mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 819
Mtume SAW alisema, Ndoa ni katika sunna yake ! na ni sunna ya lazima na asieoa SI KATIKA MIMI !!! Kama kweli Diamond ameamua kuoa basi hongera kwake japo amefanya zinaa sana sana! LOh! atubu kwa Mola wake na asifanye tena Zinaa! Maana alikuwa akiifanya zinaa waziwazi !