Olewa dada upate heshima maana unaachana. Na ukapela na kuwa mwanamke kamili.hongeraHabarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Alaaaa....basi huo uzi sijauona. Tumtakie kila la kheri katika maisha mapya hayoHapana. Nauliza tu kutoka na uzi wake aliowahi kuuweka hapa akilalamika kuwa jamaa hataki wa-do kabla ya ndoa, jambo lililomsumbua na kuhisi labda jamaa sio riziki.
Maneno yako yameniingia sana isitoshe yamekuja kwa wakat muafaka..asante sana.Hongera Monicca
Kuolewa sio issue,kui- ishi ndoa ndio kubwa na la msingi
Mungu akujalie kui ishi ndoa ya amani furaha na upendo,kuvumiliana na kutunziana mapungufu(kati yenu nyie wawili)ndiyo siri ya mafanikio, marriage is a life time adventure from this moment on
Love is the greatest invension ever created
Hongera sana
Nakuusia NDOA NI UVUMILIVU hakuna maana. zaidi ya hiyo.Na hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja,cha muhimu angalia mji wako usiharibike kisa wapita njiaHabarini za asubuhi wa ndugu wapenzi.
Naamini mmeamka salama, pia nawapa pole wote ambao hamko poa leo, nawaombea kwa Mungu mpone haraka.
Baada ya hayo nachukua nafasi hii kuwaalika nyote ktk harusi yangu leo..itakayofanyika St. Joseph na kufuatiwa na sherehe pale Delux Hall. Asante sana.
Hapa sijakuelewa kinjio what do you mean? Kama siyo ridhiki mi ntasepa tena kwa speed kubwa sifuati chakula chake mimNafuahi uliamua kukubaliana naye.
Hata ikiwa sio riziki, tafuta namna ya kuondokana na tatizo hilo.
Marriage is not like a bed full of roses.
There are some thorns in it.
We ulitakaje labda?duu watu mna maamuzi,hivi na dunia hii unaazaje kujifunga kwa mtu mmoja??..umeyataka mwenyew sio baada ya wik unakuja hapa kujaza serva kwa malalamishi yenu,watu mlioko kwenye ndoa mnamatizo sana utasema mnalazimishwaga.
Angalia hapa:Alaaaa....basi huo uzi sijauona. Tumtakie kila la kheri katika maisha mapya hayo
Hatua hii ni muhimu ktk maisha inaleta heshima hata kama inachangamoto zake.Kila la heri katika maisha mapya...Hakika uliusemi wa walioko ndani wanapambana kutoka nje na walioko nje wanatamani kuingia ndani...Karibu ndani ya nyumba uje ujione machaguzi yale uliyoyafanya kama ni sahihi ama ulibug...