nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
sawasawa bwana mataha...Hawataisha kama Tanzania day inafanyika Kenya wajinga wataishaje.
Upo Ukweli watu wanaolipwa humu kutetea UOZO wewe ni mmoja wapo. Hii mada inatia simanzi sana jinsi Mwalimu Nyerere alivyokosewa adabu leo. Siku ya Magufuli ni March 17. Inakuwaje CCM wamkosee adabu Mwalimu?
Mwalimu Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete, hawakufanya hayo, japo kuna mauaji na utekaji chini ya utawala wao.kama wewe ni mtanzania na una akili timamu, naomba unitajie raisi ambae hakufanya ulichoandika hapa.
Ni kweli mmemtesa mama Maria Nyerere, anajisikia vibaya kwa haya yaliyotokea leo. Rais Samia ana washauri wa hovyo kabisa, hata hivyo, na yeye amepokeaje USHAURI wa KIPUUZI kama huu wa kudhalilisha siku ya Mwalimu? Magufuli ana yake March 17, siyo hii ya leo ambayo imetumika kudhalilisha Mwalimu.
Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Labda wamefanya excahnge😀😀😀Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
Usikufuru! Magufuli alikuwa mbadala wa Nyerere!! Ulimfahamu Nyerere? Mambo mengi aliyoyafanya marehememu Magufuli, ni yale ambayo Mwalimu aliyakaripia vikali.
Mwalimu alisisitiza sana kuheshimu katiba na sheria. Alisisitiza watu, na hasa vijana, kuwa jeuri na kukemea viongozi wanapopotoka. Alilaani sana udikteta. Na alisisitiza maamuzi kufanywa na vikao na siyo mtu mmoja kwa utashi wake binafsi. Haya yote ni kinyume kabisa na matendo ya marehemu Magufuli.
Kama mwenge siyo lazima uzimwe Butiama, basi ungezimwa Chato ,lakini viongozi kuanzia Rais wangekuwa Butiama kuweka mashada, Kama ishara ya kuheshimu Nyerere day. Wamemwacha mama Maria peke yake mashada wanaweka kwa Magufuli! Mwalimu amekosewa adabu.
Ha ha bora aliondoka dunia kwa laana ya kuuwa watu na kufunga na kufirisi watuUmeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Nyerere na magufuli ni damu moja THE LEGACYWanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
ok sawa ngoja nifanye kukuelewaMwalimu Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete, hawakufanya hayo, japo kuna mauaji na utekaji chini ya utawala wao.
Wakati wa Mwalimu, hata waliotaka kumpindua walishtakiwa. Hawakutekwa wala kuuawa.
Wakati wa Mkapa, polisi waliua Wazanzibari, hata yeye Mkapa amelisema kwenye kitabu chake, na alijutia, na wala hakuamrisha wala kubariki. Ndivyo ilivyokuwa kwa Kikwete juu ya Ulimboka na mauaji ya kule Arusha na Morogoro. Kikwete hakuamrisha wala hakubariki. Kuna hatua alichukua za ndani, japo umma haukuambiwa. Na polisi walipoonekana kuendelea kufanya uovu, aliamua kuunda tume, na polisi walishtakiwa (ref. uharamia wa polisi dhidi ya wafanyabiashara wa madini).
Marehemu, waliokuwa wanafanya unyama huo, aliwapandisha vyeo. Ni Bashite pekee aliamua kumwacha baada ya kuona US wamejua uhalifu wake wote.
Kwahiyo imeandikwa Nyerere day akumbukwe Magufuli.Tuonyeshe Wosia/Usia wa Hayati Mwalimu Nyerere uliosema “maadhimisho ya kuzima Mwenge ni marufuku kufanyika popote nje ya maeneo ya Kaburi langu (isomeke lake) !...??
Nyerere na magufuli ni dugu moyaaBaba wa Taifa leo amefanyiwa "daylight robbery"
Yaani CCM watu wa hovyo sana, kumbukizi ya siku ya Baba wa Taifa lakini ajenda yote anajadiliwa baba wa kambo
Daaah hatari aisee hii chuki imepita kiwango
Acha upuuzi hilo dhalimu haliwezi kuwa mbadala wa Nyerere
Unanipangia ?tuliza jasho aisee, bado utaendelea kuomboleza kila mwaka kwa ajili yake
Katika watu ambao hawakuwa na falsafa yo yote ni Magufuli! Alikuwa hatabiriki, mtu mwenye chuki, mbinafsi na mwenye visasi!Umeshangazwa na Nini!?,mwal.anasheshma zake zote kwa kila mtz na tumekuwa tukimuenz kila kukicha Hadi leo,jpm alikuwa mbadala wa mwal. hivyo ni sawa pia katka kumbukiz za mwal.kumkumbuka pia jpm.hii ni meseji kwa mwal. ya kuwa baada ya wewe mwal. alitokea kijana wako ambae alitembea kwenye maono yako ya miaka mingi,bahati mbaya hatunae ,Ila ametufikisha mahali fulani pa kuanzia na kuendeleza.
Kwahiyo imeandikwa Nyerere day akumbukwe Magufuli.