Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Hehehehe huyoooo kachapa mwendo.
Hajakubali wala kukataa kama LINC ndo mwenye hati miliki kutoka kwa Mungu.

LINK sie Fidel80 sijui kwanini hajitokezi na hataki kujisema ..ila yeye ni mwanasiasa aliebobea kwa hiyo jukwaa hili kuingia ni kwa nadra sana ..
 
Afadhali umefumbua fumbo. Sasa naweza kuendelea? Potelea mbali bia iwe maji, valuu zimejaa tele mpaka za kichina!

hahahaha Binamu...Binamu ..Binamu hivi inawezekana vile unavyodadhani??
 
Fidel 80 ...Mimi FL1 nakanusha Linc namuonaga tu kwenye Prison Breaker ..na si mwenza wangu kama aklivyosema hapo Ubaoni ..
 
Back
Top Bottom