Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Binamu ongea vizuri na mimi, nikuwekee mambo sawa. Wala hujakosea, mdogo wake ni bomba ile mbaya, kidogo siku moja shetani anizidi nguvu.
sasa fanya basi mambo ili nami nichuke huo mzigo jumla jumla na sio kwa kuchezea mkubwa
 
sasa fanya basi mambo ili nami nichuke huo mzigo jumla jumla na sio kwa kuchezea mkubwa

Subiri nicheki na wife. Bahati nzuri wife mshapu, hachelewi kukufanyia mpango kabla yangu.
 
Duh, carpet na ceilingboard to chrispin? Ukuta umemwachia nani?
 
Duh, carpet na ceilingboard to chrispin? Ukuta umemwachia nani?

See? Baba na mama ni carpet na Ceilingboard. Ukuta ni watoto mkuu. Juu vs Chini. Umeipata hiyo?
 
hongera chrispin! Umeshinda kinyang'iro, msimamo uliouonyesha hata mtoto kakiri na sisi tunakubali matokeo kwa nia 1. Pole mr po! Po! Po! Liceman, pole masanilo, pole bluray,pole sana burn na mimi pole.
 
hongera chrispin! Umeshinda kinyang'iro, msimamo uliouonyesha hata mtoto kakiri na sisi tunakubali matokeo kwa nia 1. Pole mr po! Po! Po! Liceman, pole masanilo, pole bluray,pole sana burn na mimi pole.

Jamaa kwa kweli King'ang'a wacha ale vyake ila kumbuka nimepata u-bestman!
 
hongera chrispin! Umeshinda kinyang'iro, msimamo uliouonyesha hata mtoto kakiri na sisi tunakubali matokeo kwa nia 1. Pole mr po! Po! Po! Liceman, pole masanilo, pole bluray,pole sana burn na mimi pole.

Mkuu nakukaribisha kwenye anniversary ya mwaka mmoja wa ndoa yangu na darling wangu FL1. Masa, Polisi Kigogo, Bluray na Burn watapewa nafasi kwenye back bench manake hawachelewi kuharibu.
 
Weka kilaji cha kufa mtu...nikilewa nakosea chumba navamia chumba za bw na bi harusi hahahahahaha

Usijali mkuu, kilaji hapa ni nyumbani kwake. Chumba cha bwana na bibi harusi kitalindwa na dogi la polisi.
 
Pole FL kwa salamu zako to your best half kutekwa nyara njiani.

Hata hivyo shukrani kwenu nyoote mliovamia maana mmetupa burudani ya bure mkatusaidia ku unwind ........
Fundisho..mambo binafsi usiwashirikishe kadamnasi kama hivi.Ukimsifia na kumtunuku mpendwa wako mara nyingi hutokea madhara - watu watamwinda kama dik dik.
 
Usijali mkuu, kilaji hapa ni nyumbani kwake. Chumba cha bwana na bibi harusi kitalindwa na dogi la polisi.

Nilidhani FL anamsalimu Mumewe..sasa ya bwana na bibi harusi na chumba chao kulindwa na askari wa miguu minne kama vile ndo wanaenda kuoana...imehuuu???
 
Mkuu nakukaribisha kwenye anniversary ya mwaka mmoja wa ndoa yangu na darling wangu FL1. Masa, Polisi Kigogo, Bluray na Burn watapewa nafasi kwenye back bench manake hawachelewi kuharibu.

Jicho la mkeo zuri sn, fuga mbwa mkali German Shephered Masanilo simwamini kbs na Fidel ananyatia wake za watu.
 
Pole FL kwa salamu zako to your best half kutekwa nyara njiani.

Hata hivyo shukrani kwenu nyoote mliovamia maana mmetupa burudani ya bure mkatusaidia ku unwind ........
Fundisho..mambo binafsi usiwashirikishe kadamnasi kama hivi.Ukimsifia na kumtunuku mpendwa wako mara nyingi hutokea madhara - watu watamwinda kama dik dik.

Wala lisikusumbue binamu, tulipanga na mai waifu wangu afanye hivyo ili tuone wakware watafanya nini. Lengo limetimia tumerudi zetu honeymoon.
 
Jicho la mkeo zuri sn, fuga mbwa mkali German Shephered Masanilo simwamini kbs na Fidel ananyatia wake za watu.

Umesomeka mkuu, usisahau kuja na avatar yako, inaweza kusaidia zaidi.
 
Wala lisikusumbue binamu, tulipanga na mai waifu wangu afanye hivyo ili tuone wakware watafanya nini. Lengo limetimia tumerudi zetu honeymoon.
Nimekupata cousin..namsubiri wifi athibitishe huu mpango ni authentic kiasi gani...
 
Pole FL kwa salamu zako to your best half kutekwa nyara njiani.

Hata hivyo shukrani kwenu nyoote mliovamia maana mmetupa burudani ya bure mkatusaidia ku unwind ........
Fundisho..mambo binafsi usiwashirikishe kadamnasi kama hivi.Ukimsifia na kumtunuku mpendwa wako mara nyingi hutokea madhara - watu watamwinda kama dik dik.

Na wewe umetokea wapi kuharibu hali ya hewa mume wa 1st lady ni CHRISPIN we sijui wivu unaleta siasa zako hapa.....unajua tumetokea wapi tangu jana we have toil a lot
 
Nilidhani FL anamsalimu Mumewe..sasa ya bwana na bibi harusi na chumba chao kulindwa na askari wa miguu minne kama vile ndo wanaenda kuoana...imehuuu???

Ni ka anniversary mama. Tunajikumbushia siku ileeee.
 
Back
Top Bottom