Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Wacha picha ziongee. Tutapata kufikiri, Je Yusufu alikuwa na Umri gani wakati Yesu anazaliwa?

Kwa mujibu wa Imani ya Orthodox, hii ni picha ya yusufu akiwa na Yesu angali mtoto.

View attachment 2876546

Yusufu akiwa na Yesu mdogo

View attachment 2876547

Yusufu akiwa na yesu kazini kwenye Useremala

View attachment 2876548

Yesu na mama yake wakimwangalia Yusufu (Je alikuwa mgonjwa?)

View attachment 2876550


Yusufu akimfundisha Yesu uselemara


SWALI LA MSINGI JE YUSUFU ALIKUWA NA MIAKA MINGAPI WAKATI YESU ANAZALIWA?

Kwa mijibu wa Church Fathers alikuwa na miaka takriban 80.

Na maandiko mengine yanasema tayari alishakuwa na ndoa ya kwanza alipozaa watoto 6 akiwemo mmoja aitwaye James!

Source:
Hapa movies za Hollywood nazo zinaruhusiwa?
 
MUHIMU: NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO, SWALI NI YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ?

Hata mama yake Yesu alitolewa posa na Yusufu akiwa nyumbani kwao na akahamia kwa Yusufu akiwa na miaka 14 hadi 15, Huu ndio ulikuwa utamaduni wao na kwa kiasi kikubwa naweza kusema tamaduni za enzi hizo zilifanana, ni mpaka kwa wazungu, waarabu, hata hapa kwetu tamaduni zilikuwa ni kuoa binti miaja 14 hadi 16.

Tulipotifautiana labda ni posa tu, wengine walitoa posa kabla binti hajazaliwa, wengine binti akiwa mdogo, wengine baada ya binti kumaliza balehe, Kwa upande wa Israel mabinti waliomaliza balehe walitolewa posa walibaki nyumbani walau kwa mwaka ili kupewa mafunzo ya ndoa na baada ya hapo wanahamia kwa mwanaume, ilikuwa ni nadra sana kukuta binti ana 15 hajaolewa.


Kwa wanaume suala la kuoa halikuwa kwa kubalehe pekee bali kuweza kujua namna ya kujitegemea, kumhudumia mkeo na watoto, ndio maana wengi walikuwa wanaoa wakiwa na miaka kuanzia 20 japo kwa watoto wa wafalme walioa mapema zaidi.
Tunajadili kwa mujibu wa kitabu gani, kilichoandikwa na nani? Sura ya ngapi? Ukurasa wa ngapi? Aya ya ngapi?
 
Sasa si alimzaa akiwa bikra mkuu. Tena bila mtwangio kumgusa! Hoja yako ingekuwa na mashiko kama kabla ya kumzaa Yesu alikuwa tayari na watoto, nilidhani!
Alipofika meno pause akarudishiwa bikira yake?

Maana kuna wagaltia hawasomeki linapokuja suala la idol worahip
 
Mimba ya yesu ilitokea kimiujiza bila tendo ndo maana akaitwa bikira...waliofatia nadhani tendo lilifanyika😀
Je salutation ya kumuita bikira baada ya Yesu kuzaliwa bado ina make sense?

Kwa nini anapigiwa goti tena ktk mfano wa kazi ya mikono ya binadamu?
 
MUHIMU: NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO, SWALI NI YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ?

Hata mama yake Yesu alitolewa posa na Yusufu akiwa nyumbani kwao na akahamia kwa Yusufu akiwa na miaka 14 hadi 15, Huu ndio ulikuwa utamaduni wao na kwa kiasi kikubwa naweza kusema tamaduni za enzi hizo zilifanana, ni mpaka kwa wazungu, waarabu, hata hapa kwetu tamaduni zilikuwa ni kuoa binti miaja 14 hadi 16.

Tulipotifautiana labda ni posa tu, wengine walitoa posa kabla binti hajazaliwa, wengine binti akiwa mdogo, wengine baada ya binti kumaliza balehe, Kwa upande wa Israel mabinti waliomaliza balehe walitolewa posa walibaki nyumbani walau kwa mwaka ili kupewa mafunzo ya ndoa na baada ya hapo wanahamia kwa mwanaume, ilikuwa ni nadra sana kukuta binti ana 15hajaolewa.


Kwa wanaume suala la kuoa halikuwa kwa kubalehe pekee bali kuweza kujua namna ya kujitegemea, kumhudumia mkeo na watoto, ndio maana wengi walikuwa wanaoa wakiwa na miaka kuanzia 20 japo kwa watoto wa wafalme walioa mapema zaidi.
SiJaona
MUHIMU: NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO, SWALI NI YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ?

Hata mama yake Yesu alitolewa posa na Yusufu akiwa nyumbani kwao na akahamia kwa Yusufu akiwa na miaka 14 hadi 15, Huu ndio ulikuwa utamaduni wao na kwa kiasi kikubwa naweza kusema tamaduni za enzi hizo zilifanana, ni mpaka kwa wazungu, waarabu, hata hapa kwetu tamaduni zilikuwa ni kuoa binti miaja 14 hadi 16.

Tulipotifautiana labda ni posa tu, wengine walitoa posa kabla binti hajazaliwa, wengine binti akiwa mdogo, wengine baada ya binti kumaliza balehe, Kwa upande wa Israel mabinti waliomaliza balehe walitolewa posa walibaki nyumbani walau kwa mwaka ili kupewa mafunzo ya ndoa na baada ya hapo wanahamia kwa mwanaume, ilikuwa ni nadra sana kukuta binti ana 15 hajaolewa.


Kwa wanaume suala la kuoa halikuwa kwa kubalehe pekee bali kuweza kujua namna ya kujitegemea, kumhudumia mkeo na watoto, ndio maana wengi walikuwa wanaoa wakiwa na miaka kuanzia 20 japo kwa watoto wa wafalme walioa mapema zaidi.
MUHIMU: NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO, SWALI NI YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ?

Hata mama yake Yesu alitolewa posa na Yusufu akiwa nyumbani kwao na akahamia kwa Yusufu akiwa na miaka 14 hadi 15, Huu ndio ulikuwa utamaduni wao na kwa kiasi kikubwa naweza kusema tamaduni za enzi hizo zilifanana, ni mpaka kwa wazungu, waarabu, hata hapa kwetu tamaduni zilikuwa ni kuoa binti miaja 14 hadi 16.

Tulipotifautiana labda ni posa tu, wengine walitoa posa kabla binti hajazaliwa, wengine binti akiwa mdogo, wengine baada ya binti kumaliza balehe, Kwa upande wa Israel mabinti waliomaliza balehe walitolewa posa walibaki nyumbani walau kwa mwaka ili kupewa mafunzo ya ndoa na baada ya hapo wanahamia kwa mwanaume, ilikuwa ni nadra sana kukuta binti ana 15 hajaolewa.


Kwa wanaume suala la kuoa halikuwa kwa kubalehe pekee bali kuweza kujua namna ya kujitegemea, kumhudumia mkeo na watoto, ndio maana wengi walikuwa wanaoa wakiwa na miaka kuanzia 20 japo kwa watoto wa wafalme walioa mapema zaidi.
Sijaona mada ya kujadili.Pia hiyo ni story yako binafsi haina rejea
 
MUHIMU: NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO, SWALI NI YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ?

Hata mama yake Yesu alitolewa posa na Yusufu akiwa nyumbani kwao na akahamia kwa Yusufu akiwa na miaka 14 hadi 15, Huu ndio ulikuwa utamaduni wao na kwa kiasi kikubwa naweza kusema tamaduni za enzi hizo zilifanana, ni mpaka kwa wazungu, waarabu, hata hapa kwetu tamaduni zilikuwa ni kuoa binti miaja 14 hadi 16.

Tulipotifautiana labda ni posa tu, wengine walitoa posa kabla binti hajazaliwa, wengine binti akiwa mdogo, wengine baada ya binti kumaliza balehe, Kwa upande wa Israel mabinti waliomaliza balehe walitolewa posa walibaki nyumbani walau kwa mwaka ili kupewa mafunzo ya ndoa na baada ya hapo wanahamia kwa mwanaume, ilikuwa ni nadra sana kukuta binti ana 15 hajaolewa.


Kwa wanaume suala la kuoa halikuwa kwa kubalehe pekee bali kuweza kujua namna ya kujitegemea, kumhudumia mkeo na watoto, ndio maana wengi walikuwa wanaoa wakiwa na miaka kuanzia 20 japo kwa watoto wa wafalme walioa mapema zaidi.
DR Mambo Jambo unahitajika hapa 👆👆
 
Kama kweli ana yakini kwamba Mungu hayupo , asingekuwa anauliza...Ina maana bado yupo njia panda😅
Ndio maana nikasema yeye ni mtu mwema ambae ameshindwa kupata ukweli kuhusu kuwepo Mungu. Inamaana akipata uhakika anamwamini. Ni tofauti na yule anaesema Mungu yupo ila nae ni moja kati ya miungu mingine.
 
Wacha picha ziongee. Tutapata kufikiri, Je Yusufu alikuwa na Umri gani wakati Yesu anazaliwa?

Kwa mujibu wa Imani ya Orthodox, hii ni picha ya yusufu akiwa na Yesu angali mtoto.

View attachment 2876546

Yusufu akiwa na Yesu mdogo

View attachment 2876547

Yusufu akiwa na yesu kazini kwenye Useremala

View attachment 2876548

Yesu na mama yake wakimwangalia Yusufu (Je alikuwa mgonjwa?)

View attachment 2876550


Yusufu akimfundisha Yesu uselemara


SWALI LA MSINGI JE YUSUFU ALIKUWA NA MIAKA MINGAPI WAKATI YESU ANAZALIWA?

Kwa mijibu wa Church Fathers alikuwa na miaka takriban 80.

Na maandiko mengine yanasema tayari alishakuwa na ndoa ya kwanza alipozaa watoto 6 akiwemo mmoja aitwaye James!

Source:
Kumbe yesu alikuwa fundi huru, tool Master
 
DR Mambo Jambo unahitajika hapa 👆👆
Sijajua alikuwa Anamaanisha nini kuhusu Kufanya kosa (Kwamba yusufu kafanya kosa?)

Naamini ataweka sawa anamaanisha nini?

Ntafanya Marekebisho Kidogo Kwake!

Maria aliolewa akiwa na miaka 12 au 13 kwa mujibu wa Sheria za kiyahudi..na sio 15 kama anavyosema...

Sherehe za kiyahudi za balekhe kwa mwanamke huitwa "Bat mitzvah"

Huazimishwa mwanamke akifikisha miaka 12 mpaka 13 na ndo kwenye kumaliza sherehe hizo Maria akawa ameolewa na Yusuph huku Zacharia Ndugu yake na baba wa Yohana mbatizaji akisimamia hilo..

Mwanamke aliolewa kabla ya kuingia kwenye Bat mitzvah akiwa na umri wa miaka 11 au 12 kama atapata Mume mapema!
Japo haikuruhusiwa kukutana naye mpaka afikishe miaka 14.

Kuhusu Ndoa yake na kila Kitu kuhusu Alivyozaliwa na kulelewa Soma The Gospel of Birth of Mary.
Kitabu cha Aprokrifa..

Sasa Tuhame huku

Kuhus "Bar Mitzvah" sherehe ya wanaume
Walikuwa wakitimiza miaka 13 mpaka 14 ndo wanaenda kujitafuta hapa ndo wengi huwa machakaramu wenye kujifunza watajifunza wenye uhuni watafanya wenye uovu watafanya..

Na ndo maana hakuna Story ya yesu Mahali popote pale kwenye Sources Aminifu zinazoonyesha kipindi cha bar Mitzvah anaanza kuonekana akiwa tayr bar mitzvah imeisha..miaka 30 (Hakuna hadithi kuanzia miaka 13 mpaka 30 ya yesu)

Nafikiri kwa maoni yangi ingekuwa Kwanini Mungu alifnya Jukumu la kumuwekea Maria Mimba akijua ni Mke wa Mtu bila kumtarifu mumewe kwanza?

Uncle bright
 
Back
Top Bottom