Leo nayatoa ya moyoni

Leo nayatoa ya moyoni

Du! ...naona kama nasoma hadithi hivi......hawa wachumba ni hatari kwelikweli....je kisa ndio kiimeishia hapa au unavuta pumzi tena kwa dk 26 hivi kisha utumalizie ...tuchanganue?
Niimalizia mkuu, nadhani sikuiweka kama editing, niliendelea baada ya comments kibao
 
Na nyie wanaume mnaomshangaa kama sio kumponda Ushimen...
Hamyajui mapenzi nyie.
Kuna ajabu gani mwanaume kusomesha watoto wa mwamamke aliowakuta nae?
Ingekuwa watoto wa njemba nyingine ambao wamezaliwa ndani ya mahusiano yao sawa.

Hivi mnasikia fahari sana kutokuhudumia wanawake zenu eeh?
Kwa taarifa yenu hakuna mwanamke asiyependa kuhudumiwa.

Hivi unategemea kila siku mtoke out,mwanamke avunje kabati,aende saloon bado akodi taksi sijui bajaj (kama hana usafiri binafsi) halafu usimhudumie akuchekee tu?
Ukiona uko na mwanamke na humhudumii chochote na bado anapendeza kaa ukijua yupo anayehudumia.

Tena nyie msiohudumia ndio mnajidai mna wivu kama nini.

Bahati umpate mwanamke anayeomba,ila asiyeomba kama mimi hapa nakupimia tu.
Na lazima utachapiwa hata iweje!

Mwanaume anayehudumia ana raha yake bwana,hata akikuambia tutoke out unajiandaa kwa furaha.
Hata akikukosea msamaha unapita harakaaaaa....lol

Mind you,hapa siongelei gold diggers,ni wale wadada descent ambao wanaridhika na wapewacho,
Period.
Mkuu....
Kumbe nawe ni boonge la muelewa aiseeee..... maana nilizoea kuona ukijitoa ufaham tu na yule popoma..[emoji13] [emoji13]
Jamani,baada ya kuusoma huu uzi kwa utulivu wa hali ya juu na kuutafakari kulikotuka.....
Naomba nami nitoe yangu ya moyoni.
Kwanza nianze na wewe X,umetuvua nguo wanawake wenzio mama,tena hasa sisi tulio na wapenzi wetu huku JF ndio tumebaki uchi haswaaaa!
Umalaya huo umalaya gani?
Hivi unatumia pesa za mwanaume wako wa wakati huo unaenda kuchukulia sijui kupanga hotel na kulala na the so called X wako?

Hivi kwanini huwa hamuwezi kuachana na wanaume zenu moja kwa moja?
Huku unataka,huku unataka....
Ona sasa umelipiga bakuli la dhahabu teke unabaki unajiliza liza.
Mbaya zaidi umepigwa picha ya uchi ukiwa 'on top!'
Uwiiiiiii Nifah mimi ningekufa jamani!
Ushimen una moyo sana,hongera.

Halafu unaonekana malaya uliyekubuhu maana una watoto na kila mwanaume!
Una waume wangapi mama?Maana kuna sehemu katika story nimeona "mume wa pili"!!!!

Katika wanawake wapumbavu wewe namba 1!
Unapata mwanaume anakusomeshea watoto?Mungu akupe nini mwanamke? Loooh!

Haya,baada ya upuuzi wako ukapotezewa bwana mkubwa akampata 'mchuchu' mwingine,ndio nini kumtesa hivyo mwanamke mwenzio?
Ajabu ni watu wazima mlioko kwenye 30's zenu!

Una bahati sana umempata huyo KILAZA,ningekuwa mimi Nifah ndio NG (New GF) ungekomaje?
Kaa pembeni bibi weeee,acha wenye stara zao wajilie vyao.
Shankupe wewe endelea kupasha viporo na mumeo (wewe unamuita X) huko.
Huna hadhi ya kula vipya,vyako viporo tu.
 
Pole mkuu kwa kisanga hiki..Huyu NG hadi leo bado anakinyongo na ww? au ulimueleza akaelewa kuwa hauhusiki na hayo mapichamapicha yanayoendelea?
Hajawahi kua na kinyongi cha wazi na mimi, anaonekana kua mstaarabu sana.
Ingawa amekua akinitamkia mara kadhaa kwamba ananichukia kwasababu nimemsababishia maumivu ya akili, kwa familia, wanawe pamoja na jamii
 
Kama akili hazimtoshi atakuja tu..
Jf kichaka aisee..Huko Pm kuna matukio ya hatari...Unaweza kutengeneza movies za kutosha..
Yule ni chizi aiseeee.....
Kwasababu kwa jinsi alivyo weza kucheza na akili za watu kwa weledi, anaweza akakuja tu na sinto mshangaa.
Mkuu, nimekua nikipata maswali mengi kutoka kwa wadau wengi humu jf wakinitaka kujua kulikoni, na nimekua nikiwajibu kwa mkato sana kwamba sijawa na utayari wa kulisemea hili.
Na sikua na nia ya kulisemea hili kabisa kwa upande wangu ni moja ya changamoto katika mahusiano.
Kilicho nileta hapa ni kwasababu ya huyu X kumchafua NG to the maximum, kiukweli naona kabisa X akimnyanyasa NG kwa ukatili mkubwa tena mbaya ameingia hata kwenye mambo ya kiimani na kumvunja mwenzie kwa kubonda kwa mawe ilhali hata yeye X akiwa ni mchafu alie kithiri.
Agghhhh...
 
Kiongozi Ushimen, ulikuwa unawasomesha watoto wa X wako?
Kwa nini ulipenda kuwaleta girls wako jf baada ya kuwa wapenzi, huoni kuwa uliwaleta kwenye midomo ya simba?

Pole sana, best way kufurahia hii platform ni kujiweka mbali na pm. Nilijifunza kitu juzi hapa, don't trust strangers, waweza kushangaa simple conversations baina yako na mwenzako zimekuwa "talk of the forum" bila wewe kujua. Kuna viazi humu balaa...
hili neno zuri sana..watu wapite na walielewe...too bad wanaume jf mnaongoza kwa umbea umbea huko pm...mwanaume unatulia unakaa kusikiliza umbea wa watu utamu kolea ngoja na we usikie stori yako ya kupikwa
 
Acha tu rafiki nilijionea mwenyewe sema na mimi ubishi wangu mana alikuwa akinambia utauweza mziki wangu ila nikawa najua ni changamsha Genge labda anayaweza sana kumbe anaongelea umri...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] nimecheka aisee hatari sana
 
Hivi kumbe ni kweli kuwa unaweza kukutana na mtu type yako jf mpakaa akumbato? Dah uwa siamini kama mtu jf anaweza anivutie kiasi hicho mpaka anione kyupi? Loh. Mtu wa jf he can be just a friend but not a lover loh.

Nimebaki kushangaa kumbe hatu mnaenda beyond? Au ndo maana id mpya zinaongezeka mtu animbato afu niendelee kuwa luckyline? Neverrrrrr! Ushmen umetoa mpyaaaaa!
kwani watu wa JF wanatoka Sodoma.Hapa ni changanyikeni kama ilivyo mitaani tu.Unaweza kuta ndugu zako wote wapo hapa....
 
kwani watu wa JF wanatoka Sodoma.Hapa ni changanyikeni kama ilivyo mitaani tu.Unaweza kuta ndugu zako wote wapo hapa....
Mkuu...
Nimekua nikishangaa watu wanaposema watu wa jf....
Ninaamini kwamba hawa waliomo jf ndio hao tulionao huku mitaani, tofauti ni kwamba mitaa tunafahamiana physically na hapa jf ni fake.
Ivo
 
Jamani,baada ya kuusoma huu uzi kwa utulivu wa hali ya juu na kuutafakari kulikotuka.....
Naomba nami nitoe yangu ya moyoni.
Kwanza nianze na wewe X,umetuvua nguo wanawake wenzio mama,tena hasa sisi tulio na wapenzi wetu huku JF ndio tumebaki uchi haswaaaa!
Umalaya huo umalaya gani?
Hivi unatumia pesa za mwanaume wako wa wakati huo unaenda kuchukulia sijui kupanga hotel na kulala na the so called X wako?

Hivi kwanini huwa hamuwezi kuachana na wanaume zenu moja kwa moja?
Huku unataka,huku unataka....
Ona sasa umelipiga bakuli la dhahabu teke unabaki unajiliza liza.
Mbaya zaidi umepigwa picha ya uchi ukiwa 'on top!'
Uwiiiiiii Nifah mimi ningekufa jamani!
Ushimen una moyo sana,hongera.

Halafu unaonekana malaya uliyekubuhu maana una watoto na kila mwanaume!
Una waume wangapi mama?Maana kuna sehemu katika story nimeona "mume wa pili"!!!!

Katika wanawake wapumbavu wewe namba 1!
Unapata mwanaume anakusomeshea watoto?Mungu akupe nini mwanamke? Loooh!

Haya,baada ya upuuzi wako ukapotezewa bwana mkubwa akampata 'mchuchu' mwingine,ndio nini kumtesa hivyo mwanamke mwenzio?
Ajabu ni watu wazima mlioko kwenye 30's zenu!

Una bahati sana umempata huyo KILAZA,ningekuwa mimi Nifah ndio NG (New GF) ungekomaje?
Kaa pembeni bibi weeee,acha wenye stara zao wajilie vyao.
Shankupe wewe endelea kupasha viporo na mumeo (wewe unamuita X) huko.
Huna hadhi ya kula vipya,vyako viporo tu.
asante kwa kuniwakilisha..huyu x mkorofi sana....anatuletea matatizo wengine,teh NG pole mwaya
 
Huyo Diva nae siku yake yaja,na hizo filters basi anajiona mreeeembo.
Alikuwa cheusi kama Lupita Nyongo.
DaJane huyu nae akae kwenye list ya kutumbuliwa.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] da jane homa ya jiji mpaka wa kichwapanziii kafika...jf naingia kwa manati vipi lulu mshamsulubisha au da jane ndio anajipanga?
 
Hii inakuhusu wewe member wa jf...
Kwanza naomba ukome kua unanitaja kwamba mimi ni mchumba wako aiseeee, na tambua kwamba nimechoshwa na hii hali ya kua ukinitaja kila kukicha na hauihi kunitangaza kila unapoweza kutangaza.
Nakumbuka tulikua wapenzi na ulinihakikishia kwamba umeachana na baba J ambae alikua mumeo wa pili. (hii nilikuja kujua baada ya kua kwenye mahusiano na wewe kwa muda kadhaa)
Ok.
Niliamua kuvumilia kwakua niliona isiwe tabu kwani sikuona madhara kwa wakati huo.
Nakumbuka tulipanga mipango mingi na mengi tulianza utekelezaji baada ya kua tumeafikiana kufanya maisha kwa pamoja.
Duhh......
Kumbe nilikua najidanganya kwakua muda mwingi yalio kua yakifanyika sikua naweza yajua kwa urahisi kwasababu ya kuishi mbali (nje ya Tz).
Tukio la pili ukaja kunieleza kwamba una mtoto mwingine ulizaa na mshkaji kipindi cha ujana na mtoto yupo kwa baba yake. Anyway..... nilitafakari sana na kuona isiwe tabu, nikaamua kupotezea ili maisha yaende kwani tulikua tayari tuna mipango ya utekelezaji ili maisha yaende.

Nikiwa nje ya bongo ghafla nilipata msg ilio nistua sana toka kwa mtu alie jitambulisha kwamba ni mumeo na akanitumia cheti cha ndoa mliyofunga wewe na yeye mwaka flani. Kiukweli nilipatwa na ganzi na sikuweza vumilia na nikaamua kumpigia mshkaji nijue kulikoni na wapi amepata namba yangu. Kiufupi jamaa alinieleza mengi sana na hata akaniambia mlikua pamoja siku flani, na wewe ndie ulimtumia nauli aje mkutane kwenye guest flani. Jamaa kwa ushahidi alinitumia picha yako ukiwa unavua gauni na hata akiwa amekuingilia huku wewe ukiwa kwa juu...
Hakika nilistuka sana hata sikuweza kufanya kazi.
Anywa.....
Najua utapitia hapa na uone niliyo yaandika.

Nitarudi after 25 minutes kuendelea
pole Mkuu Ushimen bila shaka ndo uliekua Ushiboy, ila na ww ulizidi ww MTU ana watt wa2 ulikua unampeleka wap? io ni too scraper kwako
 
Thubutuuuu,alivyovuliwa nguo hapa hata japo ni fake ID's lazima aone aibu.
Akifanya hivyo nitamvulia kofia.

Hivi unadhani nikiwaamulia hao hata patakucha sijawajua?
Basi tu naona mizinguo....
Mimama mizima hata haishtui,wangekuwa watoto wabichi ningekesha nikiwasaka.
hahaha amuaàaaaaaaaaaaaaa
 
Hivi kumbe ni kweli kuwa unaweza kukutana na mtu type yako jf mpakaa akumbato? Dah uwa siamini kama mtu jf anaweza anivutie kiasi hicho mpaka anione kyupi? Loh. Mtu wa jf he can be just a friend but not a lover loh.

Nimebaki kushangaa kumbe hatu mnaenda beyond? Au ndo maana id mpya zinaongezeka mtu animbato afu niendelee kuwa luckyline? Neverrrrrr! Ushmen umetoa mpyaaaaa!
ngoja niku-pm tuangalie km tutaweza kumbatoana.
 
kwani watu wa JF wanatoka Sodoma.Hapa ni changanyikeni kama ilivyo mitaani tu.Unaweza kuta ndugu zako wote wapo hapa....
naamaanisha kuwa yaam ujue mtu yuko jf afu ujirahisishe hadi hayo mambo? Yaan bora mkutane mitaan ila sio mitandaoni loh.
 
Back
Top Bottom