funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
- Thread starter
- #341
Wanaume wanachepuka na wanawake its 50/50. Aldutery is a human nature ndio maana ni ngumu sana kukwepeka waislam waliona mbali wakasema m/ume anaweza kuoa wake wanneIna maana mnaoa kama kipicha cha ndani halafu mnafanya yenu? Kama ni hivyo tuachane na ndoa tuwe kama simba, ng'ombe na wanyama wengine wanaodandia kila mwenye joto! Siku nikihisi mme wangu amechepuka loh sisemi anaweza kuwa humu na yeye.