Mwandiko wako una utata sana kamanda, unaandika kama me kabisa aisee.
Wenye nacho wakuchangie,ila jf ina unafki wa kiwango cha sgr ama kweli hii ni jamii.
Huyu angekua Me angepopolewa si mchezo, kajitambulisha kama ke, vijana wa hovyo wametaka namba, wamepewa sijui kama watachangia zaidi ya usumbufu.
Pm ya kijana itakua busy sana muda huu, simu zitapigwa, kuna kajamaa pale juu kamejitolea kummliki kabisa ati kapo temeke sijui, alooo kufa kufaana.
OK good. Keep it up. Halafu endelea kuzisoma nyakati na Ramani. Kama ipo sehemu greener pastures unahamia huko.Nimeshakopa Kama 4 hivi ndio napata nauli
Mkuu dunia ina mengi maisha haya huwa yanageuka ndani ya sekunde tu.Unatuambia sisi ili iweje?
Unapoelekea unaenda kutiwa mimba na bodaboda.
Yan umeajiriwa japo kwa kujishikiza kama ulivyobainisha kwenye Sekta binafsi au
😂😂😂😂Mwandiko wako una utata sana kamanda, unaandika kama me kabisa aisee.
Wenye nacho wakuchangie,ila jf ina unafki wa kiwango cha sgr ama kweli hii ni jamii.
Huyu angekua Me angepopolewa si mchezo, kajitambulisha kama ke, vijana wa hovyo wametaka namba, wamepewa sijui kama watachangia zaidi ya usumbufu.
Pm ya kijana itakua busy sana muda huu, simu zitapigwa, kuna kajamaa pale juu kamejitolea kummliki kabisa ati kapo temeke sijui, alooo kufa kufaana.
Yan huwezi kuelewa yan kuna ule point unafika hamna mtu w kukusaidia kila mtu analalamika Yan Mungu tu atusaidie kw kweliHakuna uhalali wowote ule wa mwanamke kudanga. Hii kitu itachafua maisha yako na itaharibu kabisa maisha yako kiasi kwamba hata ukiwa ndani ya ndoa bado utatamani kudanga.
Kupewa vitu vya bure ni tabia ambayo itakukaa mpaka unakufa, ukizoea vya bure kupewa na mwanaume utaingiwa na tamaa za maisha zaidi, hapo sasa hata utatamani maisha ya juu zaidi, hautaweza kuridhika, na ukifka hatua hiyo kutulia ndani ya ndoa au kuwa na mwanaume wa kawaida kuanza nae maisha kwako itakuwa ngumu.
Unapokuwa na shida kama hivi, omba msaada usaidiwe ila usije fikiria kufanya umalaya, yaani kudanga sababu ya hali ya maisha. Ninakwambia hivi sababu mimi nmeshahuhudia mabinti wengi wadangaji wanapofika 30s maisha yao yanapoanza kujawa na majuto ambayo hawawezi tena kuyerekebisha.
Kwani sasa hivi halipi bill ya maji na umeme? Kwani sasa hivi haweki bando?Sasa hana bill ya maji? ya Umeme? vp hapo nyumbani hajipikii? kama amepanga vp kodi ya pango halafu umesahau bando au hapigi cm? Ke wana mahitaji nyeti kila mwezi "mshahara" hilo unaliwekaje kwa mfano au
Yan umeajiriwa japo kwa kujishikiza kama ulivyobainisha kwenye Sekta binafsi au
Nikushauri kitu? Futa namba yako unajichoresha hamna watuma pesa humu.Hakuna muamala mpk sasa
A Very nice comment.Mkuu dunia ina mengi maisha haya huwa yanageuka ndani ya sekunde tu.
Leo unaweza ukawa unaona huna shida ukapata ujasiri wa kumjibu mwingine hovyo ila tambua kuwa hata ww pia anytime unaweza patwa na kadhia ya kimaisha pia na hao ambao ulikua ukiwabeza wakawa msaada kwako namba moja.
Maisha yana mengi mkuu tafadhali ukipata nafasi ya kumfariji mwingine basi fanya hivo kwamaana msaada sio pesa tu hata mawazo pia na faraja ni msaada.
Hujafa hujaumbika.
Njoo nikupe kazi ila ni mkoaniMpenzi ingekuwa hivyo ni siku nyingi ningepotea.. mimi nimejikuza mwenyewe na mtaani kwetu Hakuna binti aliesoma na alietulia na asie na mtoto zaidi yangu… huko nilishapita kinachoniwazisha hapa ni hii hatua nitavukaje
So, endelea kutazama na pembeni where u can find greener pastures.Nimeajiliwa ila kwa mkataba napo usipofanya vizuri wanakutoa
Nikushauri kitu? Futa namba yako unajichoresha hamna watuma pesa humu.
Aliye serious atakufata pm kukusaidia
Yeah, nalo hilo alitazame - ni ushauri mzuri.Kwani sasa hivi halipi bill ya maji na umeme? Kwani sasa hivi haweki bando?
Kodi ya Pango ataipata akiacha kulipa nauli (90k/mwezi) akipanga karibu na kazini chumba 50k anabaki na 40k.
Sio sawa!Wewe msenge nae kila siku unakuja na visa vipya, utakuwa mwanaume wewe
Kwani sasa hivi halipi bill ya maji na umeme? Kwani sasa hivi haweki bando?
Kodi ya Pango ataipata akiacha kulipa nauli (90k/mwezi) akipanga karibu na kazini chumba 50k anabaki na 40k.
Mungu amzidishie Ila tu asiwe kinyume na kusudioKweli kuna mmoja kanifata pm kaomba namba na ameshamitumia