Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

usiogope my darling wewe na mimi mpaka mwisho wa nyakati..wananionea wivu sana mimi kuwa na wewe kama my wife wangu..tulia tuzae mtoto wa pili ndo washangae

na ww polisi umetokea wapi? kaongoze magari kwenye foleni huko mtoto utamweza huyu?? mtu mwenyewe umenenepeana ka nini...round 1 hoi.
 
na ww polisi umetokea wapi? kaongoze magari kwenye foleni huko mtoto utamweza huyu?? mtu mwenyewe umenenepeana ka nini...round 1 hoi.

Hahahahahahaha Kigogo mazee anakula viagra pori......
 
Duh! Naona mdada wa watu anagombaniwa kaa mpira wa kona. Kubabake walahi....inabidi kina dada waongezeke hapa la sivyo hapatatosha

Tunamtaka huyuX2 wengine wa nini wan jicho kama hili? kama wapo waje.....
 
ha ha ha sorry mkuu maybe nilipitiwa na hiyo comment yake aliokutaja!

Pitia zote mkuu, utakutana nayo. Kina burn, masa,nguli wote wamenawa mikono. Sasa naona kuna mtrafiki mmoja umeibuka nao eti unataka kula. Badala ukaongoze magari pale ubungo wenyewe unang'ang'ania wake za watu
 
That was so sweet of you dear , anyway even though your JF senior Expert and iam just senior here , but your so cool , caring , sweet and Loving ,Just be sure you are still the one i adore sweetheart Lotion !!
 
Naona hii thread imejaa wapenzi wa huu wimbo wa Marehemu Roger Troutman na ndugu zake kwenye kundi la ZAPP......

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=HftQgBZ-Ou8[/ame]


Yeyeyeee, Computer WIFE>>>>>>
 
Pitia zote mkuu, utakutana nayo. Kina burn, masa,nguli wote wamenawa mikono. Sasa naona kuna mtrafiki mmoja umeibuka nao eti unataka kula. Badala ukaongoze magari pale ubungo wenyewe unang'ang'ania wake za watu

Ha ha aha ha ha ha aha., Mkuu na mimi nimeuona tushaupotezea mbali
 
Ofcourse, I am the winner.


Winner wapi wakati wenzio tukiwa tunazunguka round ya 2 wewe naona umeshika sakafu hukusikia hata bastola ilivyolia ikiashiria mbio zimeanza
 
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u

921-i_love_you_teddy_bear.jpg
Oh my wife wangu first lady, I love you more than all the stars in the universe. Have a good day sweet pie!.
 
Naona hii thread imejaa wapenzi wa huu wimbo wa Marehemu Roger Troutman na ndugu zake kwenye kundi la ZAPP......

http://www.youtube.com/watch?v=HftQgBZ-Ou8

You hit it right on the head.....kwikwikwikwikwiiiiiiiii.....ila amini usiamini kuna mijitu inachukulia mambo ya kwenye internet very seriously kwa hiyo sitashangaa kukiwa na jitu au mijitu itakayo develop some type of emotional attachment na huyo so called Firstlady1
 
eeeh can imagine mbona mmefika watatu tayari 😱 katika muda mfupi tu
...Ukisikia usanii ndio huu. Haya pendaneni basi ingawa jamaa anadai hakukuta bikira.Hii imekaaje nayo 1st Lady?
 
Eti anakupenda???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
aaaah hivi mnajua nimepigwa butwaa sikumaanisha hivi jamani was really serious nyie mnadhani joke😡
hahahhahahaahahahaaaaaaaaaaaaaa yaani umenichekeshesha hapoo FL ile mbaya hivi hujajuaaa humu kuna kila aina ya ubongo? usijali waache wao watanie lakini wako wa ubani anajua unachomaanisha, nimeipenda style yako ya kusema nakupenda kwa mumeo.Hongera
 
Back
Top Bottom