Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

Kupanga ni kuchagua broo. Kwa hiyo huku Jf ndo poa sio?
Sio kama pazuri ila buku kumi na tano ni ndogo sana, unajua kuna kazi ambazo zina hela ila tatizo kuchukulia poa, mfano auze hata tikiti 3 kwa siku faida haiwi chini ya 15000 per day mara mwezi ni 450k hapo hatoboi kweli?
 
Diploma ya Mnaendeleaje.......? Kwani amerekebisha Statement ya awali kama kweli ni Typing error.
Maendeleo ya Jamii, iko kwa Certificate na diploma, na kuna vyuo navijua inatoa hiyo course, ikiwepo Chuo cha Mipango Dodoma.

Na ajira ya hii course, ni utendaji wa kata/mtaa/kijiji.
 
Pole jipe moyo utashinda, haijawahi kuwa rahisi ndugu kukuvusha sehemu nyingine hasa ikiwa inahusu mafanikio.. wengi tunasaidiwa na watu baki ila ukipita katka Hilo usije ukajisahau🙏
 
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini

Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki hivyo tumebaki na mama tu.. hao ndugu zangu wote hawana maisha ya kueleweka isipokuwa mmoja tu angalau yeye ameajiliwa serikalini ndio kidogo anaibeba familia, yeye ameshaoa ana familia yake

Mimi nimeshahitimu chuo nina kama Miaka miwili nyumbani.. nimepata sehemu ya kujishikiza wananilipa 250000.. Kwetu ni bunju nafanyia kazi magomeni kila siku natumia 5000 yaani 3000 nauli 2000 nakula mchana hapo Ndio najibana mno..

Sasa kwasasa Hivi nyumbani Hakuna mtu nipo peke yangu mama ameenda kijijini kwao bibi anaumwa, mama yangu hana kazi ile ya kumtegemea anauza chupa za maji hivyo siwezi kumsumbua kwa chochote, amesafiri hajaniachia hata shilingi 100.. Hakuna chakula ndani Hakuna chochote, nachofanya nikitoka kazini nashukia kwa brother nakuta wamepika nakula naondoka

Leo nimeumia sana sijaenda kazini Nina siku 2 sina nauli hela niliokuwa nayo akiba imeisha nimemuomba bro kasema yeye hana hela hawezi kuwa anatoa hela mara mbili mbili kwa familia yake na kwangu, Kama niliweza kutafuta kazi basi nijitegemee nauli nikitaka kula nije nyumbani,, nikamuuliza sasa nitatoa wapi na Ndio naanza kazi akanijibu nitajua mwenyewe

Hiyo kauli imeniuma yaani anamaana gani kusema nipambane nitafute nauli yaani naitafutia wapi ..

Leo nimeacha kuwa judge Watu na maisha wanayoishi Kama ndugu yangu wa damu ananiambia maneno haya hao wa nnje watanijibu vipi

Ni hayo tu wakuu
Njoo Ruislip wote
 
Kwa aambao hamjui kozi ya maendeleo ya jamii yaani Development studies (DS) ni kozi mpya ipo UDOM na UDSM kwa ngazi ya degree

Nafikirii hapo tufunge kurasa kama huelewi nenda google
 
Nadaiwa nikijiunga wanakata hela na hela nayotumiwa sio nyingi kiasi kwamba nikisema niunge bando basi kwa wakala nitatoaejero
Kwan wanakutumia buku buku? Si ulipw deni na uunge salio afu ushukuru watumaji, au shda yako ndo itaisha leo mazima?

Hutotaka tena msaada humu?
 
Mbona km umerudi kwa id nyingine kujitirisha huruma?
1000020542.jpg
 
Back
Top Bottom