Leo nayatoa ya moyoni

Leo nayatoa ya moyoni

Naachaje kukupenda Brenda jamani?
Tokea long time kitambo hicho you know.....
Koh koh
Nimetamani kweli huo ubuyu wa wanaume wasiofaa,si unanijua tena shoga ako?
Hahahahahaaa
[emoji38] [emoji38] [emoji38] shogare tutasutwa tuhamie tu kule kwa da jane huku wambea wengi hadi wababa na midevu yao tutawezaje kuchuana na vikongwe wa hizi kazi....kuna mwanaume mmoja mwenyekiti wa umbea jf hajatinga humu atakuwa busy kunyoa watu sijui....
 
teh teh mimi sishangai sita hakuna nnachoshangaa braza..kwani mi nimefanyaje wajameni mi nilisema tu pia hata usipoexpose ukajidai kuficha bado kuna watu usiotegemea watajua tu...inshort nasema hivi unaweza kuwa na uozo wako ukajikuta msiri kumbe watu wanakuchora...mbaya zaidi ikiwa we bingwa wa kunyoshea watu vidole..jf watu kujikuta wao wasafi sana....haya tupate break sasa...

uko sahihi kabisa...Inawezekana watu wakajua if you are not careful enough.......watu wanapaswa kujitahidi kutenga maisha yao halisi na maisha ya mitandao ya kijamii.....Matokeo ya kutokuwa makini ni kama hili la leo la ushimen
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] shogare tutasutwa tuhamie tu kule kwa da jane huku wambea wengi hadi wababa na midevu yao tutawezaje kuchuana na vikongwe wa hizi kazi....kuna mwanaume mmoja mwenyekiti wa umbea jf hajatinga humu atakuwa busy kunyoa watu sijui....
Mhhhhhhh utantoa roho leo mtoto wewe!
Haya,huyo mwenyekiti wa umbea ndio nani tena?
Loooooh!
DaJane na alete huo ubuyu wa Lulu tukaumung'unye sie.
 
Hivi Kaboom unaielewa mienendo ya Benny kwa douta?

Na kama unaielewa, of all pipo huyu Benny ndo umemwacha kila siku anajifanya kuja kuulizia kitabu cha biological science kwa douta anayesoma HGL!

Hahah...mkuu baba kama anajua hivi ila ananiangalia tuu ila unaenda kuharibu mambo...

inabidi nianze kumtoa mzee kahawa jioni kabla haijawa mbaya
 
Hahaahaaaa....
Naomba nikujibu kadri nitakavyo weza.
-X ni masters holder na anajob yake poa na mjengo wake wa haja.
-Mimi nina degree holder na nina maisha ya kawaida.
-NG ni PhD holder na anamaisha yake poa.
Mmoja nilikutana nae kwenye ndege, mwingine nilikutana nae kanisani.
Wote tuna umri wa 30 to 35.

Bila shaka nimejaribu mkuu[emoji39]
Kudadek!!!....mimi tu sijasoma JF[emoji134]
 
kweli mdada akizaa hukuu na huku af hajawa kwenye ndoa ya iakika ni rahuisi kukumbushia ya kale na mzazi mwenzie
 
uko sahihi kabisa...Inawezekana watu wakajua if you are not careful enough.......watu wanapaswa kujitahidi kutenga maisha yao halisi na maisha ya mitandao ya kijamii.....Matokeo ya kutokuwa makini ni kama hili la leo la ushimen
Freeland
Hii kitu ipo hapa jf kwa muda sasa, pengine waweza kua mmoja kati ya wasio ijua hii sinema.
Ebu ngoja niishie hapa aiseee... nisije nikajikuta nafunguka hata ID zao...[emoji12]
 
Kumbe huyo mumeo alikua amesha ujua mchezo ulio mfanyia, kwa maelezo alio nieleza nikwamba wewe ulimdanganya kwamba mimi ni Rafiki wako kikawaida tu, tena akaniambia kwamba umempa na sim ambayo mimi nilikupa wewe, na kumbe ulisahau kufuta conversation zangu mimi na wewe hapo ndipo alipo anza kuisoma picha nzima.
Nakumbuka kipindi kile mama alinipigia sim kwamba amepigiwa sim na mwanaume alie jitambulisha kwamba ni mumeo na mimi ninamchukulia mkewe, tena jamaa alienda mbali na huku akimwambia mamaangu kwamba ataniua, sikuhiyo mamaangu alifadhaika sana na alinipigia sim kuniuliza mambo yale yalivyo.Then niliamua kudanganya mama kwamba huyo ni mtu mwenye wivu wa kimapenzi tu, na hiyo nilifanya ili nimpoze mamaangu kwa kuogopa presha isije ikapanda na tuka taabika sisi wanawe.

Anyway.....
Hili jambo nilikaa nalo moyoni kwa muda na tayari upendo wangu kwako ulitoweka na nilianza kusubiri tu muda ufike nikuje Tz ili tumalize jambo lile, hivyo nikaamua kuvumilia.
Nilipo rejea Tz, tulizungumza na ulijitetea sana huku ukilia machozi kwamba nikusamehe kwakua jamaa alikurubuni na huku ukisingizia kwamba ulipitiwa na shetani pia kishawishi.
Nilikuomba tuzungumze na huyo mumeo ili tuweke mambo sawa ili kila mmoja akue na amani na maisha yaendelee, ukweli niliumizwa sana na tukio lile na nilikujibu kwamba sikupendi tena na sina hisia na wewe tena, nilikusisitiza kwamba wale watoto wako wawili wanao soma na wakwangu nitaendelea kuwalipia ada kama kawaida na nitawapa mahitaji kama pale mwanzo.
Hii picha ilikua haijifuti akilini mwangu hasa pale ulipokua umechanuliwa miguu.
Hatimae nilirejea hukooo duniani kuendelea na kibarua kama kawaida.

Baada ya muda kiasi kupita niliamua kuanzisha mahusiano na mdada mwingine hapa jf huku tukiwa kwenye mazungumzo na kweli nilimueleza kwamba nilikua na wewe ingawa ndio tulikua kwenye harakati za kamba kukatika.
Bidada aliridhia na nilibakiza zoezi la kukuacha rasmi.
Nikiwa kwenye harakati za kukuacha ghafla skumoja uliniambia habari kwamba mumeo yule wa kwanza ulie zaa nae amemuagiza mwanao akuje kwako kipindi cha likizo, hapo nakumbuka wanangu pamoja na wanao wote walikua likizo na wote ulikua nao hapo jijini.
Then nikasema poa hakuna shaka kwakua baba wa huyo mwanao wa kwanza amemuagiza mtoto sikuona tatizo, lakini nilipata wazo la kuku track down ili niweze ziona calls, MMS na SMS zote zinazo ingia kwako.
Hapo ndipo tena nilipo ona maajabu....
kumbe huyo mumeo wa kwanza alikuja hapo jijini, na wewe ndie ulie lipia hotel kwakua alikuambia hana pesa, na pia ukalala nae pale hotel kisha kesho ukarudi na mwanao kule ulipo kua ukiishi.
Aiseeee.....
Ingawa nilikua nimekueleza kwamba sina mapenzi na wewe na sijutaki tena, ila niliumia sana kwamba natoa pesa mimi alafu wanaume wengine ndio huzitumia...!!
Duh kapitiwa na shetan kwa hyo so far mpo wanaume watatu ww mme wake +shetani nasema bado bado bado
 
Back
Top Bottom