Leo nayatoa ya moyoni

Leo nayatoa ya moyoni

Na nyie wanaume mnaomshangaa kama sio kumponda Ushimen...
Hamyajui mapenzi nyie.
Kuna ajabu gani mwanaume kusomesha watoto wa mwamamke aliowakuta nae?
Ingekuwa watoto wa njemba nyingine ambao wamezaliwa ndani ya mahusiano yao sawa.

Hivi mnasikia fahari sana kutokuhudumia wanawake zenu eeh?
Kwa taarifa yenu hakuna mwanamke asiyependa kuhudumiwa.

Hivi unategemea kila siku mtoke out,mwanamke avunje kabati,aende saloon bado akodi taksi sijui bajaj (kama hana usafiri binafsi) halafu usimhudumie akuchekee tu?
Ukiona uko na mwanamke na humhudumii chochote na bado anapendeza kaa ukijua yupo anayehudumia.

Tena nyie msiohudumia ndio mnajidai mna wivu kama nini.

Bahati umpate mwanamke anayeomba,ila asiyeomba kama mimi hapa nakupimia tu.
Na lazima utachapiwa hata iweje!

Mwanaume anayehudumia ana raha yake bwana,hata akikuambia tutoke out unajiandaa kwa furaha.
Hata akikukosea msamaha unapita harakaaaaa....lol

Mind you,hapa siongelei gold diggers,ni wale wadada descent ambao wanaridhika na wapewacho,
Period.
hivi akienda kuchapwa anakiacha uko?? kama anarudi nacho hapo amna tatizo.
 
Mkuu...
Hawa wadada sikuwapata humu jf.
Mimi ndie niliwaleta jf..[emoji1] [emoji1]
hilo ndo kosa kubwa ulofanya mpaka wakajuana? Inachanganya! Mbona watu tuko wasiri tunachoma nyumba tunaficha moshi hata jirani hajui hakija kustukia nyumba haipo ila anaona majivu! Coz ninacjokiana ni kwamba hapa jf unaweza uwe hata na watu 3 wasijuane au inkuwaje watu wazima mnaaminiana kiasi kwamba hata password unampa as if ni mke?

ushimen jaribu kuwa msiri .pili kabla hujawa na numberless hakikisha uko single. Ona sasa vitimbwi vya wanawake vimekufanya utoe siri zako kiasi kwamba hata mkeo mama watoto wako anaweza kusoma hii movie.
 
Na nyie wanaume mnaomshangaa kama sio kumponda Ushimen...
Hamyajui mapenzi nyie.
Kuna ajabu gani mwanaume kusomesha watoto wa mwamamke aliowakuta nae?
Ingekuwa watoto wa njemba nyingine ambao wamezaliwa ndani ya mahusiano yao sawa.

Hivi mnasikia fahari sana kutokuhudumia wanawake zenu eeh?
Kwa taarifa yenu hakuna mwanamke asiyependa kuhudumiwa.

Hivi unategemea kila siku mtoke out,mwanamke avunje kabati,aende saloon bado akodi taksi sijui bajaj (kama hana usafiri binafsi) halafu usimhudumie akuchekee tu?
Ukiona uko na mwanamke na humhudumii chochote na bado anapendeza kaa ukijua yupo anayehudumia.

Tena nyie msiohudumia ndio mnajidai mna wivu kama nini.

Bahati umpate mwanamke anayeomba,ila asiyeomba kama mimi hapa nakupimia tu.
Na lazima utachapiwa hata iweje!

Mwanaume anayehudumia ana raha yake bwana,hata akikuambia tutoke out unajiandaa kwa furaha.
Hata akikukosea msamaha unapita harakaaaaa....lol

Mind you,hapa siongelei gold diggers,ni wale wadada descent ambao wanaridhika na wapewacho,
Period.
Nifah samahani badala ya kusema "utachapiwa tu" ni heri useme "utaachwa tu."
 
hilo ndo kosa kubwa ulofanya mpaka wakajuana? Inachanganya! Mbona watu tuko wasiri tunachoma nyumba tunaficha moshi hata jirani hajui hakija kustukia nyumba haipo ila anaona majivu! Coz ninacjokiana ni kwamba hapa jf unaweza uwe hata na watu 3 wasijuane au inkuwaje watu wazima mnaaminiana kiasi kwamba hata password unampa as if ni mke?

ushimen jaribu kuwa msiri .pili kabla hujawa na numberless hakikisha uko single. Ona sasa vitimbwi vya wanawake vimekufanya utoe siri zako kiasi kwamba hata mkeo mama watoto wako anaweza kusoma hii movie.
Bado haujanielewa mkuu, ngoja nikuache kwanza.
Kwakifupi hii issue imekua top ubuyu hapa jf na pengine kiwewe tu ndie ulikua haujainasa hii sinema.
And ninacho kifanya hapa ni kuweka hii maneno sawa hasa kwa wale wanao ijua
 
Okay ukinifikia nilikuambia kuna wako sidhani kama utaweza kuupokea mwenyewe ulivyo mkubwa...unajua kule sipo serious nafanya kukupoke tu halafu kumbe unaniangalia[emoji4]

Hivi Kaboom unaielewa mienendo ya Benny kwa douta?

Na kama unaielewa, of all pipo huyu Benny ndo umemwacha kila siku anajifanya kuja kuulizia kitabu cha biological science kwa douta anayesoma HGL!
 
Jamani,baada ya kuusoma huu uzi kwa utulivu wa hali ya juu na kuutafakari kulikotuka.....
Naomba nami nitoe yangu ya moyoni.
Kwanza nianze na wewe X,umetuvua nguo wanawake wenzio mama,tena hasa sisi tulio na wapenzi wetu huku JF ndio tumebaki uchi haswaaaa!
Umalaya huo umalaya gani?
Hivi unatumia pesa za mwanaume wako wa wakati huo unaenda kuchukulia sijui kupanga hotel na kulala na the so called X wako?

Hivi kwanini huwa hamuwezi kuachana na wanaume zenu moja kwa moja?
Huku unataka,huku unataka....
Ona sasa umelipiga bakuli la dhahabu teke unabaki unajiliza liza.
Mbaya zaidi umepigwa picha ya uchi ukiwa 'on top!'
Uwiiiiiii Nifah mimi ningekufa jamani!
Ushimen una moyo sana,hongera.

Halafu unaonekana malaya uliyekubuhu maana una watoto na kila mwanaume!
Una waume wangapi mama?Maana kuna sehemu katika story nimeona "mume wa pili"!!!!

Katika wanawake wapumbavu wewe namba 1!
Unapata mwanaume anakusomeshea watoto?Mungu akupe nini mwanamke? Loooh!

Haya,baada ya upuuzi wako ukapotezewa bwana mkubwa akampata 'mchuchu' mwingine,ndio nini kumtesa hivyo mwanamke mwenzio?
Ajabu ni watu wazima mlioko kwenye 30's zenu!

Una bahati sana umempata huyo KILAZA,ningekuwa mimi Nifah ndio NG (New GF) ungekomaje?
Kaa pembeni bibi weeee,acha wenye stara zao wajilie vyao.
Shankupe wewe endelea kupasha viporo na mumeo (wewe unamuita X) huko.
Huna hadhi ya kula vipya,vyako viporo tu.
shoga huu msuto unataka mtu akae kwenye kigoda.
 
Bado haujanielewa mkuu, ngoja nikuache kwanza.
Kwakifupi hii issue imekua top ubuyu hapa jf na pengine kiwewe tu ndie ulikua haujainasa hii sinema.
And ninacho kifanya hapa ni kuweka hii maneno sawa hasa kwa wale wanao ijua
anyway ila usiache kusomesha watoto kama hali inaruhusu mwache huyo kilaza labda akitamka kuwa hataki ulipie watoto hao maana huwezi jua kwa nn ukutanishwe na hao watoto! Kwa kusomesha watoto wake tena shule sawa na wanao! Basi naweza sema wewe ni mwanaume.
 
sasa wewe njembaaaa...inakuwaje unachanganya madesa JF....JF haipaswi kuwa sehemu ya maisha yako......kama zilivyo Fake ID humu na maisha ya humu ni fake feki.....

Bro nasikitika kusema umejitakia mwenyewe

Hayo mambo uliyofanya wanafanya ma teenager

Kuna vidume wazoefu humu wanagonga vitu sita vyote vimo JF na havijuani......
 
naamaanisha kuwa yaam ujue mtu yuko jf afu ujirahisishe hadi hayo mambo? Yaan bora mkutane mitaan ila sio mitandaoni loh.
Ila hapa hapa watu wametokea kuoana.Sioni tatizo kama mnakutana then mnafahamiana kiundani huko mbeleni..Ni kama watu wanavyokutana kwenye basi,sherehe.makongamano n.k

Hapa kuna watu wapo serious pia na ni wengi pia kama walivyo watu walio na mizaha pia.So sorting ndo inatofaitiana kati ya ntu na ntu.
 
Nifah unakosea kumlaumu huyo demu...demu alikuwa ana fight for his love...ingawa na yeye demu ni popoma...maharage ya Tanga

Ila huyu jamaa ndio zobaaaa...sijawahi ona...how do u fikia hatua kwanza ya ID yako ya JF kujulikana na hao mademu wako......alafu pia it seems jamaa umeiweka JF katika real life yako
 
Hahaahaaaa....
Naomba nikujibu kadri nitakavyo weza.
-X ni masters holder na anajob yake poa na mjengo wake wa haja.
-Mimi nina degree holder na nina maisha ya kawaida.
-NG ni PhD holder na anamaisha yake poa.
Mmoja nilikutana nae kwenye ndege, mwingine nilikutana nae kanisani.
Wote tuna umri wa 30 to 35.

Bila shaka nimejaribu mkuu[emoji39]


Ushimen unajua kulenga.
 
Nifah unakosea kumlaumu huyo demu...demu alikuwa ana fight for his love...ingawa na yeye demu ni popoma...maharage ya Tanga

Ila huyu jamaa ndio zobaaaa...sijawahi ona...how do u fikia hatua kwanza ya ID yako ya JF kujulikana na hao mademu wako......alafu pia it seems jamaa umeiweka JF katika real life yako
Nimekusikia mkuu
sasa wewe njembaaaa...inakuwaje unachanganya madesa JF....JF haipaswi kuwa sehemu ya maisha yako......kama zilivyo Fake ID humu na maisha ya humu ni fake feki.....

Bro nasikitika kusema umejitakia mwenyewe

Hayo mambo uliyofanya wanafanya ma teenager

Kuna vidume wazoefu humu wanagonga vitu sita vyote vimo JF na havijuani......
 
Back
Top Bottom