Leo ni ndoa ya Diamond na Zari?

Hongera sana kwa kuoa, huyu kijana ana bahati sana, ameoa mwanamke mwenye uzoefu kwenye ndoa, na mwenye watoto wa kutosha. uzoefu unahitajika kila mahali siyo kazini tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Psalm 133:1[emoji768] "Behold, how good and how pleasant it is for brethren to dwell together in unity."
 
SEDUCE ME.

Hii ngoma imesababisha watu kuoana dadeq
Mkuu umeuaaaaaa

Psalm 133:1[emoji768] "Behold, how good and how pleasant it is for brethren to dwell together in unity."
 
Huyu mgengesha besela ameamua kuzaa watoto wa mwenzie?

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Hongera sana kwa kuoa, huyu kijana ana bahati sana, ameoa mwanamke mwenye uzoefu kwenye ndoa, na mwenye watoto wa kutosha. uzoefu unahitajika kila mahali siyo kazini tu.
kwamba mke tyr ana experience hana haja ya kufundishwa majukum yake daah nimecheka mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha waoane wakapambane na hali zao..ila Zari ana bahati mno na ubibi gagula wake wote katusua ndoa ya pili heheee! mjini siami ng'oo hata kwa greda..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…