nyie wawili leo mkinywa therengeti therengeti zibadilike na kuwa maji .
Huyu LINC ndo mzee mwenyewe au hawala?
Mwangalie hapo juu tunaomba kauli yako ya uthibitisho.
FL1 hebu tufumbulie hili fumbo. Mbona unalipotezea?
Hehehehe huyoooo kachapa mwendo.
Hajakubali wala kukataa kama LINC ndo mwenye hati miliki kutoka kwa Mungu.
I'm here sweet, nakupenda pia nashukuru kwa kuonyesha upendo wako bayana ndani ya forum. I love u much
Linc ..si wewe lakini wewe wasema !
Hehehehe huyoooo kachapa mwendo.
Hajakubali wala kukataa kama LINC ndo mwenye hati miliki kutoka kwa Mungu.
Afadhali umefumbua fumbo. Sasa naweza kuendelea? Potelea mbali bia iwe maji, valuu zimejaa tele mpaka za kichina!
hahahaha Binamu...Binamu ..Binamu hivi inawezekana vile unavyodadhani??
Kwangu mimi inawezekana. Wewe tu mama.
Linc ..si wewe lakini wewe wasema !
Binamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu................................🙂
Eliza mpe Valuer F1 hapa haraka sana.
mie sinywi valuer kama kuna Mbege itakuwa vema sana !
Binamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu................................🙂
Nakupenda pia mwandani wangu, chuma la roho yangu, rafiki yangu wa maisha..mwaaaah
who is your hubby hear my bestlady????????nimechanganyikiwa...............
Endelea kuchanganyikiwa ikiwezekana ..............
Shemeji vp mzima.?