Kuacha kazi nafikiria nikifika 50 au 55. Kuacha kazi kugumu sana ukiwa na madaraka. Pia kazi ndio inaniwezesha kukopa na kufungua miradi wacha nikabe kotekoteChief nimeufuatilia uzi wako tokea mwanzo nashukuru sana kwa kufunguka kwa maswali unayoulizwa by the way mi nilikuwa na ushauri kwanini usingeacha kazi na kutumia nguvu zako zote ulizobakisha kuongeza uzalishaji kwenye miradi yako? Maana kwa umri wako inaonyesha umebakiza miaka 17 ya uzalishaji kabla ya kustaafu
Ngoja nimeze mate ya akili kwanza kisha ndio nikuswalike maswali.Uliza tu mzee baba
Gari za kutembelea nazo 3, Prado ya 2008, Harrier New model ya 2005 na Vitz ya 2000 (my favorite). Kwenye biashara nina magari pia na matreka na mashine ya kuvunia mpunga.Mtoa mada unamiliki gari aina gani??
Je hilo unalomilik ni dream car yako?? Na je unamagari mangap??
Ahsante sana mkuu kwa jibu zuriKuacha kazi nafikiria nikifika 50 au 55. Kuacha kazi kugumu sana ukiwa na madaraka. Pia kazi ndio inaniwezesha kukopa na kufungua miradi wacha nikabe kotekote
Nakuona best hapo cheza kama Pele, mzee Kafa kaoza kwako 😀😀😀Santeee jaman mm nafurahi tu kama unanipenda kwa michango yangu nitajitahidi niwe nakufatilia mara kwa nafaaa loveeeeeeeeeeeeewww mwaaah mwaaaah
Bado una muda wa kujipanga pia nenda kijijini ukatafute mtaji ukiwa na malengo utatoboa usikae tu mjini bila kazi. Kaa chini andika unachotaka kukifanya kisha weka mpango mkakati ukisimamie mpk utimize.Ahsante sana mkuu kwa jibu zuri
Je! Una ushauri gani kwa kijana km mimi ambaye nakaribia miaka 33 lakini similiki kitu chochote cha thamani na maisha yamenipiga fimbo balaa?
............Dogo umeuliza swali la msingi sana nakuona ukifanikiwa ktk maisha yako kama akili yako ikiendelea kuwa active kiasi hiki.Kwa ufahamu na uzoefu wako ukiombwa ushauri wa kimaisha na mtoto msikivu anae ingia form one ungemshauri nini.....?
Ni kweli nilikuwa online, lakini mara nyingi App inaonesha mtu yupo hata kama hayupo online. Ila kwa Browser ndio inaonyesha ukweli na pembeni huwa wanaandika watu waliopo onlineKwa simu app kwa pc browser
Kuna vitu naviwaza juu ya future ya mwanangu......!............Dogo umeuliza swali la msingi sana nakuona ukifanikiwa ktk maisha yako kama akili yako ikiendelea kuwa active kiasi hiki.
Mkuu katika matrekta yako;; embu niazime mmoja nirudi kijijini kwa babu yangu nikapambane na shamba. Nimechoka maliza sori ya kiatu changu kuzunguka mjini posta na bahasha ya kaki bila mafanikio.Gari za kutembelea nazo 3, Prado ya 2008, Harrier New model ya 2005 na Vitz ya 2000 (my favorite). Kwenye biashara nina magari pia na matreka na mashine ya kuvunia mpunga.
Gari za kutembelea zote sio dream car zangu. Niliachana na magari baada ya kugundua kuwa hayana mchango mkubwa sana kwenye uwekezaji niliwekeza sana kwenye makazi yangu ya Dar ndio sehemu inayonipa furaha. Napenda sana kuishi nyumba nzuri na hiyo ni nadhiri nilijiwekea toka mdogo
aiseNakuona best hapo cheza kama Pele, mzee Kafa kaoza kwako 😀😀😀
Najipa faraja baada ya kusalitiwa na yule nimpendayeaise
سآتي لك بعد رمضان حبيNajipa faraja baada ya kusalitiwa na yule nimpendaye
au niandike kiswahili mimiNajipa faraja baada ya kusalitiwa na yule nimpendaye
Yes itapendeza zaidiau niandike kiswahili mimi
nakuagizia hijjab nzuri sana ya kimwili chako tokea oman natumai ikifika utaipenda.Yes itapendeza zaidi
Kwa jinsi unavyo nijali nazidi kukupenda zaidinakuagizia hijjab nzuri sana ya kimwili chako tokea oman natumai ikifika utaipenda.