Mkuu, umetisha sana. Masimango + matusi + hukumu + kejeli + maelekezo tata.. Dah! kwani kakukosea ww binafsi wapi? Kwani ukijipitia zako hv utapata hasara gani? Kha! Yan ni lazima utukane kiasi hicho????Karma is a bitch wakati unaringa kuwapa mbususu waoaji uliona unajiweza nyie mbwa mnaringa sana mkiwa chuo sasa pambana na K yako iburuze utakavyo
Tulia mdogo etu tutakuchangiaNimeweka namba naomba msiniattack please
Jana alisema kuna watu wamemchangia.Mtoa mada umeshachangiwa chochote!?
Mimi nitamchangia kama mdogo wanguWa kumchangia fwedha hayupo labda wa kumsumbua kwenye simu na mitongozo ya hapa na pale.
Wanaume wenyewe wa kutoa pesa hawa wanaoulizia kazi za kuandikisha wananchi kwenye daftari la wapiga kura?
Niko pale nimekaa wakimtumia
Anhaaa basi vizuri maana nimeona kejeli kathiir kuliko utatuzi wa jambo.Jana alisema kuna watu wamemchangia.
Siyo mwanamke huyo, nimesoma uzi wote, anaandika mwandiko wa kiume kabisa.Anhaaa basi vizuri maana nimeona kejeli kathiir kuliko utatuzi wa jambo.
Ila huyu akijiendekeza/kukaa vibaya wauni watapita nae kama kishada,asijilegeze hivyo.
Usipozolewa na gari basi boda atakusomba.Almost 40 km, kwenda na kurudi 80km, na bado kuna hatari kubwa ya ajali maana barabara za Dar kwa baiskeli ni kimbembe
Yeah. Nami nimestuka kwani wapo wanaomfahamu na wanajua hata vijiwe vyake.Siyo mwanamke huyo, nimesoma uzi wote, anaandika mwandiko wa kiume kabisa.
Chukua ushauri huo ubane nauli wewe..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huna shida weweNatamani kufanya hivyo ila kuna watu humu wanaweza kutumia namba yangu kunikejeli
Yupo Ulaya huyo dada ndio maana ameandika hivyo.Jimena ushauri wako ni mzuri dear.ilaa bunju to magomeni unujua umbali wake? Aende Kwa baiskeli?
Mfano aanzie mwembechai akanyage pedali Hadi Ubungo mataa,[emoji134]
Akangayage Tena Hadi mwenge mataa[emoji134]
Mwenge mpaka kawe ama tegeta to bunju
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Utakua unakaa mkoani wewe.
Mkuu, umetisha sana. Masimango + matusi + hukumu + kejeli + maelekezo tata.. Dah! kwani kakukosea ww binafsi wapi? Kwani ukijipitia zako hv utapata hasara gani? Kha! Yan ni lazima utukane kiasi hicho????
kadogo2 : Pole sana, hii ndo jeiefu
Ulaya sio dar mywangu.kuanzia miundombinu sio rafiki.vurugu nyingi.pia hajajua umbali labda.ila kashauri vema.Yupo Ulaya huyo dada ndio maana ameandika hivyo.
Kweli.Jf labda uje kupiga story muda uende lkn kama una jambo lako serious ni bora upambane huko huko ama la uwe na moyo wa chuma haswa. Kuna matusi na kejeli za hela yote humu.
Nimesoma hadi page ya 4 hili swali halijajibiwa. Itoshe kusema mleta uzi kadogo2 NI TAPELI na hapaswi kuaminiwa. Katoa namba ya simu kwenye page ya 4 kwa kulazimishwa sana na watu. Mtu aliye serious angesema kasoma wapi na nini ili asaidiwe kazi na sio kuwa ombaomba.Ulisomea nini na ni chuo gani?
Hakika.Usipozolewa na gari basi boda atakusomba.
Mjini sio rafiki Kwa baiskeli
Una uhakika mkuu!?Siyo mwanamke huyo, nimesoma uzi wote, anaandika mwandiko wa kiume kabisa.
Aaagh 🙆🏿♂️🙆🏿♂️🤣🤣Lamamayee!Yeah. Nami nimestuka kwani wapo wanaomfahamu na wanajua hata vijiwe vyake.
Ka afu 25 tu rafiki.Ulikatumia hako ka kijana bei gani?🤣