Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Karibu shampeni binamu. You are my best man!
Am looking around for a Titan suit...can wait bestman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu shampeni binamu. You are my best man!
sasa fanya basi mambo ili nami nichuke huo mzigo jumla jumla na sio kwa kuchezea mkubwaBinamu ongea vizuri na mimi, nikuwekee mambo sawa. Wala hujakosea, mdogo wake ni bomba ile mbaya, kidogo siku moja shetani anizidi nguvu.
sasa fanya basi mambo ili nami nichuke huo mzigo jumla jumla na sio kwa kuchezea mkubwa
Am looking around for a Titan suit...can wait bestman
Duh, carpet na ceilingboard to chrispin? Ukuta umemwachia nani?
hongera chrispin! Umeshinda kinyang'iro, msimamo uliouonyesha hata mtoto kakiri na sisi tunakubali matokeo kwa nia 1. Pole mr po! Po! Po! Liceman, pole masanilo, pole bluray,pole sana burn na mimi pole.
A suit? You are an alcoholic dont forget.
hongera chrispin! Umeshinda kinyang'iro, msimamo uliouonyesha hata mtoto kakiri na sisi tunakubali matokeo kwa nia 1. Pole mr po! Po! Po! Liceman, pole masanilo, pole bluray,pole sana burn na mimi pole.
Weka kilaji cha kufa mtu...nikilewa nakosea chumba navamia chumba za bw na bi harusi hahahahahaha
Usijali mkuu, kilaji hapa ni nyumbani kwake. Chumba cha bwana na bibi harusi kitalindwa na dogi la polisi.
Mkuu nakukaribisha kwenye anniversary ya mwaka mmoja wa ndoa yangu na darling wangu FL1. Masa, Polisi Kigogo, Bluray na Burn watapewa nafasi kwenye back bench manake hawachelewi kuharibu.
Pole FL kwa salamu zako to your best half kutekwa nyara njiani.
Hata hivyo shukrani kwenu nyoote mliovamia maana mmetupa burudani ya bure mkatusaidia ku unwind ........
Fundisho..mambo binafsi usiwashirikishe kadamnasi kama hivi.Ukimsifia na kumtunuku mpendwa wako mara nyingi hutokea madhara - watu watamwinda kama dik dik.
Jicho la mkeo zuri sn, fuga mbwa mkali German Shephered Masanilo simwamini kbs na Fidel ananyatia wake za watu.
Nimekupata cousin..namsubiri wifi athibitishe huu mpango ni authentic kiasi gani...Wala lisikusumbue binamu, tulipanga na mai waifu wangu afanye hivyo ili tuone wakware watafanya nini. Lengo limetimia tumerudi zetu honeymoon.
Pole FL kwa salamu zako to your best half kutekwa nyara njiani.
Hata hivyo shukrani kwenu nyoote mliovamia maana mmetupa burudani ya bure mkatusaidia ku unwind ........
Fundisho..mambo binafsi usiwashirikishe kadamnasi kama hivi.Ukimsifia na kumtunuku mpendwa wako mara nyingi hutokea madhara - watu watamwinda kama dik dik.
Nilidhani FL anamsalimu Mumewe..sasa ya bwana na bibi harusi na chumba chao kulindwa na askari wa miguu minne kama vile ndo wanaenda kuoana...imehuuu???
the winner is my husband Chrispin bwana masanilo😀