Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi

Leo naomba mniulize chochote kuhusu mimi

UMEVUMBUA KITU MPAKA SASA?
Sijavumbua kwa maana ya kuvumbua nayoielewa ila ninachojivunia ninafanya kazi kwa bidii sana kuliletea maendeleo taifa langu. Mfano hapo tunapochati niko njiani naenda kwenye mashamba yangu Morogoro nimesimama hapa Ruvu kuna lori limepinduka ndio nachat. Uwa sipotezi muda kizembe, kwangu mimi muda ni mali kuliko chochote
 
Ina maana mnaoa kama kipicha cha ndani halafu mnafanya yenu? Kama ni hivyo tuachane na ndoa tuwe kama simba, ng'ombe na wanyama wengine wanaodandia kila mwenye joto! Siku nikihisi mme wangu amechepuka loh sisemi anaweza kuwa humu na yeye.
Mama kuridhika ina hitaji moyo sana ndio maana kuchepuka inaendelea kuwepo.
 
Sijavumbua kwa maana ya kuvumbua nayoielewa ila ninachojivunia ninafanya kazi kwa bidii sana kuliletea maendeleo taifa langu. Mfano hapo tunapochati niko njiani naenda kwenye mashamba yangu Morogoro nimesimama hapa Ruvu kuna lori limepinduka ndio nachat. Uwa sipotezi muda kizembe, kwangu mimi muda ni mali kuliko chochote
Asante mkuu swali la mwisho.
Una uzungumziaje hali ya kiuchumi,na kisiasa nchini tanzania?
 
Huko sahihi sana mkuu. Halafu mwanangu hulali?

Nalala sana mkuu.
Jana nililala kuanzia saa kumi na moja jioni nikaamka saa 4 kasoro usiku. Halafu nikalala saa kumi na robo na kuamka saa 12 na dakika 45 asubuhi.

Sina muda maalum wa kulala, uchovu ndio unaniongoza muda gani nilale
 
Nalala sana mkuu.
Jana nililala kuanzia saa kumi na moja jioni nikaamka saa 4 kasoro usiku. Halafu nikalala saa kumi na robo na kuamka saa 12 na dakika 45 asubuhi.

Sina muda maalum wa kulala, uchovu ndio unaniongoza muda gani nilale
Okay maana mie nilidamka saa kumi nakuona huko online
 
Ulishawahi kukutana na memba yyte wa JF live?....swali la pili mkeo nae ni member wa JF?....kama yupo anaitwa nani?na kama hayupo kwa nini hayupo?.... swali la mwisho mkeo anajua kwamba ww ni memba wa JF?
 
Kwa simu app kwa pc browser
Chief nimeufuatilia uzi wako tokea mwanzo nashukuru sana kwa kufunguka kwa maswali unayoulizwa by the way mi nilikuwa na ushauri kwanini usingeacha kazi na kutumia nguvu zako zote ulizobakisha kuongeza uzalishaji kwenye miradi yako? Maana kwa umri wako inaonyesha umebakiza miaka 17 ya uzalishaji kabla ya kustaafu
 
Ulishawahi kukutana na memba yyte wa JF live?....swali la pili mkeo nae ni member wa JF?....kama yupo anaitwa nani?na kama hayupo kwa nini hayupo?.... swali la mwisho mkeo anajua kwamba ww ni memba wa JF?
Yah kuna wengi tu nilikutana nao wakati nasoma Germany. Wabongo wengi nje ni member wa JF hata huku bongo nimekutana na wengi wanaingia JF ila wengine sijui wanatumia majina gani.

Wife hatumii JF yuko busy sana na ufugaji hana muda sana na mitandao. Namshujuru Mungu wife ni mchakalikaji mnooo
 
Back
Top Bottom