Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
Hata mimi bado ssijaelewa kwa kweli[emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zangu kwa nini tunapenda fikra hasi ktk kila jambo? Kumbukizi ya Mwalimu imefanyika Chato, ambako kuna kaburi la Dk. Magufuli.Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Lakini hatuendi kutembelea kaburi la mtume M. Unfair justification/comparison. This is Nyerere Daysiku ya pasaka hua unaenda kwenye kaburi la yesu?
nijuavyo, nyerere day hua tunasherehekea maisha ya nyerere so inaweza kua popote.
Hii inaonesha kuna mambo makubwa aliyoyafanya Magufuli kum-enzi Mwl. Nyerere.
HDD ni ya nani hadi useme ni wivu (Happy Death Day)Mnamuonea wivu hadi marehemu?!
Kwa hao walioenda kuweka mashada kwenye kaburi la Magu.Inaonesha kwa nani?
Nilikuwa karibu na mtoto leo alivosikia na kuona hayo mashada akahoj mbona ni Nyerere Day. Kwani hili si swali muhimu? Kwa nini mjibu kwa jeuri.Mnamuonea wivu hadi marehemu?!
CCM wamepoteza muelekeo. Mambo ni Vururu vururu 😂😂😂😂Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
CCM wamepoteza mwelekeoMambo ni Vururu vururu 😂😂😂😂Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
aibu sana nchi kuendeshwa na wahuni wa namna hii.Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
Ila Magufuli alijua kutuua watanzania, Urundi wake ulikua wa Ubaya ubaya tu.Ameshajiandikia historia ya udikiteita, yote mnajisumbua kumtukuza wakati watu, dunia inajua Jiwe alikuwa nani
![]()
Kwanza kwa Mungu ajibu hawa wako wapi?
Akili zako hazina akili.Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Kwani ulikuwa hujui?!?! 😁😀Hii inaonesha kuna mambo makubwa aliyoyafanya Magufuli kum-enzi Mwl. Nyerere.
Mbadala?au umekosea kuandikaUmeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
HiiiNi upumbavu wa Hali ya Juu, yaani leo hii Magufuli ndio achukue nafasi ya Mwalimu?
Hivi mama hawezi kufikiri kwamba timu ya Mwendazake inamuendesha inavyotaka?
Yaani kapigwa na kuaminishwa propaganda kwamba wasukuma ndio wanaamua Rais? Miaka yote kabla ya Uhuru walikuwa wanaamua Rais?
Magu alipata 58% za kubumba dhidi ya Lowassa kwa nini wasukuma hawakumpa aailimia zote? Huu ni upuuzi na dhihaka kwa Marehemu mwalimu Nyerere.
Haya ni maono yako, hisia ,zako au mihemko yako?Duuuh, hii haikuwa sawa hata Kidogo.
Yule mtu alijijenga sana kwenye kila idara kupitia watu wa nyumbani.
Hili liwe fundisho kwa taifa ,Katiba tuliyo nayo inajenga viongozi madikteta. Wanaamua wanachotaka bila kuzuiwa wala kumsikiliza mtu.
Yule mtu aliyeondoka awamu ya tano alifanya mambo mengi mazuri lakini angefanikiwa kukalia kiti na meza kwa miaka kumi nchi hii ingekua na ukabila mbaya sana.
Tunahitaji Katiba Mpya inayoweza kumpata kiongozi na sio mtawala .
Hata akitoka kabila kubwa asiwe na fursa ya kujijenga kikabila au kidini au kijinsia.
Katiba hii inatoa mwanya kwa Mkuu wa jamii Kujijenga ama Kikabila au Kijinsia au Kirafiki au Kidini bila kuzuiwa na mtu au chombo chochote.
Kwa Katiba hii ipo siku nchi hii itapata inachokitafuta yaani Dikteta kamili. Na dikteta huyo ataumia ama Ukabila,au udini au jinsia.
Miaka yote Mwenge unazimwa Butiama Leo Mwenge unazimwa Chato.
Tunamuenzi Mwalimu na kumsifu sio kwa sababu ya maendeleo bali aliweka maslahi ya Taifa mbele.
Alikaa madarakani miaka 23 lakini akastaafu akiwa na maisha ya kawaida. Hakujiuzia Mali za Umma . Hakujimilikisha ardhi kubwa na majumba wala mahoteli kama hao wengine wote akiwemo huyo aliyetukuzwa kuliko.
Leo Viongozi wa Nchi maskini ya Kijamaa ni Mabepari wa kutupwa.
Awamu ya Tano watu walikua wanapata ukuu wa Mkoa au wilaya kwa miaka mitatu mtu ni Bilionea na haulizwi na mtu kwa sababu tu anavunja Katiba na kujifanya mzalendo wa kutengeneza maadui feki.
Mwalimu alijitahidi kuishi maisha yanayoendana na hali ya uchumi wa watanzania.
Leo sio mbunge sio Mkurugenzi sio diwani wote wanawaza kujinufaisha kupitia mgongo wa CCM na serikali yake.
Waliomshauri Mama nadhani Mzimu wa Mwalimu utawaandama mana wameudnganya umma kuwa wanamuenzi KUMBE Wanamuenzi yule aliyewapa vyeo na ubunge na nafasi za ukaji kwa kuwahujumu wapinzani. Kuna wabunge na madiwani wasingepata nafasi kama sio uporaji ule na uchafuzi wa mwaka 2020. Hao wanasherehekea dhulma ya kitaifa ya mwaka 2020.
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
nyerere day ni lazima isherehekewe butiama?Lakini hatuendi kutembelea kaburi la mtume M. Unfair justification/comparison. This is Nyerere Day
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Nyerere Day inahusiana vipi na vyombo vya ulinzi na usalama?Hili taifa halina uongozi kabisa
Sijui hata vyombo vya ulinzi na usalama wa taifa vinafanya Nini !!
Hizi aibu Nani anabeba?