Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allah akbarTakbir
Vipi mkuu ulitaka kubet?Nusu fainali kwani tayari
Imeshanipita hiyo nasubiri mengineyoVipi mkuu ulitaka kubet?
Bwana nani!?Siku Takatifu ya Bwana
Mungu wa Mbinguni au AllahBwana nani!?
Mwendo wa kuhudhuria matamasha tu mpaka kieleweke.Mh! hachoki jana tu alikuwa kwenye komedi!
Siyo yesu!?.. maana nyi wenyewe huvurugana kwenye yesu ndiyo Mungu au first born tuMungu wa Mbinguni au Allah
Soma Surat Maria kwenye Quran tukufu utaelewa kwa Wepesi zaidiSiyo yesu!?.. maana nyi wenyewe huvurugana kwenye yesu ndiyo Mungu au first born tu
Mtajie na aya maana sura ni ndefu mnoSoma Surat Maria kwenye Quran tukufu utaelewa kwa Wepesi zaidi
Hakuna surat Maria kwenye Quran, pili Quran inamtambua yesu kuwa nabii tu na mtu wa kawaidaSoma Surat Maria kwenye Quran tukufu utaelewa kwa Wepesi zaidi
Well saidHakuna surat Maria kwenye Quran, pili Quran inamtambua yesu kuwa nabii tu na mtu wa kawaida
Ndio sababu inaitwa Sura, maana yake utapata picha kamiliMtajie na aya maana sura ni ndefu mno
Wacha weeee 😂😂Hakuna surat Maria kwenye Quran, pili Quran inamtambua yesu kuwa nabii tu na mtu wa kawaida
Taja sehemu ilipo point yako ndani ya suraNdio sababu inaitwa Sura, maana yake utapata picha kamili
قَالَ إِنِّي عَبْدُ اللَّهِ آتَانِيَ الْكِتَابَ وَجَعَلَنِي نَبِيًّاWacha weeee 😂😂
Usikonde wala nini. Hiyo ipo na itakuja very soon. Pia na "Kesha na Mama Samia" inaandaliwa na Mwamposa! Umefurahi?Kwanini wasibadilishe jina waliite DR. SAMIA QURAN FESTIVAL?! Tuunge Mkono juhudi za Dr. Samia