Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Nyerere au Magufuli?

Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Nyerere au Magufuli?

Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Ndugu zangu kwa nini tunapenda fikra hasi ktk kila jambo? Kumbukizi ya Mwalimu imefanyika Chato, ambako kuna kaburi la Dk. Magufuli.

Kosa nini hapo kwa Rais na viongozi wengine kupita ktk kaburi na kuweka shada la maua na kumuombea dua aliyekuwa kiongozi wetu?
 
Mnamuonea wivu hadi marehemu?!
Nilikuwa karibu na mtoto leo alivosikia na kuona hayo mashada akahoj mbona ni Nyerere Day. Kwani hili si swali muhimu? Kwa nini mjibu kwa jeuri.
Wengine akili finyu, mtoto akiuliza kwa nini waafrika ni weusi na wazungu ni weupe mnajibu kirahisi tu ni laana... Simply unaweza tu useme tuyaache yalivyo.. utakuwa na busara zaidi!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
CCM wamepoteza muelekeo. Mambo ni Vururu vururu 😂😂😂😂
 
Ameshajiandikia historia ya udikiteita, yote mnajisumbua kumtukuza wakati watu, dunia inajua Jiwe alikuwa nani
others-pic-data.jpg

Kwanza kwa Mungu ajibu hawa wako wapi?
 
Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
CCM wamepoteza mwelekeoMambo ni Vururu vururu 😂😂😂😂
Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
aibu sana nchi kuendeshwa na wahuni wa namna hii.
 
Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Akili zako hazina akili.
 
Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Mbadala?au umekosea kuandika
 
Ni upumbavu wa Hali ya Juu, yaani leo hii Magufuli ndio achukue nafasi ya Mwalimu?

Hivi mama hawezi kufikiri kwamba timu ya Mwendazake inamuendesha inavyotaka?

Yaani kapigwa na kuaminishwa propaganda kwamba wasukuma ndio wanaamua Rais? Miaka yote kabla ya Uhuru walikuwa wanaamua Rais?

Magu alipata 58% za kubumba dhidi ya Lowassa kwa nini wasukuma hawakumpa aailimia zote? Huu ni upuuzi na dhihaka kwa Marehemu mwalimu Nyerere.
Hiii
FB_IMG_1616556474832.jpg
 
Wewe ndiye unayeutengeneza huo u hasi.sidhani kama binadamu tunapaswa kufikiri kwakufanana.na mtu kauliza swali kuna shida gani ukimjibu kulingana na swali lake badala yakuanza kufikiria hayo yahu hasi kwenye kila kitu.
 
Duuuh, hii haikuwa sawa hata Kidogo.

Yule mtu alijijenga sana kwenye kila idara kupitia watu wa nyumbani.

Hili liwe fundisho kwa taifa ,Katiba tuliyo nayo inajenga viongozi madikteta. Wanaamua wanachotaka bila kuzuiwa wala kumsikiliza mtu.
Yule mtu aliyeondoka awamu ya tano alifanya mambo mengi mazuri lakini angefanikiwa kukalia kiti na meza kwa miaka kumi nchi hii ingekua na ukabila mbaya sana.

Tunahitaji Katiba Mpya inayoweza kumpata kiongozi na sio mtawala .
Hata akitoka kabila kubwa asiwe na fursa ya kujijenga kikabila au kidini au kijinsia.
Katiba hii inatoa mwanya kwa Mkuu wa jamii Kujijenga ama Kikabila au Kijinsia au Kirafiki au Kidini bila kuzuiwa na mtu au chombo chochote.

Kwa Katiba hii ipo siku nchi hii itapata inachokitafuta yaani Dikteta kamili. Na dikteta huyo ataumia ama Ukabila,au udini au jinsia.


Miaka yote Mwenge unazimwa Butiama Leo Mwenge unazimwa Chato.

Tunamuenzi Mwalimu na kumsifu sio kwa sababu ya maendeleo bali aliweka maslahi ya Taifa mbele.
Alikaa madarakani miaka 23 lakini akastaafu akiwa na maisha ya kawaida. Hakujiuzia Mali za Umma . Hakujimilikisha ardhi kubwa na majumba wala mahoteli kama hao wengine wote akiwemo huyo aliyetukuzwa kuliko.

Leo Viongozi wa Nchi maskini ya Kijamaa ni Mabepari wa kutupwa.
Awamu ya Tano watu walikua wanapata ukuu wa Mkoa au wilaya kwa miaka mitatu mtu ni Bilionea na haulizwi na mtu kwa sababu tu anavunja Katiba na kujifanya mzalendo wa kutengeneza maadui feki.

Mwalimu alijitahidi kuishi maisha yanayoendana na hali ya uchumi wa watanzania.
Leo sio mbunge sio Mkurugenzi sio diwani wote wanawaza kujinufaisha kupitia mgongo wa CCM na serikali yake.

Waliomshauri Mama nadhani Mzimu wa Mwalimu utawaandama mana wameudnganya umma kuwa wanamuenzi KUMBE Wanamuenzi yule aliyewapa vyeo na ubunge na nafasi za ukaji kwa kuwahujumu wapinzani. Kuna wabunge na madiwani wasingepata nafasi kama sio uporaji ule na uchafuzi wa mwaka 2020. Hao wanasherehekea dhulma ya kitaifa ya mwaka 2020.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Haya ni maono yako, hisia ,zako au mihemko yako?
Tumia akili kuchanganua mambo na sio hisia hasi.
 
Back
Top Bottom