MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Huyu Mama alikuwa Afisa Muuguzi Mkunga, mwenye elimu ya stashahada toka KCMC COLLEGE na shahada Muhimbili university.
Alifariki akiwa na miaka 58 (miaka 2 kabla ya umri wa kustaafu), kwa shinikizo la damu na heart stroke.
Kabla ya kupata maradhi haya alitumbuliwa UTUMISHI wake na serikali kutokana na "INCONSISTENCY" kwenye cheti chake cha form four
Kutumbuliwa kwake kukaenda sambamba na kukosa mafao yake kwa utumishi wa miaka 33 ndani ya serikali.
FUNZO:
Sio kila hukumu kwa mujibu wa sheria ni hukumu kwa mujibu wa haki.
RIP - SHANGAZI
Usijali muda si mrefu atakutana na Msababisha Kutumbuliwa Kwake huko aliko Mawinguni na akiweza akionana nae tu amuulize Kipo wapi sasa? Mbona hata Yeye Israeli Mtoa Roho nae Kamtumbua asiwepo nasi hapa duniani tena Kiulaini tu?