Leo ni mwaka mmoja kamili toka kifo cha Shangazi wetu kilipotokea kwa kutumbuliwa utumishi Serikalini. Inasikitisha

Naona haya mambo ni yapo huku na huku, mfano wewe uwe umefaulu vizuri tu ila home kwenu pasiwepo na pesa ya kukuendeleza baada ya hapo tajiri apite kwa viongozi anunue cheti chako ili mwanaye aliyepata zero akasome na kupokea mshahara kwa jira lako, je siku utakapo sikia jina lako wanalipokelea mshahara harafu wewe unasukuma mkokoteni ungejisikiaje au ni machungu kiasi gani, nawasilisha,
 
Mfalme Suleimani alipo ulizwa na Mwenyezi Mungu apewe nini! Katika hali ya kushangaza! alichagua kupewa Hekima! Kupitia hiyo Hekima, alijikuta amejaliwa kila kitu.

Sasa kutana na Kiongozi/Mtawala aliyenyimwa hiyo Hekima/Busara sasa! Aisee shughuli utaiona.
 
R.I.P Shangazi na wote waliokufa kwa sababu ya wanyonge!.😢😢
 
Mkuu fasiliteta Wahanga wengine walitumia tu cheti cha kidato cha nne, kujiunga na chuo, hivyo ametumikia Kozi husika kwa Kipindi chote cha Kozi na kuhitimu. Huyu utamwita ni "FEKI"??!!
Anyway kwa Wahanga wa aina hii Serikali ingekuwa na jicho la Huruma kuwalipa japo Viinua Mgongo vyao.
 
Mwamba anayo hoja ya msingi hapa,
KALAGA BAHO😳
 
Agayaaa😆😆😆
 
Basi muwe mnawaacha sasa wale wote wanao fanya sherehe wakati huu! Maana hiyo ni njia mojawapo ya kupunguza machungu waliyo pitia. Masuala ya kuwalazimisha kumuomboleza mtu aliye waumiza na kuwatesa, ni ujinga na uwendawazimu.

Siku zote ukipanda magugu utavuna magugu tu! Usitegemee kuvuna mahindi au mpunga.
 
Kutumia vyeti visivyo halali ni kosa kubwa sana, na Nchi haiwezi kuendele kama kuna watu na aina hii, na matokeo yake tuna engineers ambao hata kutengeneza machine ya Njiti za meno hawawezi, madakiri ambo hawana uwezo wa Kutibu, waalimu hawajui kufundisha oroza ndefu, na uhakiki lazıma uendelee, na lazıma tuwe na website ya Serikali ambayo Vyeti vyote vinavyotolewa na Shule zote nchini vinasajiliwa, ili mwajiri aweze kuhaki vyeti kabla hajamwajiri mfanyakazi. Mazara ya kuwa na wataalamu feki ni Mkubwa sana
 
Una akili sana bro ulitakiwa kua ulaya sasa
 
R.I.P aliyemtumbua shangazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polen,ila mtesi wenu nae kaondoka,kunywen bia.

Ambajo jiwe hakujua,ni kuwa aliwatumbua watu ambao wamesoma vyuo na wakafaulu,tatzo lilkuwa cheti cha form 4,kwahyo ujuzi waliusomea na wakafaulu
 
Huku watu wanatumbuliwa kwa kuitwa vilaza nyuma ya pazia vilaza wapya wanapewa wanapewa ajira walizonyang'anywa vilaza wa zamani.
 
Hadi miaka 100 inatimia ukiwa kazini huyo aliyekuajiri atakuwa amelala usingizi wa pono?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…