Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,991
DuuuHasira hii ni baada ya kuroroka shule akiwa anafanya O- levels na kwenda kwa girlfriend. Ilikuwa shule ya RC adhabu yake iliamuriwa aende jeshini baada ya mitihani ndiyo ukawa mwanzo wa kuchukia dini
Antonella was the love of his life, alioa twins baada ya kifo cha AntonellaDuuuuhh, alikuwa na wake wangapi? Maana pia uisema alioa mapacha
Moja ya wimbo mrefu sana wa Franco! Amemwagia sifa kibao! Nadhan ni baada ya kutoka jela!candidat mobiso mobutu
Kuna watu humu JF ni Library tosha!Antonella was the love of his life, alioa twins baada ya kifo cha Antonella
Mobutu, Idd Amin, Kamuzu Banda na Basiste wa Central Africa ninawajua vizuri sanaKuna watu humu JF ni Library tosha!
Hongera sana!Mobutu, Idd Amin, Kamuzu Banda na Basiste wa Central Africa ninawajua vizuri sana
Kuna mtoto wa Mobutu anaitwa Okongo sasa hivi anauza bar kama waiter!Antonella was the love of his life, alioa twins baada ya kifo cha Antonella
Hilo jina lake,kama hujapiga supu na chapati mbili lazima ushikwe na kizunguzungu ukimaliza kulitamka...Habari zenu familia ya JF. Wadau mtakumbuka bara hili liliwahi kutawaliwa na viongozi wadhalimu na Madikteta wa hatari. Zaire ama Congo DRC iliwahi kutawaliwa na Mobutu seseseko 1965 hadi 17/05/1997. Alipinduliwa na Laurence kabila kwa msaada wa Banyamulenge wa Rwanda nyuma ya Kagame. Huyu bwana alikuwa anajiita pia kukungedu wa Zabanga, maana yake jogoo katikati ya majogoo. Alipora madini ya Zaire(Congo) kwa kuweka fedha za nchi kwenye akaunti yake binafisi. Alikuwa hanywi wala kuoga maji ya Congo DRC. Kulikuwa na ndege ya kuleta maji yake kila wiki kutoka Paris ufaransa. Alipinduliwa akiwa mgonjwa wa kansa na wakati vuguvugu la mapinduzi likianza alikuwa yupo ufaransa matibabuni. Alijaribu kurejea nyumani kuzima uasi lakini jeshi lake lilikuwa dhaifu sana Mbele ya Banyamulenge wa Rwanda. Baada ya muda wa takribani miezi minane ya uasi kuanzia mash mwa nchi majeshi yalifika Kinshasa huko Magharibi na kutwaa dola. Alikufa akiwa tajiri mkubwa sana. Alikufa tarehe 07/09/1997 huko Morocco na alizikwa Rabat mji mkuu wa Morocco na watu 15 tu wa familia yake baada ya serkali ya kabila kukutaa mwili wake kurejeshwa Congo kutokana na kuchukiwa sana na Wazaire/Wakongomani.
Mobutu alipenda sana kuvaa kofia makoti, kutumia fenicha na vifaa vingi vilivyotengenezwa kwa ngozi ya chui na alijitanabaisha kuwa na roho ya chui (Leopard spirit) kwa namna alivyoogopwa na kuwadhibiti vilivyo wapinzani wake wa kisiasa, baada ya kuondolewa madarakani na Laurent Kabila, Wakongomani walimpa heshima Kabila na kumpa hadhi iitwayo IKIBINDA NKOY yaani muuaji wa chui.Tulio zaliwa miaka ya 90 na ushee
tunafuatilia tu kuijua Historia yake vzr
Wakongwe heshima kwenu [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi walikufa kwa ngomaKuna mtoto wa Mobutu anaitwa Okongo sasa hivi anauza bar kama waiter!
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta story kidogo mkuu kam upo familia na iyo ishuWengi walikufa kwa ngoma
Hitler alishindwa uchaguziKuna wakati nilidhani wa Zaire walikuwa ama wajinga ama wazembe kuwa na kiongozi ka Mobutu !! Mhh nilidanganyika!!
Tanzania tuombe Mungu atunusuru na viashiria, najifunza kuwa hata ujerumani walifanya uchaguzi tena wa kidemocrasy kumpata Adolf Hitler aliyekuja kuwafanya mbaya
Cairo's
Naipata wapi mkuu hiyo clip,tafadhali kama hutojali share na wengine tujue.Sky Eclat thanks kwa Maelezo yako kuhusu huyu mshenzi..Mobutu..Kiukweli huwa nikiangalie ile ya clip ya pale Patrice Lumumba alivyokamatwa na wale askari wa Mobutu na kufungwa kamba mikono nyuma huko analazimishwa kula karatasi ya speech au hotuba yake ya mwisho huku Mobutu akiaangalia kwa dharau kabla hajasafirishwa kwenda jimbo la kati la Kasai kisha kuuwawa inasikitisha sana.
Alimkamata hayati Fránco Luambo Màkiadi kipindi hiko anajifanya kumkosoa kwenye nyimbo zake akamtia jela akamwambia atumie akili yake kutafuta kitu kitakachomfurahisha ili amwachie huru ndipo Frànco akamtungia hiki kibao kumfagilia,alifurahi mno akamtoa na kwenda kumfanyia Frànco party ikulu kisha kumwachia huru.candidat mobiso mobutu
......
. Halafu ajabu miaka miwili kabla ya kifo chake alijigamba kuwa anamshukuru Mungu kwa sababu tangy azaliwe alikuwa hajaugua kiasi cha kulazwa hospitali. Alipougua hakupona. Mobutu alikuwa na vituko sana huwezi kuvimaliza labda utunge kitabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh sasa hao matwin wa Mobutu wako wapi now?Wengi walikufa kwa ngoma