Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nasubiri ukifa.Ntalia huku namkonyeza mkeo.Ukweli mimi huwa ni ngumu sana yaani kuna wakati nilipatwa na msiba ule mv nyerere bwana mdogo alienda pamoja na mke wake japo niliumia mno yaani moyoni nahisi kabisa nalia lknb machozi hayatoki hata kidogo
nikaona isiwe tabu nikavunga tu
chaajabu kesho yake hata sauti haitoki hata kidogo watu wakawa wanasema uliupaswa ulie kwa sauti.
Mimi nampa dawa anayoitaka,nambust ili alie zaidi.This is brutal,muhurumie😄😄😄
Madhara ya pombe hayo...ilistimulate oxytocin...Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
Absolutely, unafiwa na baba yako halafu unaambiwa usilie jikaze we mtoto wa kiume! Utajikaza sawa ila moyo unabaki na majeraha ya sonono kwa muda mrefu yanayopelekea kuchukua uhai wako pia.Ndiyo maana Wanawake mnaishi muda mrefu kuliko sisi wa baba!
Inawezekana mambo ya kitaalamu hayo.Madhara ya pombe hayo...ilistimulate oxytocin...
SureInawezekana mambo ya kitaalamu hayo.
Nitageuka mzimu usiku nakupiga machine hadi unamkimbia mwenyeweNasubiri ukifa.Ntalia huku namkonyeza mkeo.
🤣🤣🤣humu kumejaa vituko sana!Nimelia sana mpka nimedindisha 😭😭😭
Kama DK 20 Na kitu hiviiUlilia kwa dakika ngapi ukapata nafuu?
AhsantePole sana mkuu
Cha ajabu watakuta kaburi lako limetuna katikati.Tutaanza kukuombea dua upya huku namminyaminya viganja mke wa marehemu. 🤔Nitageuka mzimu usiku nakupiga machine hadi unamkimbia mwenyewe
😂😂😂Yani nlikua nshaanza kuishiwa nguvu Na depression😂😂😂 Ukimaliza, jiqngalie kwa kioo na ujiulize kwanini unalia
😂😂😂😂😂😂Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
Kifo hakina mbabe, great anger mixed with deepest sorrow, kuna kitu kinakaba kooni..haielezeki. ila chozi kama chozi halitoki.Absolutely, unafiwa na baba yako halafu unaambiwa usilie jikaze we mtoto wa kiume! Utajikaza sawa ila moyo unabaki na majeraha ya sonono kwa muda mrefu yanayopelekea kuchukua uhai wako pia.
Wenzetu wanalia wanamaliza kabisa chapter
Machozi hupunguza maumivu na sumu nyingi mwiliniHatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Machozi hupunguza maumivu na sumu nyingi mwiliniHatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia
Hii umenikumbusha mbali😂😂😂Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.