Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Nyerere au Magufuli?

Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Nyerere au Magufuli?

Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Acheni kujizungusha Nyerere day ni Nyerere day na Magufuli day ni Magufuli day, kusema eti wamekwenda Chato kwa kuwa Magufuli alimuenzi Nyerere ni kutufanya wote wajinga.
 
Nilijua wataenda butiama

Utawajua kwa matendo yao.

Bora wangepeleza hizo sherehe za matambiko yao ya mwenge huko butiama
 
Ameshajiandikia historia ya udikiteita, yote mnajisumbua kumtukuza wakati watu, dunia inajua Jiwe alikuwa nani
others-pic-data.jpg

Kwanza kwa Mungu ajibu hawa wako wapi?
Inatia huruma sana. Hao damu zao zinalia mbinguni dhidi ya Magufuli.
 
Sidhani kama kuna mtu atakayeweza kumfanya Magufuli asikumbukwe. Imepita miaka mingapi tangu Hitler atoweke, lakini Wajerumani, kwa uovu ule alioufanya, bado wanamkumbuka.

Mtu aliyeteka watu, kuwapoteza, kuua, kuwashambulia watu kwa risasi, kuwabambikia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatenga na kuwapendelea watu kwa misingi ya ukabila na kanda, atawezaje kusahaulika kiurahisi?
Huna ushahidi wowote ule bali kuropoka Jamii Forum, shukuru kuna watu wameliwezesha hilo la wewe kupayuka.
 
siku ya pasaka hua unaenda kwenye kaburi la yesu?

nijuavyo, nyerere day hua tunasherehekea maisha ya nyerere so inaweza kua popote.
Yesu hakufa, hakuzikwa.
Alishuka kuzimu na kufufuka siku ya tatu baada ya hapo alipaa mbinguni so hakuna kaburi lake hapa Duniani. Kuhusu Nyerere day yes nakuunga mkono tunasherehekea maisha ya Mwalim na siyo lazima iwe Butiama.
 
Mtu aliyeteka watu, kuwapoteza, kuua, kuwashambulia watu kwa risasi, kuwabambikia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatenga na kuwapendelea watu kwa misingi ya ukabila na kanda, atawezaje kusahaulika kiurahisi?
kama wewe ni mtanzania na una akili timamu, naomba unitajie raisi ambae hakufanya ulichoandika hapa.
 
Huna ushahidi wowote ule bali kuropoka Jamii Forum, shukuru kuna watu wameliwezesha hilo la wewe kupayuka.
Je, hayo hayakufanyika? Yalifanyika chini ya utawala wa nani? Kuna hatua zozote uliona zilichukuliwa?

Huna hata logical reasoning?
 
Nimeshangaa sana, wamefanya kitu kizuri lakini sio sehemu sahihi
 
Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Acha upuuzi hilo dhalimu haliwezi kuwa mbadala wa Nyerere
 
Back
Top Bottom