Leo ndio tutajua baba mwenye gari ana umuhimu gani..!

Hii mvua imeleta balaa, usafiri hamna watu wamezagaa barabarani na miamvuli kwa kweli hata kutoa lift ni ngumu maana utamchukua yupi utamuacha yupi?

Leo ndio baba mwenye gari anatembea kifua mbele
Eheheee
 
Acha utoto
 
Acha wivu wewe....

sina wivu mkuu.
maana hata mim nipo kwenye level hiyo but hua sina haja ya kujivuna wakt kitu chenyewe chepes maji yakizid tair kidogo tu kinasombwa na maji kuleeeeee
 
sina wivu mkuu.
maana hata mim nipo kwenye level hiyo but hua sina haja ya kujivuna wakt kitu chenyewe chepes maji yakizid tair kidogo tu kinasombwa na maji kuleeeeee
Mtu chake....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…