TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 28,186 Reaction score 15,549 Feb 23, 2025 #81 Mama hajaenda tanga?
gallow bird JF-Expert Member Joined Aug 10, 2024 Posts 3,915 Reaction score 6,272 Feb 23, 2025 #82 johnthebaptist said: Sasa ilianza Injili ndio ikaja Quran yaani alianza Maria ndio ikashushwa Quran kwa lugha ya kiarabu Click to expand... Kwamba yusufu alimuita maryam maria!?..tafakari mkuu
johnthebaptist said: Sasa ilianza Injili ndio ikaja Quran yaani alianza Maria ndio ikashushwa Quran kwa lugha ya kiarabu Click to expand... Kwamba yusufu alimuita maryam maria!?..tafakari mkuu
prince john john JF-Expert Member Joined Aug 31, 2016 Posts 2,184 Reaction score 3,369 Feb 23, 2025 #83 Makundi tulipangwa lini
Vishu Mtata JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 15,954 Reaction score 35,415 Feb 24, 2025 #84 holoholo said: hata kama hana haiba ya ukali,ukionya jambo mala ya kwanza halafu liende kinyume na ulivyotarajia,ukawajia juu na kufanya kwa vitendo eidha kuwatengua,kuwafuta kazi au kuwapeleka ktk vyombo vya sheria wahusika mbona wengne watajipanga wenyewe tu. Click to expand... Zaidi ya kuwahamisha vitengo hamna kitu anaweza kufanya.
holoholo said: hata kama hana haiba ya ukali,ukionya jambo mala ya kwanza halafu liende kinyume na ulivyotarajia,ukawajia juu na kufanya kwa vitendo eidha kuwatengua,kuwafuta kazi au kuwapeleka ktk vyombo vya sheria wahusika mbona wengne watajipanga wenyewe tu. Click to expand... Zaidi ya kuwahamisha vitengo hamna kitu anaweza kufanya.