Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Mara nyingi mambo kama haya hutokea Afrika na pengine Tanzania pekee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kama kutoa maoni yako hadi ulipwe, basi kuna shida mahaliUkishalipwa unaweza kutetea hadi uchafu !
wacha ujinga wewe.Ni upumbavu wa Hali ya Juu, yaani leo hii Magufuli ndio achukue nafasi ya Mwalimu?
Hivi mama hawezi kufikiri kwamba timu ya Mwendazake inamuendesha inavyotaka?
Yaani kapigwa na kuaminishwa propaganda kwamba wasukuma ndio wanaamua Rais? Miaka yote kabla ya Uhuru walikuwa wanaamua Rais?
Magu alipata 58% za kubumba dhidi ya Lowassa kwa nini wasukuma hawakumpa aailimia zote? Huu ni upuuzi na dhihaka kwa Marehemu mwalimu Nyerere.
hawa watu kuwaelewa ni kazi.Unashangazwaje kwa ufafanuzi ambao umekwisha kutolewa?!!!
Wameamua kuuzima mwenge Chato kwa ajili ya pia kumkumbuka hayati JPM....
HASTA LA VICTORIA EL COMANDANTE JKN🙏
Mjinga aliyekuzaa pumbavu,Siku ya Kumbukumbu ya Mwalimu inahusianaje na Mwendazake? For what special?wacha ujinga wewe.
Ikifika March 17 tunaelekea Butiama. We always loose focus hatuna Habare!!!Wanasema leo ni kumbukumbu ya Kifo cha Nyerere lakini viongozi wote wakubwa wameenda kutembelea na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Magufuli. Kwahiyo siku ya kumbulumbu ya kifo cha Magufuli watakwenda Butiama kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la Nyerere? Au walitaka kutuonesha kuwa wamelijengea nyumba kaburi la Magufuli? Sijaelewa!
View attachment 1973955View attachment 1973956View attachment 1973957
... kumbukumbu zina utaratibu na cycle zake. Huwezi kujiamulia tu from nowhere kufanya kumbukumbu. Kwa mfano, leo Jpm anakumbukwa siku ya kifo chake? Ya kuzaliwa kwake? Au?Unashangazwaje kwa ufafanuzi ambao umekwisha kutolewa?!!!
Wameamua kuuzima mwenge Chato kwa ajili ya pia kumkumbuka hayati JPM....
HASTA LA VICTORIA EL COMANDANTE JKN🙏
... completely unorganized! Na kwa kweli ndivyo tulivyo in almost everything!Ikifika March 17 tunaelekea Butiama. We always loose focus hatuna Habare!!!
wewe usiyemdhihaki uko butiama hapo?Pumbavu zenu nyie mkome kumdhihaki Mwalimu,kama mna shida na Mwendazake tafuteni siku nyingine.
CCM Imepigwa laana na Mungu haijui ifanyeje !... kumbukumbu zina utaratibu na cycle zake. Huwezi kujiamulia tu from nowhere kufanya kumbukumbu. Kwa mfano, leo Jpm anakumbukwa siku ya kifo chake? Ya kuzaliwa kwake? Au?
Siko butiama lakini sifanyi upuuzi kama mnaofanya nyie bila Soni.wewe usiyemdhihaki uko butiama hapo?
haha dah hii nchi wajinga wataisha kweli?Siko butiama lakini sifanyi upuuzi kama mnaofanya nyie bila Soni.
... kutotaka kufuata taratibu tulizojiwekea wenyewe ni tatizo sana. Hii ni pure reflection ya jinsi sheria na taratibu zinavyokiukwa mchana kweupe! Hili so suala dogo kama inavyoweza kudhaniwa.CCM Imepigwa laana na Mungu haijui ifanyeje !
nilichokigundua hapa, haters wa magufuli hua mnatamani viongozi wa serikali wawaunge mkono kwa kila kituMkuu,
1. Usi-panic,
2. Kwani kulikuwa na ulazima gani wazimie Mwenge Chato na si Butiama ambako ndo uhalisia wa tarehe ya kumbukizi ya tukio?
3. Au asingeenda leo lbd Mwendazake angefufuka na kuona Mh Rais aliyempokea kijiti hajamtembelea akiwa mfu?
4. March 17 watafanya nini cha tofauti na walichokifanya leo kwenye tarehe ambayo haireflect uhalisia wa kumbukizi ya tukio?, huoni hayo yatakuwa matumizi mabaya ya fedha za wanyonge mnaowakamua tozo kila kukicha?
5. Unadhani Mama Maria Nyerere Mjane wa Baba wa Taifa soku ya leo amependezwa na hili hata kama hajatamka wazi?
Mjirekebishe.... Planne wenu ni hopeless kwa makusudi au kwa njaa zake za kutengeza activity za per diem na usikute mmejilipa sitting allowance...Bure kbs nyie!!
Baba wa Taifa
Unafahamu kwa nn mwenge iliamuliwa uzimwe Oct 14 kila Mwaka? Kama hujui unachoongea kaa kimya!!!!nilichokigundua hapa, haters wa magufuli hua mnatamani viongozi wa serikali wawaunge mkono kwa kila kitu
mngetamani kuona magufuli hakumbukwi kwa chechote
mngetamani kuona anatukanwa hadharani na viongozi aliowaacha
nikuulize, tukio la mwenge kuzimwa lina uhusiano gani na kumbukumbu ya baba wa taifa?
huoni ingekua ni upotevu wa pesa za umma, viongozi kua sehemu mbili tofauti? yaani wengine wawe kwenye mwenge chato na wengine waende butiama!
mbona sioni tatizo!
najua kilichowachukiza ni samia kwenda kwenye kaburi la mtangulizi wake.
na hua unazimiwa butiama kila mwaka?Unafahamu kwa nn mwenge iliamuliwa uzimwe Oct 14 kila Mwaka? Kama hujui unachoongea kaa kimya!!!!