Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Leo nawaelimisha kwamba Mama yake Yesu aliolewa kihalali akiwa na maiaka 15, Yusufu alitenda dhambi gani iliyomchukiza Mwenyezi Mungu ?

Maswali yangu ni kuhusu Christianity and Islam maana naona una uelewa sana pande hizo.

Furst question: Wapi wanatofautiana kuhusu Mungu, na wapi wanakubaliana kuhusu Mungu.
Waislamu na wakristo wote wanakubaliana kuna Mungu mmoja na Muumbaji..
japo waislamu wanapinga Hoja ya Mungu kugawanyika katka nafsi ya Uungu..
 
Kama issue ni umri basi YUSUFU hakutenda dhambi kwani umri wa kuolewa ni sheria tu zinazotungwa na mmlaka ya nchi husika kwa kuzingatia vigezo mbalimbali, na huo umri unatofautiana nchi na nchi.

Kama Tanzania umri wa kuoa ama kuolewa kisheria ni kuanzia miaka 18... hii sio sheria ya Mungu hivyo haiwezi kua Kigezo kuwa mtu akiwa chini ya huo umri ni mtoto na akiwa juu ya umri ni mtu mzima ukitoka naye ni dhambi.

Lakini pia kibiologia binti anakua kapevukana na yupo tayari kwa uzalianaji akiwa na umri kuanzia 12 na kuendelea (wastani wa miaka 13)

Mambo mengine ni busara tu za wazee ambazo zinashindwa kuingiliana na tamaduni nyingine(walipishana kifikra) hivyo zinashindwa kuendana na wakati hasa nyakati hizi za muingiliano mkubwa wa watu duniani.
MUHIMU: NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO, SWALI NI YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ?

Hata mama yake Yesu alitolewa posa na Yusufu akiwa nyumbani kwao na akahamia kwa Yusufu akiwa na miaka 14 hadi 15, Huu ndio ulikuwa utamaduni wao na kwa kiasi kikubwa naweza kusema tamaduni za enzi hizo zilifanana, ni mpaka kwa wazungu, waarabu, hata hapa kwetu tamaduni zilikuwa ni kuoa binti miaja 14 hadi 16.

Tulipotifautiana labda ni posa tu, wengine walitoa posa kabla binti hajazaliwa, wengine binti akiwa mdogo, wengine baada ya binti kumaliza balehe, Kwa upande wa Israel mabinti waliomaliza balehe walitolewa posa walibaki nyumbani walau kwa mwaka ili kupewa mafunzo ya ndoa na baada ya hapo wanahamia kwa mwanaume, ilikuwa ni nadra sana kukuta binti ana 15 hajaolewa.


Kwa wanaume suala la kuoa halikuwa kwa kubalehe pekee bali kuweza kujua namna ya kujitegemea, kumhudumia mkeo na watoto, ndio maana wengi walikuwa wanaoa wakiwa na miaka kuanzia 20 japo kwa watoto wa wafalme walioa mapema zaidi.
 
NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO,

YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ? (HUU NDIO ULIKUWA UTARATIBU WA KUOA SI KWA WAISRAEL PEKEE BALI WAAFRIKA, WAARABU, N.K.)
Kweni kunasehemu biblia imeandika yusufu alitenda dhambi?
 
Kama issue ni umri basi YUSUFU hakutenda dhambi kwani umri wa kuolewa ni sheria tu zinazotungwa na mmlaka ya nchi husika kwa kuzingatia vigezo mbalimbali, na huo umri unatofautiana nchi na nchi.

Kama Tanzania umri wa kuoa ama kuolewa kisheria ni kuanzia miaka 18... hii sio sheria ya Mungu hivyo haiwezi kua Kigezo kuwa mtu akiwa chini ya huo umri ni mtoto na akiwa juu ya umri ni mtu mzima ukitoka naye ni dhambi.

Lakini pia kibiologia binti anakua kapevukana na yupo tayari kwa uzalianaji akiwa na umri kuanzia 12 na kuendelea (wastani wa miaka 13)

Mambo mengine ni busara tu za wazee ambazo zinashindwa kuingiliana na tamaduni nyingine(walipishana kifikra) hivyo zinashindwa kuendana na wakati hasa nyakati hizi za muingiliano mkubwa wa watu duniani.
Tanzania kisheria Umri wa kuoa ni 18 ila umri wa kuolewa ni 15..
 
Ameomba umpe msimamo wa Muislam katika kutoa mimba, yaani uislam unasemaje kuhusu kutoa mimba.
Msimamo wa Waislamu umetofautiana Kwenye Swala la Abortion kuna wanaosema Ni Sawa kama mtoto hajafikisha miezi mitatu na kuna wanaosema si Sawa kutoa Nafsi yoyote..
 
Hatuwezi endesha dunia ya sasa kwa mifumo ya kizamani ya miaka 2000 iliyopita , mwanangu akifika umri huo nikikukuta nae na kushusha hiyo shingo.
Mkuu min,
Unataka kusema mwanao wa kike ukimkuta katika umri huo na mwanaume utaondoa shingo ya mwanaume huyo?
Kwanini ufanye hivyo wakati tumekubaliana kataa ndoa?
 
MUHIMU: NAOMBENI TUHUSIKE NA MAADA KUU MEZANI, HAYO MAMBO YA KUMZAA YESU, MIUJIZA, N.K. TUYAWEKE KANDO, SWALI NI YUSUFU ALITENDA DHAMBI IPI KUMUOA MARIA ALIPOKUWA NA MIAKA 14 hadi 15 ?

Hata mama yake Yesu alitolewa posa na Yusufu akiwa nyumbani kwao na akahamia kwa Yusufu akiwa na miaka 14 hadi 15, Huu ndio ulikuwa utamaduni wao na kwa kiasi kikubwa naweza kusema tamaduni za enzi hizo zilifanana, ni mpaka kwa wazungu, waarabu, hata hapa kwetu tamaduni zilikuwa ni kuoa binti miaja 14 hadi 16.

Tulipotifautiana labda ni posa tu, wengine walitoa posa kabla binti hajazaliwa, wengine binti akiwa mdogo, wengine baada ya binti kumaliza balehe, Kwa upande wa Israel mabinti waliomaliza balehe walitolewa posa walibaki nyumbani walau kwa mwaka ili kupewa mafunzo ya ndoa na baada ya hapo wanahamia kwa mwanaume, ilikuwa ni nadra sana kukuta binti ana 15 hajaolewa.


Kwa wanaume suala la kuoa halikuwa kwa kubalehe pekee bali kuweza kujua namna ya kujitegemea, kumhudumia mkeo na watoto, ndio maana wengi walikuwa wanaoa wakiwa na miaka kuanzia 20 japo kwa watoto wa wafalme walioa mapema zaidi.
Yusufu hakula mzigo

Alikua anasubiri binti awe mtu Mzima
 
Back
Top Bottom