu. Cha pili mvue nguo ukague mashine kama imetumika😂Poa amerudi na amevaa nguo kapendeza sana kitu cha kwanza nimeshindwa kuvumilia imebid nimnase kibao yupo analia hapo na anasema alikuwa kwa Rafiki yake