Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwe nakujua kwanza na kwa kuonyesha kuwa unakubali mimi kuwa mtetezi wako kikazi nitafanya hivyo pia uwe na historia nzuri kielimu na kiutendaji na usiwe na hatia au jinaiNikifanya nini nitapata privilege ya kukutumia kama referree kwenye CV yangu?
I ll take thisSijui kama unafahamu level yangu ya Maisha ila ukitaka kufikia level yangu ambayo na mimi pia bado nahangaika kuipandisha maana sijafikia ndoto zangu ile 100% ni kufanya kila jambo kwa bidii na kuhakikisha unapata elimu ya kutosha na sahihi. Pia jitahidi sana kujifunza vitu vingi kila siku haswa nje ya mfumo wa kawaida wa elimu utapata maarifa makubwa sana kimaisha
Jifunze jifunze jifunze. Humu JF kuna madini sana ukipatumia positively unatoka kimaisha. Nchi yetu ni simple sana kufanikiwa kuliko nchi nyingi nilizozunguka duniani
Izo kali zinanifanyia amsa amsa nmepumzika [emoji16][emoji16]Maswali hayajibiwi. Ngoja niendelee kugonga K Vant
ePumbavu kumbe mchepukaji????? Nilifikiri unakuja kuwafunza wadogo/wanao maadili mazuri kumbe wewe mzinifu???? Subiri lipasuke utakufa siku siyo zako.Kama miezi miwili hivi nilichepuka. Uwa natumia kondomu nikichepuka ila ndani ya ndoa ni peku na sijawahi kuchepuka bila mpira
Kujiita tu funzadume inaonyesha mie ni mwanaume, zamani JF ilikuwa inaonyesha jinsia ya member kuna kipindi walibadilisha ikawa haionekani ila ukifungua jina la member utaona jinsia yakeWewe unajijua ni funzadume je mwingine akikuona atakuelewa we ni funza me au ke?na atatumia kigezo kipi kukutambua?
Bado hujachelewa, mgegede shemeji siku tatu kabla siku halisi ya kushika ujauzito.Nina midume tupu mitatu ha ha ha natamani ningekuwa na wakike hata mmoja
Sio wenye maksi kubwa kuliko kawaida?Vipaji katika hizi shule ni wale wanafunzi wenye akili kupita kiasi cha kawaida
Kuchepuka ndo mpango mzima. Tulia kule...ePumbavu kumbe mchepukaji????? Nilifikiri unakuja kuwafunza wadogo/wanao maadili mazuri kumbe wewe mzinifu???? Subiri lipasuke utakufa siku siyo zako.
Khaaaaaa!Yule mwanao wa kike kumbe ananifaa sana, ngoja nitafute mpunga kwanza
Hili jukwaa nalisikia tu sijawahi liona.Asalaam.
Humu JF umeshatoka na wanawake wangapi maana hukauki jukwaa la wakubwa!
I ll take this
Hakuna mwanaume asiyechepuka ninaongea ukweli toka moyoni mwangu. Muhimu tumia kinga kwa ajili ya kujilinda wewe,mke, familia na taifa kwa ujumla. Tuache unafiki tuongee ukweliePumbavu kumbe mchepukaji????? Nilifikiri unakuja kuwafunza wadogo/wanao maadili mazuri kumbe wewe mzinifu???? Subiri lipasuke utakufa siku siyo zako.