Polisi hawa hawa wanaosaidia CCM kuiba kura?Taarifa ya polisi inasemaje mpaka sasa??
Mumuulize Tumainiel atuambie Ben alimpeleka wapi.
Naye kawekwa nje ya mfumo kabaki kuwa kama kichaa na tabiri uchwara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi hawa hawa wanaosaidia CCM kuiba kura?Taarifa ya polisi inasemaje mpaka sasa??
Na huyo mtu Pamoja na ukatili wake wote kwa sasa na yeye yuko kaburini.Kuna mtu alimwondoa Duniani huyu kijana !! inasikitisha. Viongozi wa kiafrica tujifunze kukosolewa, ni Mungu pekee aliye mkamilifu wa kila kitu.
Do you trust them??????????? Seriously????????????Taarifa ya polisi inasemaje mpaka sasa??
Ukute na wewe una Mme na watoto,jinga sanaCDM mnajua kuunda drama - ipo siku mtaonesha mliyomfanyia Ben. Nahisi yuko mikononi mwa CDM
Duh! Maskini Ben. SAD!
Kinachonishangaza kushinda vyote ni kuona namna familia yake ilivyokaa kimya utafikiri wenyewe wanafahamu alipo.
Kingine ni kwamba kila siku nasema hakuna serikali mbaya na ya hovyo kama serikali yoyote inayoongozwa na chama cha ccm, ona na yenyewe ilivyokaa kimya jambo linaloonyesha wazi kwamba kama amekufa basi ni serikali ndio iliyomuua.
But there is a day the truth will come out no matter how long it takes and if he is dead then the perpetrators of his death will eventually be brought to justice.