Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Ila tafakari sana. Why imetokea hivyo. Maana kama sio chepuko lako limebugi saa hii na wewe ungekuwa somewhere.
Nakushauri relax, omba Mungu, samehe, usichepuke tena.Kama na yeye kweli atakuwa kaenda chepuka ni kosa. Sameheaneni. Maisha yaendelee kama kawa.
 
Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.

Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,

Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.

Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,

Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,

Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife

Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.

nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.

itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,

Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,

Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .

Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,

Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.

Nawasilisha...
Harafu umeandika mwandiko wa FB
 
Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.

Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,

Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.

Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,

Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,

Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife

Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.

nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.

itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,

Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,

Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .

Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,

Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.

Nawasilisha...
Shekh mark siku ya leo kama game changer kwa maana kila kitu kina kusudi lake, wewe umemdanganya unarudi kesho na yeye kakudanganya yuko home kama sio mchepuko wako kudelay basi siku ya leo ingepita bila kupitia unayopitia sasa hivi.

Ushauri:rudisha mpira kwa kipa panga formation upya huyo mama atulie inawezekana anajua michezo yako ya offside iyo sema kaamua kulipiza.

AN EYE FOR AN EYE.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mkuu pole sana ,usitoke hapo msubili arudi akukute hapo home
 
mpigie simu mwambie kuna mtu yupo home hapo nje mpe elfu 5 anandai na anashida nmemwambia nmesafiri ila achukue kwako..
 
Mimi hapa nipo kusubiria mrejesho tuu sinyanyuki hata kwa dawa! Huyu mwanamke hawezi kutulaza macho JF nzima lazima tujue mwisho 🙄
 
Thanks hii msg ntaituma ikifika saa sita usiku
Usitume hii msg mkuu,

Utaharibu Mambo yote, unachotakiwa KUFANYA Ni kujua mchezo mzima Hadi na Yule anayetoka Naye ili ukomeshe tabia iyo jumla.

Apa Kama mwanaume unatakiwa umepeleleze afu ukishamgundua MCHIMBE MKWALA Mizito.

Akishatulia msimulie A-Z tangu mwanzo ulivoyajua Mambo yake MDA mrefu ila ukauchuna Kimya.

Hakika atakuogopa mno, atajihisi aibu na naamini atajuta na sidhan Kama anaweza rudia UPUUZ T huo tena.
 
Ila tafakari sana. Why imetokea hivyo. Maana kama sio chepuko lako limebugi saa hii na wewe ungekuwa somewhere.
Nakushauri relax, omba Mungu, samehe, usichepuke tena.Kama na yeye kweli atakuwa kaenda chepuka ni kosa. Sameheaneni. Maisha yaendelee kama kawa.

Ndio maana sina papara isingekuwa ule mchepuko kutopokea simu na kutokuja kunipokea sahii ningekuwa guest nakula na yy analiwa huko nikirud sijui chochote ila hii imeonyesha maisha tunayo ishi ya kufichana vitu japo yy ndio ameanza hiv karibu but kumsamehe itakuwa ngum sana
 
Usitume hii msg mkuu,

Utaharibu Mambo yote, unachotakiwa KUFANYA Ni kujua mchezo mzima Hadi na Yule anayetoka Naye ili ukomeshe tabia iyo jumla.

Apa Kama mwanaume unatakiwa umepeleleze afu ukishamgundua MCHIMBE MKWALA Mizito.

Akishatulia msimulie A-Z tangu mwanzo ulivoyajua Mambo yake MDA mrefu ila ukauchuna Kimya.

Hakika atakuogopa mno, atajihisi aibu na naamini atajuta na sidhan Kama anaweza rudia UPUUZ T huo tena.

Itabid kumsamehe hapa unacho maanisha?
 
Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.

Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,

Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem na mchepuko wangu na kushinda nae mpka jion.

Nimefika stand sijamkuta na piga simu hapokei nikasema poa acha tu niende zangu home kwanza nimechoka sana ntamchek next time huu ni mchepuko haunaga shida niko nae kitambo na anamjua wife vizur sana ,pia anasubir nimwoe mke wa pili nimemwambia awe na subira,

Hata hivo nimefika home ndio mchepuko anajibu Sorry nilipitiwa nilikuwa nimelala so nakusubir tunafanyaje nikamjibu Poa subir ntakwambia,

Tatizo nimerud home wife hayupo na sasa inaenda saa tatu usiku nimefika toka saa moja usiku na nimempigia simu just kumwambia vipi huko unaendeleaje kasema yupo home anaangalia tamthilia zake yaan hapa nilipo uongo sijui kaanza lin huyu wife

Tena kwa saut kavu kabisa anasema nipo nyumbani anaangalia tu tamthilia na anaanza kunihoji unarudi saa ngapi kesho mi nikamjibu tu kesho usiku saa mbili hivi kasema sawa nimletee zawadi.

nafkiri tabia hii imeanza muda kidogo japo huwez kujua kirahis ila mtu unaye kaa nae mabadiliko kidogo tu utajua kuna shida maana alikuwa hayupo huru sana na simu yake na hata akiiweka anaigeuza sehem ya mbele inakua chin na passward kabadilisha na simwoni tena kufatilia nyendo zangu kama zaman.

itakuwa kuna msela ameshakula mzigo tayar naleo mida hii itakuwa anakula,,

Nimefika tu kuingia ndani bafun mtu ameoga,mswaki amepiga,na ni kama tumepishana tu mi nafika saa moja kamil yy itakuwa ametoka saa kumi na mbili jioni.,

Hapa nawaza sijui nimpigie tu mchepuko wangu nikalala huko au nimpigie wife arud home .

Inauma lakn hebu wakuu nipeni msaada tumezaa nae watoto wa wili wote madume sema walienda kwa bibi yao mwezi sasa ndio maana amekuwa huru kutoka.,

Pia huwa inaeza kuwa hata mimi nimechangia maana huwa nachepuka marakwamara lkn hajawahi kunikamata ila hiyo haihalalishi yeye pia achepuke.

Nawasilisha...
Hapo hamna kitu ushapigwa hakuna kitu kibaya kama mweza kuongea uongo huo ni ushenzi, Wife wangu hata akitoka kazini ana hamu ya bia hawezi kaa mahali bila ruhusa yangu, hata kama yupo home anataka kwenda mahali hawezi kwenda bila kutoa taarifa...hata kama nipo safarini
 
Kwa namna yoyote ile ukifanya ajue kua umejua hayupo utafeli kumnasa Ready handled.

Chakufanya,
-Toka hapo home,
nenda kabane sehem barabara ya kuingia kwako inaishia afu piga Rada uone ataletwa na Nani na atakuja SAA ngapi.
Baaada ya uchunguz nenda kalale pengine mpk kesho MDA ulopanga urudi.

-kesho yake ukirud Anza KAZI yako ya upelelezi pole pole utamjua IN &OUT
Ushauri wa uwongo sana huu...hapo ni kumuita mchepuko home...wale vitu vyao..wife akirudi na yeye aje tamthilia yake
 
Inawezekana nahis pia huwa kuna sehem anasemaga anaenda kuchukua Muv na hapa nimecheck flash nichek muv zangu sijaikuta
Duh, halftime wanacheki collection za movie zako eeh!? Ila nyie wanawake unajua Mungu anawaona eeh😡!
 
Oyaa....tunaenda kulala...
[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
 
Ushauri wa uwongo sana huu...hapo ni kumuita mchepuko home...wale vitu vyao..wife akirudi na yeye aje tamthilia yake
Akifanya hivi, atabalance story, means hawezi pata mwanamke ndani ya usiku mmoja na kumleta home.

Mwanamke atasema alijua ana mchepuko akalipiza.

Solution jamaa leo awe Saint kabisa, tena akisharudi kama ni mimi wala nisingeanza kwa kuwaka, Namwambia tu aya mtoto mzuri nieleze ulikuwa wapi usiku huu?

As time goes hasira huwa zinakuja zenyewe tu, na adhabu huwa inachaguliwa, au unamwambia lala mtoto mzuri utaniambia kesho.

Akiingia pora simu, Msamaha utatoka endapo atatoa password
 
Back
Top Bottom