Hata 3 mlipigwa na Tabora mwanzoni mwa ligi?Mlifungwa 1 na Azam mwanzoni mwa ligi?Mnaburuza mkia kwenye kundi lenu la CAF mwanzoni mwa ligi?Ken Gold mlishinda ngapi?Pamoja na goli lao kukataliwa?Kagera,Ken gold,prison kwa kipindi hiki kabla ya usajili ni vibonde yes(Tunaangalia current performance)...Yanga alishinda 2 tofautisha mwanzo wa ligi na huku katikati mkuu ...Simba tupu hajawahi mfunga kagera kwake misimu mitatu ya mexime pale kaitaba unafahamu hilo
Mpanzu aliyechoka ni bora mara miai zaidi ya Mutale amabaye yupo fiti kwa asilimia 100%Mpanzu alikuwa amechoka
waitumie kwa wananchi uone watakavyo pigwaWanadhani mpira ni baiskeli kila mtu anajua.
JKT walitumia zaidi low block! Hii ni mbinu ngumu sana kuwafunga maana wanakuwa compact bila kuacha spaces za kushambulia.
Utatumia mipira mirefu watatoa maana inakuwa 50/50 winning possibilities.
Msiojua mpira mnaona wachezaji na kocha walifeli.
Kashabikieni pornography mpira si sehemu yenu.
Bongo hawajui tactics za mpira wao n lopo lopo tuKwahyo low block ndio unamtoa mpanzu mwenye shoot on target 5 unamuweka mutale ambaye hajawai kuprove chochote, kwamba huyo mutale kaingia kwa sababu gani? Kuifungua hiyo low block?
1.Mpanzu ana muda mrefu hajacheza mechi za mashindanoHuyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,
Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?
Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Huenda mpanzu alichoka akaomba sub,uwanjani Kuna mengi,hata iweje ushindi ni ushindiMoja ya sub ya hovyo kabsa aliyoifanya
Mpira umeanza kuangalia Jana au pombe zimekupanda,mwanzo mwa ligi Simba alishenyetwa vibaya mno ....kengold nilipata point 3 natambaHata 3 mlipigwa na Tabora mwanzoni mwa ligi?Mlifungwa 1 na Azam mwanzoni mwa ligi?Mnaburuza mkia kwenye kundi lenu la CAF mwanzoni mwa ligi?Ken Gold mlishinda ngapi?Pamoja na goli lao kukataliwa?
Alishenyetwa vibaya mno mwanzoni mwa ligi akapoteza mechi ngapi?Na Utopolo kapoteza mechi ngapi?Nisije nikawa naongea na mtu alikuwa jela.Mechi na Coastal mlibebwa,mechi na Simba mlibebwa.Umewahi kumsikia Kayoko akichezesha tena?Mechi na Ken Gold mlibebwa.Mpira umeanza kuangalia Jana au pombe zimekupanda,mwanzo mwa ligi Simba alishenyetwa vibaya mno ....kengold nilipata point 3 natamba
Endeleeni kubebwa Mech Vs Dodoma jiji,Azam ni ushahidi WA niliongea usilete mapenzi hapa ongea fact
Kweli aiseeMpanzu aliyechoka ni bora mara miai zaidi ya Mutale amabaye yupo fiti kwa asilimia 100%
Ila mutale yeye kayafanikisha yotee? Kapata muunganiko, Kila kitu mbona ni kiazi TU na anachokifanya akieleweki au kujulikana?1.Mpanzu ana muda mrefu hajacheza mechi za mashindano
2. Mpanzu hajapata utimamu wa mwili kutokana na 1 hapo juu
3. Mpanzu hajatengeneza muunganiko stahiki na wenzie kutokana na ugeni
4. Mpanzu anaweza kupata majeraha Kwa kuchezeshwa dakika nyingi hizi mechi zake za mwanzo kutokana n 1 na 2 hapo juu
Akapoteza tenah mech na Yanga ligi kuu,Yanga kalose mech 2 Ambapo 1 walikuwa pungufu ...Mech na Simba tulibebwa wapi Hamza hukuona alistahili Kadi nyekundu ?,hukuona refa aliwabeba kwa camara huoni ehAlishenyetwa vibaya mno mwanzoni mwa ligi akapoteza mechi ngapi?Na Utopolo kapoteza mechi ngapi?Nisije nikawa naongea na mtu alikuwa jela.Mechi na Coastal mlibebwa,mechi na Simba mlibebwa.Umewahi kumsikia Kayoko akichezesha tena?Mechi na Ken Gold mlibebwa.
Kwani kocha alikuwa anacheza namba ngapi leo? Kuwa na heshima boss, kama huyo Elie Mpanzu alikuwa na uwezo alishindwa nini kufunga kwenye hizo shoti onitageti?Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,
Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?
Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?
Akichezesha mechi ya Simba wewe mvimba macho.Kwa hiyo mkifungwa mkiwa pungufu hujashindwa?Na JKT mlishinda au hamkushinda wakiwa pungufu baada ya kutolewa golikipa wao dakika ya 57.Akapoteza tenah mech na Yanga ligi kuu,Yanga kalose mech 2 Ambapo 1 walikuwa pungufu ...Mech na Simba tulibebwa wapi Hamza hukuona alistahili Kadi nyekundu ?,hukuona refa aliwabeba kwa camara huoni eh
Kayoko kachezesha mechi ya SINgida black stars ambayo itawashenyenta Vs Dodoma jiji na black stars walishinda 2 kwa 1., December 12,2024 je derby mlikuwa hamjacheza bado,,unahisi mpira tunaangaliaga highlights kama ww
Kocha hajui kitu, hajacheza namba yoyote, lakini kumuingiza mutale ni upuuzi kafanya, game ya singida big star ni ngumu sana lakini ghafla utaona kikosi chakeKwani kocha alikuwa anacheza namba ngapi leo? Kuwa na heshima boss, kama huyo Elie Mpanzu alikuwa na uwezo alishindwa nini kufunga kwenye hizo shoti onitageti?
Ila mkuu ukweli usemwe, Sisi Simba hatuna timu pale tumekosa magoli ya wazi mno. Ni ninavyoona kuna mechi kama 3 kama hatutakaa sawa tutasare maua!Kocha hajui kitu, hajacheza namba yoyote, lakini kumuingiza mutale ni upuuzi kafanya, game ya singida big star ni ngumu sana lakini ghafla utaona kikosi chake
Nishakuzidi kwa hoja unapumulia mashine ,naona unaongea pumba Tu ...Unawapangia bodi ya ligi kayoko achezeshe mechi ya Simba nasema you are hopeless mbona hajachezesha ya Azam nimekupa mech unahangaika kama maharage yasiova...Round ya 2 nitakushenyenta kwa timu hii Tia maji Tia maji...pita hiviAkichezesha mechi ya Simba wewe mvimba macho.Kwa hiyo mkifungwa mkiwa pungufu hujashindwa?Na JKT mlishinda au hamkushinda wakiwa pungufu baada ya kutolewa golikipa wao dakika ya 57.
Au kisingizio cha kuwa pungufu ni nyie tu?
Ngebe nyingi huku mnaburuza mkia au na huko mlikuwa pungufu?
Wacheni mpira wa mdomoni.Mlichapwa mkafukuza kocha na CAF vipigo vikaendelea.
Ukiangalia timu kimpira sio kishabiki unayoongea unaeleweka vzr Sana mkuuIla mkuu ukweli usemwe, Sisi Simba hatuna timu pale tumekosa magoli ya wazi mno. Ni ninavyoona kuna mechi kama 3 kama hatutakaa sawa tutasare maua!
Tumehama Kwa Mpanzu? Hoja yangu haihusiani na MutaleIla mutale yeye kayafanikisha yotee? Kapata muunganiko, Kila kitu mbona ni kiazi TU na anachokifanya akieleweki au kujulikana?
Zaidi ya kuangalia kwenye tv, una experience yoyote ya ukocha?Huyu kocha hata Mimi nikikaa pale naweza fundisha huu mpira unaochezwa, match karibu 7 za Simba wanashinda kwa kubahatisha na kwa msaada wa marefa,
Kinachonishangaza ni hizo sub zake zisizoeleweka, nimeshangaa Leo anamtoa Mpanzu aliekua na shoot on target 5 anamuingiza Mutale mchezaji ambae hajawai kuprove chochote uwanjani, sasa hiyo ni akili kweli?
Hebu naomba kunielewesha wataalamu wa mpira, hapo kocha alikua anafikiria nini?