[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hongera sana kwa kuoa, huyu kijana ana bahati sana, ameoa mwanamke mwenye uzoefu kwenye ndoa, na mwenye watoto wa kutosha. uzoefu unahitajika kila mahali siyo kazini tu.
Kwahiyo unataka kusema huyo zari anaua wanaune ???Diamond akifa mali inabaki ya watoto wao chini ya usimamizi wa Zari ama Kweli tulipotoka ni gharama kwa wanaume!!!
Mlikuwepo wkt wanapeana hyo mimba mambo mengne waachien wenyewe wapambane na hali zaomwanaume aliekamilika hua hakatai watoto mkuu...huez kataa dam yako af unajitia usamaria kutunza watoto wa mwanamme mwingne...ovaaa!!!
Mkuu umeuaaaaaaSEDUCE ME.
Hii ngoma imesababisha watu kuoana dadeq
Mlikuwepo wkt wanapeana hyo mimba mambo mengne waachien wenyewe wapambane na hali zao
haaaa haaaa jiongezee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha. Noma sanaBora aolewe tuu yanayoendelea mtandaoni bila ndoa haezi kukabiliana nayo hongera sana mondi
Sent using Jamii Forums mobile app
jiongezeeMlikuwepo wkt wanapeana hyo mimba mambo mengne waachien wenyewe wapambane na hali zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiba kawapa kibao cha kuombea ndoa [HASHTAG]#seduce[/HASHTAG] me# wamekikubali kibao kwa kuseduciana adi ndoa imekujaWamefanya fasta kuizima seduce me
lli ndoa Izungumziwe sana
invest what you are willing to lose
Kumbe je?ht mi ningekomaaItakuwa Zari kashinikiza ndoa ifungwe haraka kutokana na rumours za Mobeto
Sent using Jamii Forums mobile app
kwamba mke tyr ana experience hana haja ya kufundishwa majukum yake daah nimecheka mnoHongera sana kwa kuoa, huyu kijana ana bahati sana, ameoa mwanamke mwenye uzoefu kwenye ndoa, na mwenye watoto wa kutosha. uzoefu unahitajika kila mahali siyo kazini tu.
Hahaha naona hii amegoma ku expose kwa fan wakeSherehe inaendelea nyumbani kwa Diamond mida hii
View attachment 577323
View attachment 577324
View attachment 577325