Niwana jf ndiyo..pole kadi zilitengwa 20 kwaajili ya sana jf na zilishakwisha zote.Asante sana Kwa taarifa Na hongera Kwa kupata mwenzi wa Maisha yako!vp bwana harusi Ni mwana JF?naomba kadi moja kwa wana JF tuwakilishwe na Lara pamoja Na Rubi
Kesho tupatie mrejesho kama yupo fit kazini.Hapa sijakuelewa kinjio what do you mean? Kama siyo ridhiki mi ntasepa tena kwa speed kubwa sifuati chakula chake mim
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana monicca...leo unaenda kukumbans na kibamia,ukivumilie maisha yako yote........
Kweli mkali sana huyu bibie wacha nim-quote kidogo alivyosema..''Wadau nisaidieni,mimi naishi kwangu na maisha yangu sina dhiki kwa kweli Mungu kanijalia kazi nzuri, nahudumia kila kitu lakini dushe lake ananinyima. Kweli huyu mzima au ndo hivyo tena? Kwangu mimi dushe ndio uhitaji wangu mkubwa'' Akamaliza..Basi kesho uje utujibie na hili
Je, Kuwa na mchumba na msifanye mapenzi mpaka ndoa, inawezekana kwa kizazi cha leo?
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!Hongera sana. Vipi ulishahakikisha huuziwi mbuzi kwenye gunia? Did you DO with him?
Mkuu, vipi?Weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Acha kumtisha mwenzio...Mkuu, vipi?
Mbona umefurahi sana?