passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Nafikiri you just spinning around.Mpaka sasa nalea watoto watatu ambao sio wangu , kulea mtoto wa mwanangu sio tatzo kabisa.
Note: ziwezi kamwe kuzuia matamanio ya mtoto kama anataka kuoa ni yeye na sio mimi .
Pia tunaposema kataa ndao pia sio sheria kila mtu akubaliane na sisi .
Swali, wewe kama baba upo tayari kumruhusu mwanao aende huko kuleta mimba uje kutupiwa mzigo au mtoto wako wakike kuwa na mahusiano bila ya utaratibu?
Ondoa kwamba mtoto anaweza kufanya hilo regadless
Jibu kama baba.