Basi nipe mie uone kama sijakupa kiwanja changu kabisa ujidaiMi natoa yote 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi nipe mie uone kama sijakupa kiwanja changu kabisa ujidaiMi natoa yote 😀😀😀
Anza basi kwa kunigawiaSawa
Hii sii jamaa anachungulia hadi utumbo jamaniBora dog
Huo ubabe muonyeshe kwa mastrangerSasa wewe lastborn na mume legelege siku stranger akuzabue kofi la tako sii mume nae atakimbia tuu
Aya angalau wewe hujagusia mambo ya ndalamaHuo ubabe muonyeshe kwa mastranger
Ila siyo kwetu malastborn
MMA bhavwitu pesa iendane na huduma.🤦
Zemanda the world bahiliest man,katika ubora wakoKama ni rahisi kugawa pesa hebu tafuta zako halafu ugawe kwa mwanaume wako, vile unajisikia ndio na sisi huwa tunajiskia hivyo hivyo.
Ubabe
Kuna muda tunakuwa wabahili ili utafute mjinga mwingine na mimi niende kwingine lakin ndo hvyo unakuta hamjiongez mnabak kung'ang'ania tu,mnataka mpaka tuwaambie "sasa basi"Mi kiukweli mwanaume bahili hapana jaman
Hatukatai tutafute zetu lakini ndiyo hata kujiigiza kidogo tu Ili mwenzio ajue unamjali jaman....aisee
At least wewe umeongea ukweliKuna muda tunakuwa wabahili ili utafute mjinga mwingine na mimi niende kwingine lakin ndo hvyo unakuta hamjiongez mnabak kung'ang'ania tu,mnataka mpaka tuwaambie "sasa basi"
Usemalo ni sawa na sahihi ila kuna mengi usitarajie uta ambiwa ukweli ila kwenye public utajua mambo mengi zaidi yana fungua macho watu wengi zaidiBadala ya kutaka kujua mambo yanayo wakera wanawake, ingependeza kama ungempa nafasi mpenzi wako, ili ujue yanayomkera juu yao
Na wewe kwa nini unadate na mwanaume bahili.....ah ni uninga wenu wenyewe🤣🤣🤣🤣Wanapenda tu kuleta migogoro isiyo na sababu
Aiseee....kumbe unapenda libolo 🤣🤣🤣🤣Ki okra ukikalia 😂😂😂 labda uzunguke ya chini kwa chini ila kurukaruka kinachomoka kila sekunde
Raha ya riding iwe 🍆
🤣🤣🤣🤣 Unakunjwa kisawa sawa mpaka mboo unaisikia kwa koooNyie mbona hamna huruma kwenye kupeleka moto [emoji2222][emoji2222]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unakunjwa kisawa sawa mpaka mboo unaisikia kwa kooo
Hata sio kiherehere, ujue hizi match zina home na away haijalishi ni same pitch🤣🤣🤣 Sasa Kama hiyo siku wewe ni mwenyeji sio mbaya hata ukiirukia kabisa....sasa imagine umejichokea, kichwa kina stress za marejesho ya vikoba, unatoa mzigo Ile kiwajibu, tena ukute umeamshwa utoe cha asubuhi, huku na huku unaambiwa Panda juu....aaaaargh, inakera.😅😀😀😅😀kuna tunaopanda kabla tuambiwe ni viherehere au 😅😅😅
Wee umesema wandu hawakuonei huruma mie kibamia changu kinafikaje kwenye koo bwana.Si umesema una ki okra wewe?!! Mara hii ishakuwa kubwa inafika kooni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi vicoba balaaa wake wanashindwa kutoa mbususu yote kisa mrejesho jamani shetani kawashika pabaya hawa wake zetu.Hata sio kiherehere, ujue hizi match zina home na away haijalishi ni same pitch🤣🤣🤣 Sasa Kama hiyo siku wewe ni mwenyeji sio mbaya hata ukiirukia kabisa....sasa imagine umejichokea, kichwa kina stress za marejesho ya vikoba, unatoa mzigo Ile kiwajibu, tena ukute umeamshwa utoe cha asubuhi, huku na huku unaambiwa Panda juu....aaaaargh, inakera.